Mke wangu anajiuza?

Mke wangu anajiuza?

Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
baba tupac eeeenh usisite ebu tupe maelezo ya nwanzo mlipokutana kabla ya kumuoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutufunga kamba we kima, hiyo screenshot kama umetoa kwenye simu ya mke wako it means yeye ndo aliyeituma message hiyo inayosema 'mbele'
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona screenshot haitoi ushirikiano kwa madai ya mleta mada?

Iko reverse, kama ni simu ya mke wake ndipo alipopiga hiyo shot basi text aliyotuma mkewe ni hiyo "mbele" hizo nyingine zimeingia kwenye simu ya mkewe.

Ameamua kuwachezea akili tu.
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app

Unatudanganya. Kwa mujibu wa maelezo yako hakuna ukweli wowote hapo. Katika mawasiliano ya SMS, anayechat (sender) husomeka upande wa kulia (i.e. mke wako) huku upande wa kushoto wa conversation ni yule recipient.

Ungetuambia kuwa mke wako ndiye aliyeuliza bei tungekubali, vinginevyo umetudanganya kitoto kabisa & it’s sad that baadhi yetu hawajagundua hilo. Re-read the convo screenshot and you’ll testify my critique.

We’re smart, bro/sis!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini

View attachment 1419021

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi napita tu
 
Back
Top Bottom