Chanazi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2010
- 212
- 71
Watu wengine wameoa kufuata itifaki tu, kua binadamu lazima aoe/aolewe!
We ndio mwanaume au yeye? Kama ni yeye anakuonea, kama ni wewe timiza wajibu wako, huduma kwa familia ni kati ya majukum yako.. Pili acha kuwa Duyuth, kama kazi unaona haisaidii familia basi mwambie atulie nyumbani kama wewe kweli una authority na familia yako, exercise your power
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
We ndio mwanaume au yeye? Kama ni yeye anakuonea, kama ni wewe timiza wajibu wako, huduma kwa familia ni kati ya majukum yako.. Pili acha kuwa Duyuth, kama kazi unaona haisaidii familia basi mwambie atulie nyumbani kama wewe kweli una authority na familia yako, exercise your power
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums