kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,871
- 4,155
Hakikisha huko chooni unakunya pembenijamani mwanamke Hana adabu kwa mtu yeyote yaani nimeingia choo cha kike.
Hakikisha huko chooni unakunya pembenijamani mwanamke Hana adabu kwa mtu yeyote yaani nimeingia choo cha kike.
Huku MMU tuuuHivi nawe unacommentigi ivi?
Pole Sana.ndio nalea watoto saa hizi, japo ugomvi haujawahi kuisha ila angalau niko mbali naye
Huku tuondoke kakaHajaichakata kama makinikia....

Ushuhuda mkali Sana huu,Bro skia nikwambiee
Achana na huyo mwanamke atakutesa sana
Usijdanganye kuwa atabadilika,that will never happen
Usiendelee kuwa nae kwa sababu eti unaonea watoto huruma,watoto watakua tu
Nimekulia kwenye familia yenye migogoro tangu nipo chekechea nashuhudia wazazi wangu wanagombana mara kwa mara mpaka Leo hii ni ugomvi kila kukicha na chanzo cha ugomvi ni bimkubwa wangu
So mzee akawa na point kama yako eti wakiachana mimi nitapata tabu kukua bila wazazi wawili
Hilo ni bonge La mistake alilofanya mzee wangu kuendelea na bimkubwa wangu ili tu mimi nipate malezi ya baba na mama
Matokeo yake sasa
Mpaka leo hii ni ugomvi kwenda mbele hamna amani
Kama ningekua na uwezo ningewatenganisha lakini ndoa yao Mimi hainihusu nadeal na mambo yangu
Nina uhakika hata hao watoto wako wangekua na ufahamu na kujua unachopitia wangekuruhusu uachane na huyo mwanamke
Kama unapenda watoto wako wasiathirike kisaikolojia kutokana na ugomvi wa wazazi ni bora ukaachana na huyo mwanamke wako mapema kuliko waendelee kushuhudia ugomvi wa wazazi kila kukicha lazima wata athirika kisaikolojia
Mimi ni mhanga wa migogoro ya wazazi naelewa ninachokisema
Kazi ni kwako bro

Pole sana,kosa tunalolifanya huwa tunaangalia tu sura,mavazi na umbo,huwa hatuangalii akili ya muhusika,unajifariji kuwa atabadilika tu nikisha muweka ndani,mwisho wa siku unakuja kugundua kuwa uzuri wa sura,mavazi na umbo havina maana yoyote kwenye mahusiano yenu...Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.
Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.
Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Ana biashara ya duka mkuu ila Mimi nimeajiliwa nafanya kaziAnafanya kazi au Ni mama wa nyumbani?
That trueUshuhuda mkali Sana huu,
pole Sana mkuu kea ulopitilia![]()
Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Usimwache mkeo, endelea nae mlee familia angalau uwashepu wanao kimaadili ukiwepo ila jua tu huyo mkeo hatabadilika, huyo ana tabia ya kushindana muda wote, HATABADILIKA.Nimekwambia haheshimu mtu yoyote mkuu