Mke wangu haniheshimu

Mke wangu haniheshimu

Uzuri wa hizi mambo bana unaeza ambiwa achana naye kumbe moyo wako hata hauwezi hiyo kitu.

Hapo kikubwa angalia vile moyo wako unakutuma kama unaeza vumilia basi endeleeni kuishi mlee watoto wenu.
 
Kama umeyumba kiuchumi wewe sepa ukipata hela usirudi, ingawa ataanza kuleta ukaribu na wewe
 
Bro skia nikwambiee

Achana na huyo mwanamke atakutesa sana

Usijdanganye kuwa atabadilika,that will never happen

Usiendelee kuwa nae kwa sababu eti unaonea watoto huruma,watoto watakua tu


Nimekulia kwenye familia yenye migogoro tangu nipo chekechea nashuhudia wazazi wangu wanagombana mara kwa mara mpaka Leo hii ni ugomvi kila kukicha na chanzo cha ugomvi ni bimkubwa wangu

So mzee akawa na point kama yako eti wakiachana mimi nitapata tabu kukua bila wazazi wawili

Hilo ni bonge La mistake alilofanya mzee wangu kuendelea na bimkubwa wangu ili tu mimi nipate malezi ya baba na mama

Matokeo yake sasa


Mpaka leo hii ni ugomvi kwenda mbele hamna amani


Kama ningekua na uwezo ningewatenganisha lakini ndoa yao Mimi hainihusu nadeal na mambo yangu


Nina uhakika hata hao watoto wako wangekua na ufahamu na kujua unachopitia wangekuruhusu uachane na huyo mwanamke


Kama unapenda watoto wako wasiathirike kisaikolojia kutokana na ugomvi wa wazazi ni bora ukaachana na huyo mwanamke wako mapema kuliko waendelee kushuhudia ugomvi wa wazazi kila kukicha lazima wata athirika kisaikolojia


Mimi ni mhanga wa migogoro ya wazazi naelewa ninachokisema

Kazi ni kwako bro
Ushuhuda mkali Sana huu,
pole Sana mkuu kea ulopitilia
 
Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.

Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.

Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Pole sana,kosa tunalolifanya huwa tunaangalia tu sura,mavazi na umbo,huwa hatuangalii akili ya muhusika,unajifariji kuwa atabadilika tu nikisha muweka ndani,mwisho wa siku unakuja kugundua kuwa uzuri wa sura,mavazi na umbo havina maana yoyote kwenye mahusiano yenu...
 
Kama anakusumbua achana nae ila jitahidi hao watoto unakua nao karibu na ikifika kipindi cha kuishi nao wachukue ukae nao ww
 
Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.

Nimekwambia haheshimu mtu yoyote mkuu
Usimwache mkeo, endelea nae mlee familia angalau uwashepu wanao kimaadili ukiwepo ila jua tu huyo mkeo hatabadilika, huyo ana tabia ya kushindana muda wote, HATABADILIKA.

Cha kufanya ni wewe kubadili mindset yako kichwani, ondoa dhana uliyokuwa nayo kuwa utapata mke bora na ndoa njema. Ishi nae huyo mkeo kama mtu mnayefanya nae ngono pale ukimhitaji, masuala ya heshima nk achana nayo kabisa. Ukiweza kubadili hilo kichwani mwako hatakusumbua, sema utasumbuka tu pale unapotembelewa na ndugu na wageni kuwaza kuwa atakuaibisha, japo hili unaweza kuliSOLVE sasa kwa kumwambia kuwa asijichanganye kufanya UJINGA mbele ya wageni, na hili lioneshe kwa vitendo kwa kumpiga vitasa akizingua.. utaishi kwa furaha kabisa. Badili mindset yako wewe mkuu na sio ubadili tabia ya mkeo. Usimwache
 
😁😁😁 moyo unaingizaga watu Chaka, ilimradi mbususu anakupa vizuri wewe mzoee tu . Huo ndiyo mzigo wako yaani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom