Mke wangu ananipiga vijembe sana WhatsApp status

Mke wangu ananipiga vijembe sana WhatsApp status

[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ujanja wote huo unajistukiaga?
Asije akasema kilemutuz
Kuna kijembe naona kama nmepigwa mm huko whatsapp leo...mwanamke hata ukiachana nae kwa amani bado atakusema.
 
Rubbish..ndo hasara ya kuuvaa mkenge usiojielewa piga makofi kama Kilewo wa Joyce Kiria atashika adabu zake
 
Unisntall WhatsApp achana kabisa na WhatsApp alafu leta mrejesho kama utaona hivyo vijembe.

Ubaya ni kuwa anajua kila kijembe akiweka status unaona ila ungekuwa huna WhatsApp wala asingekuwa anapost kijembe zaidi angeugulia moyoni
 
Raha ya kumpiga mtu kijembe ni pale mlengwa anapogundua au anapoona,
Mkuu hapo Block tu.
Akipost mara kadhaa akiona kwamba huoni chochote ataacha.

Mpaka hapo utakuwa umeua nyoka na kumkata kichwa, kwisha kazi.
 
Sipati picha kama yumo humu JF akikuona umemuandikia uzi status atakayokuwekea[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu usiwe unajibu wala kuzisoma kwa mwezi halafu utatupa mrejesho hapa.Ukisoma tu atazidisha maana atakuona umezisoma
 
wewe tumia GB whatsapp alafu ficha last seen, profile pic, msg derivered endelea na maisha.

mie kuna mjinga flani alikuwa anasumbua nikafanya ivo anatuma msg zinaonekana hazijasomwa kumbe nimeziona nimekula buyu tu.

huwa anauliza mbona sikuoni whatsapp. wapuuzi sana watu wa namna iyo
 
Aisee nimecheka sana, ila ndiyo kawaida yao, mie nakushauri muachane tu, maana kama mapenzi yameisha yanini kuyaendeleza?!
 
Back
Top Bottom