Mke wangu haniheshimu

Mke wangu haniheshimu

Katika vitu vinavyopunguza life span kwa wanaume ni kupata mweza wa design hiyo.Chagua moja ukae nae Kisha ufe mapema na uwaache wanao yatima,au uachane nae Kisha uishi maisha marefu huku ukilea wanao(ingawa uko mbali nao).Nakushauri chaguo namba mbili nadio Bora zaidi,kwani utaokoa maisha Yako then watoto hawatakuwa yatima.
 
Bro skia nikwambiee

Achana na huyo mwanamke atakutesa sana

Usijdanganye kuwa atabadilika,that will never happen

Usiendelee kuwa nae kwa sababu eti unaonea watoto huruma,watoto watakua tu


Nimekulia kwenye familia yenye migogoro tangu nipo chekechea nashuhudia wazazi wangu wanagombana mara kwa mara mpaka Leo hii ni ugomvi kila kukicha na chanzo cha ugomvi ni bimkubwa wangu

So mzee akawa na point kama yako eti wakiachana mimi nitapata tabu kukua bila wazazi wawili

Hilo ni bonge La mistake alilofanya mzee wangu kuendelea na bimkubwa wangu ili tu mimi nipate malezi ya baba na mama

Matokeo yake sasa


Mpaka leo hii ni ugomvi kwenda mbele hamna amani


Kama ningekua na uwezo ningewatenganisha lakini ndoa yao Mimi hainihusu nadeal na mambo yangu


Nina uhakika hata hao watoto wako wangekua na ufahamu na kujua unachopitia wangekuruhusu uachane na huyo mwanamke


Kama unapenda watoto wako wasiathirike kisaikolojia kutokana na ugomvi wa wazazi ni bora ukaachana na huyo mwanamke wako mapema kuliko waendelee kushuhudia ugomvi wa wazazi kila kukicha lazima wata athirika kisaikolojia


Mimi ni mhanga wa migogoro ya wazazi naelewa ninachokisema

Kazi ni kwako bro
Pole mkuu ila tueleze bi mkubwa wako tatizo umeliona Ni lipi yeye ndio mwenye mdomo na matusi au mzee ni mpole sana nn au umeona kosa gani kwa bi mkubwa wako


Mnk hat mm goroko nimekulia katika familia ambayo kulikuwa na migogoro Sana alfu baadae wazaz walikuja kupendana Sana ila mzaz mmoja amefariki ila mwazo mzee ndio alikuwa mtata balaa
 
Usimwache mkeo, endelea nae mlee familia angalau uwashepu wanao kimaadili ukiwepo ila jua tu huyo mkeo hatabadilika, huyo ana tabia ya kushindana muda wote, HATABADILIKA.

Cha kufanya ni wewe kubadili mindset yako kichwani, ondoa dhana uliyokuwa nayo kuwa utapata mke bora na ndoa njema. Ishi nae huyo mkeo kama mtu mnayefanya nae ngono pale ukimhitaji, masuala ya heshima nk achana nayo kabisa. Ukiweza kubadili hilo kichwani mwako hatakusumbua, sema utasumbuka tu pale unapotembelewa na ndugu na wageni kuwaza kuwa atakuaibisha, japo hili unaweza kuliSOLVE sasa kwa kumwambia kuwa asijichanganye kufanya UJINGA mbele ya wageni, na hili lioneshe kwa vitendo kwa kumpiga vitasa akizingua.. utaishi kwa furaha kabisa. Badili mindset yako wewe mkuu na sio ubadili tabia ya mkeo. Usimwache
Nashukuru kwa ushauri ndugu
 
Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.

Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.

Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.

Na bado ukamzalisha pamoja na hizo tabia?
 
Katika vitu vinavyopunguza life span kwa wanaume ni kupata mweza wa design hiyo.Chagua moja ukae nae Kisha ufe mapema na uwaache wanao yatima,au uachane nae Kisha uishi maisha marefu huku ukilea wanao(ingawa uko mbali nao).Nakushauri chaguo namba mbili nadio Bora zaidi,kwani utaokoa maisha Yako then watoto hawatakuwa yatima.
Asante kaka nimekuelewa
 
Ana biashara ya duka mkuu ila Mimi nimeajiliwa nafanya kazi
Huenda kwenye malezi utotoni alipitia torture sana....jaribu kuchunguza malezi yake kama hakunyanyaswa udogoni..then anzia hapo...mtaftie tiba ya kisaikolojia..hujiulizi kwanini haheshimu kila mtu?? Bora ingekuwa kwako tu....pole sana
 
Mwanamke mwenye mdomo atakuua taratiibu na kelele zake, Wengi wanajuwa namna kumuua mtu bila kumgusa ni kuhakikisha anakasirika kila wakati. Chukua hatua na maisha ni yako.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.

Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.

Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Usidanganyike na watoto Mkuu.....fanya maamuzi magumu...
 
Huenda kwenye malezi utotoni alipitia torture sana....jaribu kuchunguza malezi yake kama hakunyanyaswa udogoni..then anzia hapo...mtaftie tiba ya kisaikolojia..hujiulizi kwanini haheshimu kila mtu?? Bora ingekuwa kwako tu....pole sana
Mkuu umezungumza ukweli maisha hakuwahi kuishi na baba wamelelewa na mama tu baba yao aliwakimbia akanza kuishi mwanamke mwingine hata pia hatumia ubini wa baba yake na pia alikuwaanachukia sana baba yake hata alipokufa alikwenda kuzika Kama vile kuwakilisha tu lakini hakuwa uzuni Wala mm namuona mtu mwenye visasi na watu wengi amekombana nao kila kukicha ugomvi na watu wa karibu nikweli atakuwa anatatizo la kisakolojia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom