Mke wangu anajiuza?

Mke wangu anajiuza?

Ni mke wako zungumza nae kwa upole kbs hawa wanawake hujui kitu kingine waliongea na shetani zaid ya lile tunda!!! Kuna watu wanaweza kukushauri humu ukamuacha mkeo bureee
 
hata hivyo mkeo ni mbunifu na umefanya kosa kumpiga

kipi bora kati ya kuitoa bure au kuiuza..!?
 
Kama ni kweli kazi unayo..Sasa kwanini una mihemko.Si,ungelifuatilia kwa kina hili swala kabla ya kumlamba makofi kubaini ukweli na kulikomesha....mana ni swala zito kwelikweli hilo
 
Huyo ni mjasiriamali ni typing error tu..kuna vitu anauza kimoja elfu 20 jamaa alikusudia kuuliza mbili? Yaani kama moja elfu 20 mbili itakua kiasi gani?😂😂😂
 
Mkuu huko telegram kuna balaa mkeo akiwa na hiyo app inabidi uwe makini sana na mienendo yake.
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tafadhari weka namba yake ili tukupe ushaidi kamili ila yeye usinambie kama umeshtua huku kuhusu hiyo biashara

mwongo atofautiani Na mchawi
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyuma Bei gani anafanya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom