Mke wangu anajiuza?

Mke wangu anajiuza?

...............Sasa unadhani hapo kuna jengine kama siyo kumuacha?huyo ni malaya na huo ni uthibitisho tosha namshangaa mwamba yupo hapa ana-post saizi alitakiwa awe anamsimamia kutoa vitu vyake nje hawa malaya siyo wa kucheka nao wanakuuwa huku unajiona.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Don't make decisions when you are angry!! Huwez jua how far anampenda mke wake...by the way wapo watu waliowafumania wake zao live na still bado hawajaachana ila kuna wengne waliachana na wake zao kisa SMS za kwenye simu tu... Kikubwa waongee tu wafikie muafaka kama either Ni kumsamehe au kumuacha!
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe namba yake nijiridhishe kama ni kweli au unamsingizia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkague kwa nyuma vizuri kama shimo limetanuka
 
Pole sana mkuu najua unahasira ina swali la kukuuliza je huwa unampatia fedha kadhaa kwaajili ya matumizi yake binafsi??

Kama huwa humpi fedha kwaajili ya matumizi yake binafsi basi unamchango katika hiyo tabia aliyotaka kuifanya, cha kufanya kuwa mpole, ongea nae kwakina kumpiga sio suluhisho mwisho anza kumpa baadhi ya vipesa kwaajili ya matumizi yake binafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo simu ni yako na si ya mkeo. Na meseji unasema mkeo ndio kaanzisha mazungumzo ila hapo inaonekana namba ngeni ndio imeanzisha mazungumzo. Mkuu acha kuchepuka halafu unasema mkeo. Yaani haiwezekani mteja apange bei halafu mkeo aulize tena eti "mbele" yaani biashara yake halafu asijue matumizi kulingana na bei? Hii chai na upepo wakati kuna joto kali.

Double tick huonekana kwa meseji inayotoka na sio inayoingia.
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mbaya mnatafuta wote ili niweze kuhudumia familia pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom