Litro
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 1,134
- 2,372
Huwa nashangaa sana mkuu sababu ipo wazi mbona
Bora uwaambie ukweli.
Bora uwaambie ukweli.
Kabisa mwenyewe ana sinichi kila mtu sinichi kwakeMpeleke kwa wanasaikolojia..pole...yaani inaoneekana kila mtu annamuona adui...too bad
Baada ya kuanza kuishi nae tumehama nyumba nyingi za kupanga anangombana na watu majirani be mpaka Sasa nimejengaPole sana ndugu feisal firdaus, naomba kuuliza je hiyo tabia alikuwa nayo muda mrefu kabla hujaamua kumuweka ndani na kuzaa nae au imeanza baada ya hayo yote.
achana na huyo mwanamke oa mwanamke wengine . usipokuwa makin ukiendekez hisia za mapenz basi tarajia ao watoto wako watakuj kuwa watoto wa ovyo sana.Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.
Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.
Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Sawa mkuuachana na huyo mwanamke oa mwanamke wengine . usipokuwa makin ukiendekez hisia za mapenz basi tarajia ao watoto wako watakuj kuwa watoto wa ovyo sana.
coz watacopy life style ya mama yao per 98%.
sasa liondoe tatizo mapema ulikosea ila haina maana uendelee kukosea
Asee, nipe tips na mimi, maana nahisi nitakufa mapemaKimbia mkuu ukajipange ulee watoto la sivyo utakufa siku si zako na hao watoto hutalea. chagua moja ufe haraka uache watoto... au usepe uwe na amani na nguvu ya kulea watoto.. NB : naongea kwa uzoefu yameisha nikuta kama yako.
Msalaba wako huo ubebe, unataka umtupie nani mzigoMimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.
Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.
Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Pole sana Kaka! Alikuwa hivyo tangia awali au?!Sio mkuu ni mkweli kutoka kwenye moyo Asante pia Kama unaona ni chai lakini jua vifuani mwetu tumebeba Siri nyingi usiombe yakutokea
Yes! Binadam wa kawaida hawezi kuwa Ivo! Usimkimbie hebu msaidie ama tatizo huyo!Mkuu umezungumza ukweli maisha hakuwahi kuishi na baba wamelelewa na mama tu baba yao aliwakimbia akanza kuishi mwanamke mwingine hata pia hatumia ubini wa baba yake na pia alikuwaanachukia sana baba yake hata alipokufa alikwenda kuzika Kama vile kuwakilisha tu lakini hakuwa uzuni Wala mm namuona mtu mwenye visasi na watu wengi amekombana nao kila kukicha ugomvi na watu wa karibu nikweli atakuwa anatatizo la kisakolojia
Bro skia nikwambiee
Achana na huyo mwanamke atakutesa sana
Usijdanganye kuwa atabadilika,that will never happen
Usiendelee kuwa nae kwa sababu eti unaonea watoto huruma,watoto watakua tu
Nimekulia kwenye familia yenye migogoro tangu nipo chekechea nashuhudia wazazi wangu wanagombana mara kwa mara mpaka Leo hii ni ugomvi kila kukicha na chanzo cha ugomvi ni bimkubwa wangu
So mzee akawa na point kama yako eti wakiachana mimi nitapata tabu kukua bila wazazi wawili
Hilo ni bonge La mistake alilofanya mzee wangu kuendelea na bimkubwa wangu ili tu mimi nipate malezi ya baba na mama
Matokeo yake sasa
Mpaka leo hii ni ugomvi kwenda mbele hamna amani
Kama ningekua na uwezo ningewatenganisha lakini ndoa yao Mimi hainihusu nadeal na mambo yangu
Nina uhakika hata hao watoto wako wangekua na ufahamu na kujua unachopitia wangekuruhusu uachane na huyo mwanamke
Kama unapenda watoto wako wasiathirike kisaikolojia kutokana na ugomvi wa wazazi ni bora ukaachana na huyo mwanamke wako mapema kuliko waendelee kushuhudia ugomvi wa wazazi kila kukicha lazima wata athirika kisaikolojia
Mimi ni mhanga wa migogoro ya wazazi naelewa ninachokisema
Kazi ni kwako bro
MuueMimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.
Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.
Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
1. Mwanamke asiye kuheshimu ujue anapigwa nje
2. Usioe mwanamke asiye na heshima kwako wala ndugu
3. Usiogope kuachana na mwanamke eti kwa sababu watoto ni wadogo sijui inakuwaje hapo ndio huwa mnapigwa watoto kaa nao kama hauko well peleka kwenu kisha achana na huyo mwanamke, usiishi kwa shida eti tuna watoto wadogo
1. Mwanamke asiye kuheshimu ujue anapigwa nje
2. Usioe mwanamke asiye na heshima kwako wala ndugu
3. Usiogope kuachana na mwanamke eti kwa sababu watoto ni wadogo sijui inakuwaje hapo ndio huwa mnapigwa watoto kaa nao kama hauko well peleka kwenu kisha achana na huyo mwanamke, usiishi kwa shida eti tuna watoto wadogo
Amebadilika kipindi hikiPole sana Kaka! Alikuwa hivyo tangia awali au?!