Mke wangu ananichanganya

Mke wangu ananichanganya

Watu wengine wameoa kufuata itifaki tu, kua binadamu lazima aoe/aolewe!
We ndio mwanaume au yeye? Kama ni yeye anakuonea, kama ni wewe timiza wajibu wako, huduma kwa familia ni kati ya majukum yako.. Pili acha kuwa Duyuth, kama kazi unaona haisaidii familia basi mwambie atulie nyumbani kama wewe kweli una authority na familia yako, exercise your power

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
wengine wanagombania gesi wengine pesa basi burudani tu hii dunia:fencing:
 
Kama kazi yenu ni kuzaa tu, kazi aliitafuta ya nini? acheni kuwa wabinafsi...kufanya kazi ofisini ni alternative ya kulima, kufuga n.k!!!
Mabinti wa kizazi cha leo sijui mko vipi, kwa AINA YA MAWAZO YAKO, MTAENDELEA KUNYANYASWA NA KUTOPEWA KIPAUMBELE NA WANAUME....
Tafuta maana ya maneno haya DUTIES and RESPONSIBILIES then come back again to argue with watu8.

Hayo uliyonukuu ni aina tu ya kujitete, maana BIBLIA ninayoifahamu imeyaandika hayo ikiwa inaelezea adhabu ambayo mwanadamu anapewa baada ya DHAMBI kuingia duniani, na wala sio majukumu ya awali ambayo MUNGU alimpa KE na ME...

hivyo vipaumbele endelea kubaki navyo kwapani,duties na responsibilities za ke ni kuhakikisha malezi bora ya familia kuprovide money ni another issue na ni utashi wa mtu sitaki kubishana naww ila tambua aliyeleta uzi anataka nini kisha umjibu unavyoweza kumsaidia.
 
Piga moyo konde mkuu, huyo ni kwamba hajaizoea hela bado ambayo inapatikana kwa JASHO, endelea kuhudumia familia yako kama awali...Mwanamke mwenye akili anajua thamani ya kusaidiana na mumewe kwenye kila hatua ya maisha kifamilia.
Ndio maana familia nyingi za Kitanzania hutetereka pindi MUME anapochukuliwa na MAULANA maana ni wengi hata bajeti za kifamilia wanakuwa hawafahamu.
Wengi wanapenda tu kuweka KIPAGO vizuri ili JIWE la manati lipite, na humu ndani wamejaa kibao utawagundua tu kwa posts zao...bhaaasss!!!
hapo umenena jembe...wanawake wengi hawawezi majukumu ya kifamilia kwa kweli..mwanamke hulka yake ni kuongozwa sio kuongoza...na post zao ni ushahidi tosha kabisa...100% nakubaliana na wewe...
 
Mh! Pole sana ndugu yangu cha muhimu kaa chini na mkeo myapange yapangike ili ndoa isalimike.
 
Wanawake ni watu wa home.. Sasa nyie mnawa-missuse sana kwa kuwaruhusu wafanye Kazi.. Ndio matatizo yake hayo.. Sasa Sijui ni kabila gani ukimpata msukuma anayefanya Kazi Lazima ndoa ipigwe chali, SIO sababu ya uhuni no Bali ubabe, majivuno, kiburi Na ubishi.. Wanawake Wa kisukuma waliosoma wachache sana wako Kwenye ndoa, Na stail Za Ndoa zao kuachana ni wanaume kukimbia miji..mwanamke wa kitusi akipata Kazi Basi hiyo Kazi Ndo inakuwa mume wake, all priorities zinalazwa Kwenye Kazi , mnyamwezi akipata Kazi lazima "alimbuke", huko
Kazini wanamkazi huko huko .., mwanamke wa kichaga piga ua hakaliki nyumbani hilo ujue mapema, Na ukitaka ndoa idumu degree yako ya wivu iwe zero, mpare Hana shida Yeye home anakaa Na kutulia kabisaa thamani yake umpatie gwaride kila saa tena la Maana ikivuja anagawa out tena Hana mshipi Wa ku feel guilty, Sijui niendelee ah nisije kwaza watu humu, mambo ya ajira Kwa wanawake yafanyike kabla ya ndoa.baada ya Ndoa Mwanamke anakuwa Na ajira mpya, kulea Na kutunza familia.
endelea ebana kama vipi ila hapo kwa wasukuma na kukimbia miji..wasukuma na wanyamwez wanafanana kimtindo so dizain wako sawa kwenye kuhama miji..halafu mamanzi wa kisukuma ni kweli wanapenda ubabe flani hivi..daaah jombaaa umelenga mule mule yan
 
