Mke wangu ananipiga vijembe sana WhatsApp status

Mke wangu ananipiga vijembe sana WhatsApp status

Huoni kama hiyo nayo ni picha mazingira? Ama unaona masofa hapo boss kaka?
Ww mwnyw unajua hapo cha muhimu ni hizo paja zilivyonona na kung’aa

Hizo picha za mazingira sijui ndio zitakuwaje kwa hii mitego yako
 
Kama anatoka ukanda wa pwani basi ni kawaida vumilia tu ndo walivyo
 
Wazee kwa vijana
wadada kwa wamama.
Jina la bwana lihimidiwe!

Kwa muda mrefu sana hili jambo huwa linatokea baadae linapotea kisha linajirudia tena!

Huyu wife wangu amekuwa akirusha vijembe sana huku whatsap status! Kwa uchunguzi nimegundua kila ikitokea tumepishana kidogo kauli haipiti dakika unakuta ameweka status whatsup:

Mara "USIZARAU DAFU EMBE TUNDA LA MSIMU", siku yingine utakuta "KIKIWA NDANI CHAKO KIKITOKA SIO CHAKO"

LIMEKUSHINDA LIMAO UNAFATA NDIMU"
"WE NI KONOKONO KAMA KONOKONO WENGINE"
"UKITAKA HALUA KUNDU PANUA"

Hizo baadhi ya vijembe ambavyo moja kwa moja najua vinanihusu mimi ni zaidi ya hapo nishamkanya kama anaona tofauti yoyote anieleze kuliko kuanika huko ili kila mtu ajue tumekosana lakini hasikii!

Nikaanza kufikiria niwe namjibu lakini haitakuwa fresh kidume kurushiana maneno mitandaoni. Yaani hata akinipigia simu bahati mbaya sijapokea nikija kuingia tu whatsapp nakuta "MBUZI KUWA NA NDEVU SIO NDIO UANAUME" au "MWANAUME BUKTA".

Kiukweli huwa inanikosesha amani maana kila nikimweleza polepole hanielewi hembu nisaidieni mawazo nifanyaje!
Mke kaishia darasa la ngapi? Kuandika hajui. Kwa kifupi ana tabia za uswahilini.
 
Mimi niliambiwa ULISEMA WANINI WENZAKO WANASEMA WATAKIPATA LINI wkt sijawai tamka japo ck moja then kaenda kwao kachelewa kurud nikamwambia endelea kukaa ndo hbr yenyew ikaisha hapo na nikabadil sim card.hizo zote ni dalili za kukuchoka kapata mdume nje anatafuta sabab na anajoa nyoso yake umeielewa##HAUBANDUK
 
Nokia ya tochi moja mpya watoto wa mjini wansema mbichiii kabisa...angetumia mpaka mumewe naingia kaburini mybe awe yeye ndio kanioa mimi ktk nokia tochi STATUS ni game ya NYOKA
 
Wazee kwa vijana
wadada kwa wamama.
Jina la bwana lihimidiwe!

Kwa muda mrefu sana hili jambo huwa linatokea baadae linapotea kisha linajirudia tena!

Huyu wife wangu amekuwa akirusha vijembe sana huku whatsap status! Kwa uchunguzi nimegundua kila ikitokea tumepishana kidogo kauli haipiti dakika unakuta ameweka status whatsup:

Mara "USIZARAU DAFU EMBE TUNDA LA MSIMU", siku yingine utakuta "KIKIWA NDANI CHAKO KIKITOKA SIO CHAKO"

LIMEKUSHINDA LIMAO UNAFATA NDIMU"
"WE NI KONOKONO KAMA KONOKONO WENGINE"
"UKITAKA HALUA KUNDU PANUA"

Hizo baadhi ya vijembe ambavyo moja kwa moja najua vinanihusu mimi ni zaidi ya hapo nishamkanya kama anaona tofauti yoyote anieleze kuliko kuanika huko ili kila mtu ajue tumekosana lakini hasikii!

Nikaanza kufikiria niwe namjibu lakini haitakuwa fresh kidume kurushiana maneno mitandaoni. Yaani hata akinipigia simu bahati mbaya sijapokea nikija kuingia tu whatsapp nakuta "MBUZI KUWA NA NDEVU SIO NDIO UANAUME" au "MWANAUME BUKTA".

Kiukweli huwa inanikosesha amani maana kila nikimweleza polepole hanielewi hembu nisaidieni mawazo nifanyaje!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ukitaka harua upanue nini [emoji28] [emoji28] wallah hio ndoa ingeisha.....
 
Back
Top Bottom