Kwanza kapime kucheki afya yako, halaf akitaka chakula cha usiku tumia mpira, ili wakati unajipanga au kujiandaa kumwachia maisha yake uwe unachunga na afya yako, Kiufupi acha kumfatilia na kama mmechokana mwambie aondoke yeye kwako na sio wewe, Labda kama hiyo nyumba ndio mmejenga wote na kuepusha kuwatesa wanao, mwache yeye abaki na watoto ila kuanzia sasa anza plan nyengine yakutafuta kwako, yani nunua eneo kwa jina lako anza maisha yako taratibu ukiwa na Amani, iko siku atarudi tu au atakutafuta, ASILIMIA KUBWA YA WANAUME WANAOCHUKUA WAKE ZA WATU, HUWACHUKUA KWA MATAMANIO TU NA SIO KAMA WANAFUTURE NAO, Kama huamini mwache halafu usikie ameolewa, utasikia kamwaga na atarudi kwa magoti, na hata akiolewa hadumu huko...pole sana