Smile pls usimwage PM zangu hadharani maana kama namtetea huyu mke wa Chaz C ambaye nyie mmeshamhumu how about PM?? Namaananisha zitakuwa za kukubembeleza sana mpaka watu watashangaa ni huyu huyu MR???

Back to point, bado nayaona mapungufu katika mada hii kwa sababu moja, kabla ya mke wake kupata kazi ni mwanaume ndiye aliyekuwa anahudumia 100%, saizi mke kapata kazi, kama mke anatoa matumizi ina maana mume atabaki na ziada. Akae na mke wake amshawishi jinsi gani watavyotumia ziada yao wote kwa manufaa ya familia.

Hayo ndiyo maisha.

Hiyo ni nadharia tena nadharia nyembamba. Hivi unadhani huyu mwanaume hajawai mshauri mkewe juu ya kuchangia matumizi? Unadhani hicho kiburi cha mke kutoa pesa alikiona wakati wanaomba, wanafanya sex, wanakula chakula au wakati wanajadili kuchangia kuendesha family?.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni nadharia tena nadharia nyembamba. Hivi unadhani huyu mwanaume hajawai mshauri mkewe juu ya kuchangia matumizi? Unadhani hicho kiburi cha mke kutoa pesa alikiona wakati wanaomba, wanafanya sex, wanakula chakula au wakati wanajadili kuchangia kuendesha family?.

Amesema wapi au ndiyo unamuwekea maneno yako mdomoni???
 
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help

Sasa tukusaidie nini ndugu wakati mke ni wako mwenyewe.........kwani wakati akiwa hana kazi ulikua unayamudu vipi maisha. Acha kukimbia majukumu ndugu hudumia familia yako.
 
mfumo dume upo kabla hata ya Kristo lakini kuna mifumo ambayo ni kandamizi kwa karne hii tuliofikia natambua ni muhimu kusaidiana majukumu ya kifamilia lakini mkewe kakataa hivo hawezi kumlazimisha au kutumia mabavu inahitajika busara tu.

hapa ndo huwaga nachoka na mafeminist wa jf. Wanapiga kelele za usawa kila siku aafu kwenye majukumu wanarudi kwenye biblia. Huwa siwaelewi, mkitaka kuhudumiwa kwa kila kitu basi kuweni tayari na majukumu ya ndani ya nyumba!
 
Kaka wacha wanawake vilaza waendelee kuwa vilaza, na wale werevu wandelee kuwa werevu...
Sasa ule ukiri wa kusema namkubali fulani kuishi naye katika shida na raha sijui ndio unakuwepo wapi...
Unaishi na mwanamke akiwa hana kazi anakuwa mnyenyekevu at last anapata kazi anaota mapembe...
MWANAMKE mwenye akili ni yule anayeambatana na MUMEWE katika hali yoyote iwe mvua au jua...

hapo umenena jembe...wanawake wengi hawawezi majukumu ya kifamilia kwa kweli..mwanamke hulka yake ni kuongozwa sio kuongoza...na post zao ni ushahidi tosha kabisa...100% nakubaliana na wewe...
 
hapa ndo huwaga nachoka na mafeminist wa jf. Wanapiga kelele za usawa kila siku aafu kwenye majukumu wanarudi kwenye biblia. Huwa siwaelewi, mkitaka kuhudumiwa kwa kila kitu basi kuweni tayari na majukumu ya ndani ya nyumba!

mmoja wapo ni huyo dada uliyemquote, kupitia comments zake tu utagundua ni aina gani ya mwanamke...
 
