feisal firdaus
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 424
- 677
- Thread starter
- #81
Kiburi jeuri daa hatari sanaBado kabinti ambacho hakina adabu
Kiburi jeuri daa hatari sanaBado kabinti ambacho hakina adabu
Asante kwa mzuriMwanamke mwenye mdomo atakuua taratiibu na kelele zake, Wengi wanajuwa namna kumuua mtu bila kumgusa ni kuhakikisha anakasirika kila wakati. Chukua hatua na maisha ni yako.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Bora uwaambie ukweli.chakata uchakatavyo kama hela amna ni kazi bure atafurahi wakati wa show akimaliza hasira zinarudi palepale. ukwa na hela heshima itakuwepo hatakama show dhaifu hawez kusema
Mpeleke kwa wanasaikolojia..pole...yaani inaoneekana kila mtu annamuona adui...too badMkuu umezungumza ukweli maisha hakuwahi kuishi na baba wamelelewa na mama tu baba yao aliwakimbia akanza kuishi mwanamke mwingine hata pia hatumia ubini wa baba yake na pia alikuwaanachukia sana baba yake hata alipokufa alikwenda kuzika Kama vile kuwakilisha tu lakini hakuwa uzuni Wala mm namuona mtu mwenye visasi na watu wengi amekombana nao kila kukicha ugomvi na watu wa karibu nikweli atakuwa anatatizo la kisakolojia
Baeleze batoto ba chips mayai teketekeHujamkuna mpaka ikatoka jasho ndio maana
Sasa una watoto 2, kipindi chote hicho umekaa na mtoto wa watu, inaonyesha hata mahari hujatoa. Alafu unataka akuheshimuMimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.
Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.
Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Huyu ukioaa umekwishaa mkuu... Bora hata angelelewa na babu yake na bibi angekuwa anaheshimu sauti ya mwanaume ila huyo kenge wako pole sanaa..Mkuu umezungumza ukweli maisha hakuwahi kuishi na baba wamelelewa na mama tu baba yao aliwakimbia akanza kuishi mwanamke mwingine hata pia hatumia ubini wa baba yake na pia alikuwaanachukia sana baba yake hata alipokufa alikwenda kuzika Kama vile kuwakilisha tu lakini hakuwa uzuni Wala mm namuona mtu mwenye visasi na watu wengi amekombana nao kila kukicha ugomvi na watu wa karibu nikweli atakuwa anatatizo la kisakolojia
Ulikufa??Kimbia mkuu ukajipange ulee watoto la sivyo utakufa siku si zako na hao watoto hutalea. chagua moja ufe haraka uache watoto... au usepe uwe na amani na nguvu ya kulea watoto.. NB : naongea kwa uzoefu yameisha nikuta kama yako.
Sasa hata mahali hujamtolea na ameshatotoa unasubiri nini sasa kumtoroka







uuwaweSijawahi kuona ke mwenye jeuri mbele ya helaMlete kwangu nimpe dozi ya uhakika.
Vijana mnapiga show lainilaini sana aisee.
Jeuri ya mwanamke ni kutokana na kutokamuliwa vizuri na mwanaume kuwa suruali.
mlete kwangu akae boarding hapa na mm afu ujue umchukue baafa ya miez mi2 tuu utanishukuru🙃😉Mimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2, mmoja kike mwengine wa kiume, hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao.
Mwanamke huyu hamuheshimu mtu yoyote hapa duaniani, jeuri kiburi, dharau pamoja na matusi, nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka. Lakini nikiangalia hawa watoto ndiyo inanifanya bado niendelee naye.
Naomba jamani, mwanamke hana adabu kwa mtu yeyote, yaani nimeingia choo cha kike.
Umemaliza mkuu1. Mwanamke asiye kuheshimu ujue anapigwa nje
2. Usioe mwanamke asiye na heshima kwako wala ndugu
3. Usiogope kuachana na mwanamke eti kwa sababu watoto ni wadogo sijui inakuwaje hapo ndio huwa mnapigwa watoto kaa nao kama hauko well peleka kwenu kisha achana na huyo mwanamke, usiishi kwa shida eti tuna watoto wadogo