Hapo ndo huwa nachoka na hawa viumbe.Halafu utakuta wanalalamika mfumo dume.Mchape mimba akae kwanza nyumbani iwe ndiyo mwisho wa kazi na heshima itarudi.Samahani kama nitakuwa nimekukwaza, ngoja nilale asubuhi tutaendelea
sasa akimchapa mimba si ndio majukumu yanaongezeka?
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help
Afadhali ijulikane moja kama tangia mwanzo.Huyo mke wake ameburuzwa na wanawake wenzake wasiopenda maendeleo ya wengine na yeye bila kufikiri ameingia kichwakichwa.
Mkuu, hela ya kusaidia nyumbani hana ila ya saloon na mambo mengine yake ipo.