Bora Kamusi umetoa ushuhuda. Mwenye macho haambiwi soma.
Ushauri wangu ni mwanamke kuwa jinsi ulivyo; anayetaka kupigiwa magoti ajue wewe si type yake.
Haya mambo si heshima wala nini ni mazoea. Kama mimi sijawahi ona baba yangu akipigiwa magoti na mama don't expect it from me....na nikikupigia magoti basi jua na pretend na nitaaacha soon.
Ndoa hailindwi na magoti ni compatibility.
Mtakuwa watumwa kwa ku pretend badala ya ku enjoy life. Maisha yenyewe mafupi....nani wa ku pretend au kutumikishwa.
Na tunadunda na hamna dalili ya kuachwa wala kuachika.
mi sina shower, hivyo maji yanachotwa yanapelekwa bafuni halafu naambiwa nyanyuka ukaoge! hii ni halali lkweli? yaani vile anavyomwambia mtoto ndo hata mimi mumwewe ninayemuweka mjini ananiambia! hata kama mnatetea ila mkumbuke lazima mila za kiafrika zifuatwe...mamb ya kujifanya wazungu ndiyo yanatuharibu sisi waafrika!Jesus Christ - Snipper sasa maji yanayotoka kwenye shower unakaribishwa vipi? anatakiwa akufungulie au?
mi sina shower, hivyo maji yanachotwa yanapelekwa bafuni halafu naambiwa nyanyuka ukaoge! hii ni halali lkweli? yaani vile anavyomwambia mtoto ndo hata mimi mumwewe ninayemuweka mjini ananiambia! hata kama mnatetea ila mkumbuke lazima mila za kiafrika zifuatwe...mamb ya kujifanya wazungu ndiyo yanatuharibu sisi waafrika!
..kwa iyo mkiwa matajiri penyewe hakuna kukaribishwa? mbna mnalaumu umasikini tu jameni? hamuoni kama kuna umuhimu wa kutunza mila na desturi zetu?Problem si mila ila poverty, work hard badil bathroom yako uone ka mwenyewe hujamwita wife,baby twende tukaoge....
..kwa iyo mkiwa matajiri penyewe hakuna kukaribishwa? mbna mnalaumu umasikini tu jameni? hamuoni kama kuna umuhimu wa kutunza mila na desturi zetu?
toa mfano dhahiri
Kwa hivyo amtayarishie maji na kumkaribisha kwenda kuoga au sivyo?Yote unayotaka watu wakufanyie nawe tenda vivyo hivyo
Hapo hakuna kukaribishwa unachotakiwa umbebe na kumpeleka kwenye bathtube, na umshushe taratibu huku mkisuguana..kwa iyo mkiwa matajiri penyewe hakuna kukaribishwa? mbna mnalaumu umasikini tu jameni? hamuoni kama kuna umuhimu wa kutunza mila na desturi zetu?
Denial! inawezekana na wewe una matatizo haya haya, ila umeamua ku-suppress.mwenzio anaomba ushauri wewe unajisifia.
mbona mimi namtendea kwa nidhamu yale yanayonihusu kutenda?
Hehehehee umaskin unazua matatizo mengi sana, ndomana nimesema sitakaa niingie kwenye ndoa hasa na mtz, wanaume wa kitz wamelelewa kuwa mke ni chombo cha ngono, hausigel, punda etc usitegemee watabadilika thats how they are
duh uamuzi huu sio msuri wa kuonesha upendo na kuendeleza furaha ya hapo kwa nyumba, Upendo wa kweli unamaliza kila kitu,wanaume bwana mnaboajeeee
utajijuuuu and u wil keri uaself we huwezi kuweka??kama ameshindwa kukwambia jiambie mwenyewe kimoyomoyo
Mwanaume kama hufanyiwi haya ufikapo nyumbani kwa mkeo akiwa nyumbani wewe umeoa mwanaume mwenzio.mwanamke mzuri anamjali mumewe hata kuliko na watoto ,unakuwa na muda wakushow love kwa watoto na muda wa kwa baba,ni lazima familia ijue na ijenge mazingira kuwa sasa mama anamhudumia baba sie tukae pembeni!!!
1.upokelewe bag nakukaribishwa ndani kwa tabasamu zuri haijalishi mmeshuka wote hapo kwenye gari!kutoka job
2.aache shughukli zote akupeleke chumbani nakukuuliza habari za utokako/kazi/umeshindaje
3.na wakati anakuuliza taratiibu anakuvua viatu,soksi, na nguo unabaki na nguo ya ndani
4.anakupa kinywaji baridi alichokiandaa maji/juice au chiochote
5.wakati unakunywa yeye anakuwekea maji ya kuoga kama unavopendelea moto/baridi
6.karibu mume wangu uoge au unataka nikuogeshe leo??
7......maandalizi ya chakula na mengineyo wewe rudi sasa kaendelee na watoto kwa kumuaga.
hivi ukipokelewa hivyo kweli utawaza ngoja nivae bukta nikapige kimoja kwa wahaya ndio nije kula kweli??Hata kama akiamua kukuchit wewe umeshatimiza wajibu wako!!binadamu tuna mapungufu sana
mimi mume wangu anapennda akiwa nyumbani niwepo maana nisipokuwepo anamis mambo mengi maana anajua nikiingia nikitoka namtokea na nazi kipande tafuna baba,dafu,kachai katamu nusu kikombe ,kajuice ,kamaji kabla hata hajaomba.na vitu vingine vingi tu vizuri vya upendo haya mapenzi ni kwenda nayo kma mtoto.mume ajaliwe kama mtoto,na mume umjali mkeo,sio unakuja kulalama hapa je!ulishamkaribisha mkeo maji,umemfanyia mangapi ya upendo kiasi nafsi yake imsute??? jirekebishe!!
nyie ndo mkitafutiwa nyumba ndogo mnakimbilia kwa wagaga kienyeji kunusuru ndoa zenu wakati unaiua ndoa ni wewe mwenyewe kwa mikono yako na kukosa maarifa.MWANAUME KWANGU NI MTOTO WANGU MKUBWA!!!