....kama kwa miaka tisa uliikubali hali ya wewe kugharimia kila kitu yeye akiwa mama wa nyumbani, shida ni nini miezi nane hii unataka hela yake ichangie bajeti?

Shukuru Mungu mkeo anaweza jitatulia shida zake ndogo ndogo. Wanawake wengine wanalazimika kutafuta kazi ili kuepuka masimango na kusimbuliwa na waume sie...

Stahmili kidogo, ....ni kwa huruma yake tu ndio atapokusaidia si kwa kumlazimisha kaka. Muache azichange change kidogo, zikishamtosha utayaona mabadiliko.


Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help
 
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help
Kabla ya kupata kazi ulikuwa unaitunzaje familia? Anyway cha msingi usimlazimishe, unapaswa kukaa naye kwa utaratibu na kumuelewesha na kumshirikisha ktk mipango yenu ya maendeleo. Naamini akielewa, hataweza kwa namna yoyote kugoma kutoa mchango wake.
 
hivyo vipaumbele endelea kubaki navyo kwapani,duties na responsibilities za ke ni kuhakikisha malezi bora ya familia kuprovide money ni another issue na ni utashi wa mtu sitaki kubishana naww ila tambua aliyeleta uzi anataka nini kisha umjibu unavyoweza kumsaidia.

kama hukusoma, huu ndio ulikuwa ushauri wangu...hata mimi mwenyewe sitaki kubishana nawe...

watu8 said:
Piga moyo konde mkuu, huyo ni kwamba hajaizoea hela bado ambayo inapatikana kwa JASHO, endelea kuhudumia familia yako kama awali...Mwanamke mwenye akili anajua thamani ya kusaidiana na mumewe kwenye kila hatua ya maisha kifamilia.
Ndio maana familia nyingi za Kitanzania hutetereka pindi MUME anapochukuliwa na MAULANA maana ni wengi hata bajeti za kifamilia wanakuwa hawafahamu.
Wengi wanapenda tu kuweka KIPAGO vizuri ili JIWE la manati lipite, na humu ndani wamejaa kibao utawagundua tu kwa posts zao...bhaaasss!!!
 
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help

That is the proble with this animals (women) you cant live with them, and you cant live without them.

NB: we are all animals with different character and behavoiur
 
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help

Hapa ndio wanaume tunapoanza kujichanganya!!
Nani kakuambia hela za mwanamke ni za kuhudumia familia yako??????

Hela za wanawake zinaliwa kwa maarifa madogo tu ya upendo wa mume na mke, ama kwa fix za kisayansi ambazo hazina madhara na hayaumi, bhaaaaaas!!
Mwanaume ukianza stori za kutamani hela za mkeo, you are finished na utagombana nae taka usitake ama ataanza kutafuta source nyingine ya kujipatia hela eg kutafuta kidumu km sio kindoo, achana nae, mwache afanye kazi thibiti hela kwa remotely, huhitaji kumpangia majukumu, wenyewe watajipangia tu automatically hasa hasa za ki-domestic, wewe mwache, we endelea na projects kubwakubwa zi kimaendeleo, mwache hana pa kupeleka hizo hela, anaweza kuwapa ndg zake, fine, anaweza kununua nguo zake nzuri, fine, anaweza kununua manukato mazuri, fine.............hana pa kupeleka!!

Ushauri wa upole:
Ongeza bidii ujiongezee kipato zaidi ya kipato chake hadi uwe na kipato cha ziada, achana nae utaleta matatizo yasiyo na mwisho mzuri!!
Stand as a man and a leader of the family(sio mfumo dume, its the fact...............kaeni nao kwa makini maana ni VYOMBO vidhaifu---somewhere in the bible)
Ahsante sana!!
 
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help
Ndio zao hizo,jitume tu mzee maana hawarekebishiki,tunawependa kwa urembo wao ukishamuweka ndani ndio utajua kwa nini wanaitwa wanawake.
 
Back
Top Bottom