Mke wangu haniheshimu

Mke wangu haniheshimu

Pole sana ndugu feisal firdaus, naomba kuuliza je hiyo tabia alikuwa nayo muda mrefu kabla hujaamua kumuweka ndani na kuzaa nae au imeanza baada ya hayo yote.
Baada ya kuanza kuishi nae tumehama nyumba nyingi za kupanga anangombana na watu majirani be mpaka Sasa nimejenga
 
Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.

Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.

Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
achana na huyo mwanamke oa mwanamke wengine . usipokuwa makin ukiendekez hisia za mapenz basi tarajia ao watoto wako watakuj kuwa watoto wa ovyo sana.

coz watacopy life style ya mama yao per 98%.

sasa liondoe tatizo mapema ulikosea ila haina maana uendelee kukosea
 
achana na huyo mwanamke oa mwanamke wengine . usipokuwa makin ukiendekez hisia za mapenz basi tarajia ao watoto wako watakuj kuwa watoto wa ovyo sana.

coz watacopy life style ya mama yao per 98%.

sasa liondoe tatizo mapema ulikosea ila haina maana uendelee kukosea
Sawa mkuu
 
Kimbia mkuu ukajipange ulee watoto la sivyo utakufa siku si zako na hao watoto hutalea. chagua moja ufe haraka uache watoto... au usepe uwe na amani na nguvu ya kulea watoto.. NB : naongea kwa uzoefu yameisha nikuta kama yako.
Asee, nipe tips na mimi, maana nahisi nitakufa mapema
 
Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.

Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.

Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Msalaba wako huo ubebe, unataka umtupie nani mzigo
 
Kwa hiyo watoto ndo kitanzi kwako. Muweke wazi jinsi unavyojisikia ibaya anapokataa kukuheshimu, na umwambie uamuzi wako wa mwisho iwapo ataendelea na tabia usiyopenda. Ukiona anakwambia yupo tayari kwa maamuzi yoyote utakayochukuwa, jua alishajiandaa kitambo na unagongewa, na huenda hata watoto sio wako.

Alafu na wewe unamwitaje mtu wa sogea tukae km mke. Huyo mi hawala tu, maanake ni cha wote bado. Kwa lugha nyingine Jimbo bado liko wazi huyo.
 
Mkuu umezungumza ukweli maisha hakuwahi kuishi na baba wamelelewa na mama tu baba yao aliwakimbia akanza kuishi mwanamke mwingine hata pia hatumia ubini wa baba yake na pia alikuwaanachukia sana baba yake hata alipokufa alikwenda kuzika Kama vile kuwakilisha tu lakini hakuwa uzuni Wala mm namuona mtu mwenye visasi na watu wengi amekombana nao kila kukicha ugomvi na watu wa karibu nikweli atakuwa anatatizo la kisakolojia
Yes! Binadam wa kawaida hawezi kuwa Ivo! Usimkimbie hebu msaidie ama tatizo huyo!
 
20221104_132947.jpg
 
Mkabidhi kwa bwana. Hali unayopitia ni moja ya tabia ya kutokumuheshimu Mungu na kuishi maisha ya toba. Umepewa wa kufanana nae

Mkuu umeanza kuishi na mwanamke kabla ya Ndoa

Umeanza uasherati na ukapelekea kupata na watoto.

Tubu ww na mwenzio mfunge ndoa. Shetan hataki mfunge ndoa. Na hata Hawa ndo alidanganywa na shetani sio adamu. Changamka ukafunge ndoa hakuna aliyekamilika
 
Bro skia nikwambiee

Achana na huyo mwanamke atakutesa sana

Usijdanganye kuwa atabadilika,that will never happen

Usiendelee kuwa nae kwa sababu eti unaonea watoto huruma,watoto watakua tu


Nimekulia kwenye familia yenye migogoro tangu nipo chekechea nashuhudia wazazi wangu wanagombana mara kwa mara mpaka Leo hii ni ugomvi kila kukicha na chanzo cha ugomvi ni bimkubwa wangu

So mzee akawa na point kama yako eti wakiachana mimi nitapata tabu kukua bila wazazi wawili

Hilo ni bonge La mistake alilofanya mzee wangu kuendelea na bimkubwa wangu ili tu mimi nipate malezi ya baba na mama

Matokeo yake sasa


Mpaka leo hii ni ugomvi kwenda mbele hamna amani


Kama ningekua na uwezo ningewatenganisha lakini ndoa yao Mimi hainihusu nadeal na mambo yangu


Nina uhakika hata hao watoto wako wangekua na ufahamu na kujua unachopitia wangekuruhusu uachane na huyo mwanamke


Kama unapenda watoto wako wasiathirike kisaikolojia kutokana na ugomvi wa wazazi ni bora ukaachana na huyo mwanamke wako mapema kuliko waendelee kushuhudia ugomvi wa wazazi kila kukicha lazima wata athirika kisaikolojia


Mimi ni mhanga wa migogoro ya wazazi naelewa ninachokisema

Kazi ni kwako bro

Unamfahamu mtu mmoja Jina lake Yesu. Mtafute ukimpata nenda mpeleke kwa wazazi wako kamtbulishe wakimkaribisha nyumbani kwenu utaona Magego ya wazazi wako. Usipofanya hivyo kilichopandwa na wazaz wako nawe utakivuna. We Kalia bia
 
Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.

Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.

Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Muue
 
Mkuu unakaza kweli au unatuswitch???
1. Mwanamke asiye kuheshimu ujue anapigwa nje
2. Usioe mwanamke asiye na heshima kwako wala ndugu
3. Usiogope kuachana na mwanamke eti kwa sababu watoto ni wadogo sijui inakuwaje hapo ndio huwa mnapigwa watoto kaa nao kama hauko well peleka kwenu kisha achana na huyo mwanamke, usiishi kwa shida eti tuna watoto wadogo
 
Mkuu unakaza kweli au unatuswitch???
1. Mwanamke asiye kuheshimu ujue anapigwa nje
2. Usioe mwanamke asiye na heshima kwako wala ndugu
3. Usiogope kuachana na mwanamke eti kwa sababu watoto ni wadogo sijui inakuwaje hapo ndio huwa mnapigwa watoto kaa nao kama hauko well peleka kwenu kisha achana na huyo mwanamke, usiishi kwa shida eti tuna watoto wadogo
 
Kuna wanawake ili mdumu inatakiwa usipatikane nyumbani 24/7. Kuwa busy na shughuli zako. Kama ni mwajiriwa fungua kamradi katakako kukeep away na home baada ya masaa ya kazi au wakati mwingine unapotea kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom