John L. Mihambo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 526
- 180
Mkuu, kabla hatujaelekeza lawama zetu kwa mkeo labda ungejibu maswali haya machache;
1) Hali yenu ya kiuchumi ilikuwaje wakati mnaoana na huyo mkeo?
2) Leongo la yeye kutafuta kazi lilikuwa ni lipi?
3) Mlijadiliana na mkeo kwa kina sababu za yeye kutafuta kazina namna hiyo kazi itakavyo wanufaisha katika maisha yenu?
4) Mipango yako ya kuoa ilikuaje? Kwa maana ya mama wa nyumbani ama mfanyakazi, ili uweze kukabiliana na changamoto za maisha?
5) Nini falsafa yako kuhusu ndoa na mke wa kuishi nae?
1) Hali yenu ya kiuchumi ilikuwaje wakati mnaoana na huyo mkeo?
2) Leongo la yeye kutafuta kazi lilikuwa ni lipi?
3) Mlijadiliana na mkeo kwa kina sababu za yeye kutafuta kazina namna hiyo kazi itakavyo wanufaisha katika maisha yenu?
4) Mipango yako ya kuoa ilikuaje? Kwa maana ya mama wa nyumbani ama mfanyakazi, ili uweze kukabiliana na changamoto za maisha?
5) Nini falsafa yako kuhusu ndoa na mke wa kuishi nae?