Mke wangu anajiuza?

Mke wangu anajiuza?

Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
Bonge la fursa hilo bwasheee!

The good, the bad and the ugly.
 
FB, JF, WhatsApp...what next? Hizi nadhani zinatosha.
 
Mungu wangu
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Back
Top Bottom