Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,528
- 1,621
Sasa wewe huna hela halafu unataka uheshimiwe...Mimi ndo Sina hela mkuu
...mkono mtupu haulambwi mazee...Sasa wewe huna hela halafu unataka uheshimiwe...Mimi ndo Sina hela mkuu
...mkono mtupu haulambwi mazee...Kweli kabisaHuu ujinga wa tafuta hela ushawaingia wanawake wengi na kufanya ndio main point.., mwanamke kama jeuri na hana heshima hata uwe na hela ni yaleyale tu.
Pole mkuu ila tueleze bi mkubwa wako tatizo umeliona Ni lipi yeye ndio mwenye mdomo na matusi au mzee ni mpole sana nn au umeona kosa gani kwa bi mkubwa wakoBro skia nikwambiee
Achana na huyo mwanamke atakutesa sana
Usijdanganye kuwa atabadilika,that will never happen
Usiendelee kuwa nae kwa sababu eti unaonea watoto huruma,watoto watakua tu
Nimekulia kwenye familia yenye migogoro tangu nipo chekechea nashuhudia wazazi wangu wanagombana mara kwa mara mpaka Leo hii ni ugomvi kila kukicha na chanzo cha ugomvi ni bimkubwa wangu
So mzee akawa na point kama yako eti wakiachana mimi nitapata tabu kukua bila wazazi wawili
Hilo ni bonge La mistake alilofanya mzee wangu kuendelea na bimkubwa wangu ili tu mimi nipate malezi ya baba na mama
Matokeo yake sasa
Mpaka leo hii ni ugomvi kwenda mbele hamna amani
Kama ningekua na uwezo ningewatenganisha lakini ndoa yao Mimi hainihusu nadeal na mambo yangu
Nina uhakika hata hao watoto wako wangekua na ufahamu na kujua unachopitia wangekuruhusu uachane na huyo mwanamke
Kama unapenda watoto wako wasiathirike kisaikolojia kutokana na ugomvi wa wazazi ni bora ukaachana na huyo mwanamke wako mapema kuliko waendelee kushuhudia ugomvi wa wazazi kila kukicha lazima wata athirika kisaikolojia
Mimi ni mhanga wa migogoro ya wazazi naelewa ninachokisema
Kazi ni kwako bro
ila mzaz mmoja amefariki ila mwazo mzee ndio alikuwa mtata balaaNashukuru kwa ushauri nduguUsimwache mkeo, endelea nae mlee familia angalau uwashepu wanao kimaadili ukiwepo ila jua tu huyo mkeo hatabadilika, huyo ana tabia ya kushindana muda wote, HATABADILIKA.
Cha kufanya ni wewe kubadili mindset yako kichwani, ondoa dhana uliyokuwa nayo kuwa utapata mke bora na ndoa njema. Ishi nae huyo mkeo kama mtu mnayefanya nae ngono pale ukimhitaji, masuala ya heshima nk achana nayo kabisa. Ukiweza kubadili hilo kichwani mwako hatakusumbua, sema utasumbuka tu pale unapotembelewa na ndugu na wageni kuwaza kuwa atakuaibisha, japo hili unaweza kuliSOLVE sasa kwa kumwambia kuwa asijichanganye kufanya UJINGA mbele ya wageni, na hili lioneshe kwa vitendo kwa kumpiga vitasa akizingua.. utaishi kwa furaha kabisa. Badili mindset yako wewe mkuu na sio ubadili tabia ya mkeo. Usimwache
Sio mkuu ni mkweli kutoka kwenye moyo Asante pia Kama unaona ni chai lakini jua vifuani mwetu tumebeba Siri nyingi usiombe yakutokeaChai
Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.
Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.
Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Unaona atabadilikaNa bado ukamzalisha pamoja na hizo tabia?
Asante kaka nimekuelewaKatika vitu vinavyopunguza life span kwa wanaume ni kupata mweza wa design hiyo.Chagua moja ukae nae Kisha ufe mapema na uwaache wanao yatima,au uachane nae Kisha uishi maisha marefu huku ukilea wanao(ingawa uko mbali nao).Nakushauri chaguo namba mbili nadio Bora zaidi,kwani utaokoa maisha Yako then watoto hawatakuwa yatima.
Nimeongea swala kwamba Sina hela hapo juu Asante ushaueiSasa wewe huna hela halafu unataka uheshimiwe......mkono mtupu haulambwi mazee...
Asante kwa ushaurimoyo unaingizaga watu Chaka, ilimradi mbususu anakupa vizuri wewe mzoee tu . Huo ndiyo mzigo wako yaani.
Huenda kwenye malezi utotoni alipitia torture sana....jaribu kuchunguza malezi yake kama hakunyanyaswa udogoni..then anzia hapo...mtaftie tiba ya kisaikolojia..hujiulizi kwanini haheshimu kila mtu?? Bora ingekuwa kwako tu....pole sanaAna biashara ya duka mkuu ila Mimi nimeajiliwa nafanya kazi
Usidanganyike na watoto Mkuu.....fanya maamuzi magumu...Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.
Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.
Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Mkuu umezungumza ukweli maisha hakuwahi kuishi na baba wamelelewa na mama tu baba yao aliwakimbia akanza kuishi mwanamke mwingine hata pia hatumia ubini wa baba yake na pia alikuwaanachukia sana baba yake hata alipokufa alikwenda kuzika Kama vile kuwakilisha tu lakini hakuwa uzuni Wala mm namuona mtu mwenye visasi na watu wengi amekombana nao kila kukicha ugomvi na watu wa karibu nikweli atakuwa anatatizo la kisakolojiaHuenda kwenye malezi utotoni alipitia torture sana....jaribu kuchunguza malezi yake kama hakunyanyaswa udogoni..then anzia hapo...mtaftie tiba ya kisaikolojia..hujiulizi kwanini haheshimu kila mtu?? Bora ingekuwa kwako tu....pole sana
Kweli kabisaUsidanganyike na watoto Mkuu.....fanya maamuzi magumu...