Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,500
Mweeeeeeeee! Hata mie nimechoka kabisa kuhusu kumkaribisha mtu maji ya kuoga! Labda hilo la chakula naweza kuelewa lakini kuoga? Yaani maji yanatoka bafuni nikukaribishe kuoga? Ha ha haaaaaa! Mila nazo sometimes zinatuponza!
Choka tu, kuna wenzako watakusaidia halafu uje na mada hapa ya mumeo anatoka nje. Mlidhani ndoa ni part time business, eti?
Na msijikengeue, suala linaloonekana hapa si kuyabeba maji bali ukaribu na mawasiliano. Mwanamke lazima ajue nafasi yake katika ndoa. Baadhi yenu hamjui hata mume aliondoka saa ngapi asubuhi