Mke wangu anajiuza?

Mke wangu anajiuza?

Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
acha uongo mkuu, mtumaji wa meseji yupo upande wa kulia anayeuliza mbele na hawezi kuwa mwanamke, huyo ni mwanaume (WEWE) Ume capture chatt yako na malaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni pm no yake na jina analotumia kwenye mitandao ya kijamii nikusaidie kufanya uchinguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app

Nna wasiwasi na hii conversation, application ya telegram mtumaji wa msg huwa texts zake zinakaa upande wa kulia na anayejibu zinakaa upande wa kushoto. Hapo inaonekana huyo jamaa ndio kascreenshot na msg yake iko kulia na mwanamke ndio anaonekana akiwa anajibu.

Au telegram kuna setting unabadilisha kwamba wewe sender msg zako zinakua kushoto na anayejibu zinakaa kulia?
 
Huko telegram ni sodoma tu zinaendelea watu wana-post mivideo ya ajabu ajabu na hapo mwamba ameambiwa 20K ila atavizia ktk ya mchezo apenyeze rupia atake back kwa 100K hatochomoa.

Watanzania mitandao tumeipokea kwa pupa sana walioanzisha hichi kitu wala hawakuwa na nia ya yale wanayoyafanya wateja wao.inasikitisha sana.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Nna wasiwasi na hii conversation, application ya telegram mtumaji wa msg huwa texts zake zinakaa upande wa kulia na anayejibu zinakaa upande wa kushoto. Hapo inaonekana huyo jamaa ndio kascreenshot na msg yake iko kulia na mwanamke ndio anaonekana akiwa anajibu.

Au telegram kuna setting unabadilisha kwamba wewe sender msg zako zinakua kushoto na anayejibu zinakaa kulia?
Ana tuenjoy huyo mkuu, labda huyo malaya anaechat nae ndio mke wake.
 
Ni mke wako zungumza nae kwa upole kbs hawa wanawake hujui kitu kingine waliongea na shetani zaid ya lile tunda!!! Kuna watu wanaweza kukushauri humu ukamuacha mkeo bureee
...............Sasa unadhani hapo kuna jengine kama siyo kumuacha?huyo ni malaya na huo ni uthibitisho tosha namshangaa mwamba yupo hapa ana-post saizi alitakiwa awe anamsimamia kutoa vitu vyake nje hawa malaya siyo wa kucheka nao wanakuuwa huku unajiona.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ni usia kwa wanaume wengine jitahdn wake zenu mchubguze magrupu yao ya teelgram
 
Kiongozi kwa meseji hizo tu Unachapiwa 100%!! Tena hiyo Elfu 20 ndo exactly bei ya papuchi mtaani!! hapo mbane mkeo vizur kistaarabu ila usimpige
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
Namba ngeni : Moja 20
"Wewe" : mbele?
Namba ngeni: Yes.
Msg iliyotumwa kwenye simu uliyoscreeshot ndio ina double tick. Msg zinazokuwa received haziwi na double ticks.
 
Back
Top Bottom