cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,777
- 73,522
Mkuu ugomvi unataka mwenyewe, kwanini usimzuie huyo Shemeji yako kufanya hayo anayofanya na umwambie mkeo ajifunze kwa mwenzake na kuanza kuwajibika kama Mke?una uwezo wa kuhudumia familia mbili zikiwa pamoja unashindwa kumpangishia Shemeji yako walau chumba tu?mbona vipo vya gharama nafuu tu lazima akubaliane na hali halisi na kukubali kwamba maisha kuna kupanda na kushuka aishi chumba utakachomudu kumlipia na ikiwezekana mtafutie hata kijibiashara kidogo hata cha mama ntilie ili aweze kupata baadhi ya mahitaji yake ili hali na wewe ukiongeza nguvu,unajua tatizo huwa tunafikiria vitu vikubwa wakati kila hali ina solution zake kulingana na uwezo.Mke wako anafanya hivyo for the sake ya ndoa yenu anaona mambo yanavyokwenda ipo siku utateleza ukamsingizia shetani. JiongezeWadau nawasalimu,
Kuna mgogoro wa kifamilia unafukuta nyumbani kwangu,
Ni kwamba kuna kaka yangu ambae alipata matatizo na yupo jela sasa takribani mwaka wa pili akitumikia kifungo cha miaka saba.
Huku nje familia yake ilishindwa kumudu kodi ya nyumba baada ya kodi aliyolipa jamaa kuisha, mkewe alikuja kuniona kwa ajili ya hilo, nami nikaliwasilisha kwa wazee ambapo walishauri niichukue hiyo familia tukae pamoja kwangu kwa kujibanabana hivyo hivyo.
Kwa kuwa kumlipia kodi kwa kweli kwa majukumu niliyonayo nisingeweza, maana ada za shule za watoto wake ni mimi pia ndio nalipa kwa sasa, tuliwatoa shule za gharama na kuwaleta za kawaida.
Wakahamia kwangu yeye na watoto wake, tunaamini kuwa miaka mitano iliyobaki katika kifungo si mingi sana, tukimwacha mwanamke aende njia yake si ajabu jamaa akatoka huku familia imepotea au kuchukuliwa na jitu lingine ukizingatia mwanamke hakua na kazi, ni house wife na wote tunajua jinsi hawa wenzetu walivyo dhaifu, nadhani wengi mmeshasikia simulizi nyingi za watu waliofungwa waliwakuta wake zao wako wapi pindi walipotoka huko.
Nyumbani amani imetoweka sasa, kati ya mke wangu na huyo shemeji yangu, huyu shemeji kiukweli ni mchapa kazi na mwenye heshima ya hali ya juu, nikirudi kutoka kazini huja mlangoni kunifungulia geti, baada ya hapo huja kwenye gari hunipa shikamoo huku amepiga magoti na kupokea kwa unyenyekevu mzigo wowote ninaokua nao.
Nikitoka kwenda bar nikirudi saa tano saa sita usiku huja kunifungulia geti anamzuia housegirl asiamke anakuja yeye, kisha hunipakulia chakula na kunikaribisha, ananisubiria anatoa vyombo na kuni wish good night.
Sasa hii treatment ambayo huyu shemeji ananipa imemkasirisha sana mke wangu ambae kwa kweli nimeshasahau mara ya mwisho ni lini alinikirimu hivi, mm uhudumiwa na hg na wengi wao huwa viburi sio kama anavyofanya shemeji,
Sasa umezuka ugomvi mkubwa ndani kati ya mke wangu na shemeji.
Usiku silali naambiwa nichague nimfukuze shemeji au yeye aondoke eti kama nimeona shemeji ni bora, mke wangu sasa haendi kulala mapema anakaa sitting room na shemeji hadi saa sita hadi nifike ili aone kama kuna kitu kinafanyika, ameshatangazia wanaukoo kuwa mimi na shemeji kuna kitu kinaendelea jambo ambalo sio la kweli.
Pia shemeji anapenda kuniita kwa jina la "" mume"" juzi mke wangu alimsikia akiniita hivyo na kumuuliza mume wako na nani ukazuka ugomvi mkubwa sana, wakati mwingine naporudi usiku mwingi shemeji anakua yupo ukumbini na mavazi ya kulalia akitazama series, mke wangu nae anatoka kuja kunisubiria hapo hapo akidhani kuna kitu labda tutafanya hapo na shemeji, hawazungumzishani kitu hadi mimi napofika, yule shemeji anawahi mezani kunipakulia chakula.
Juzi juzi tulikua tunakunywa bia mimi na shemeji yangu mahala fulani, huwa namtoa out mara moja moja ili walau apoteze mawazo ya matatizo yaliyowapata, nikatumia Muda huo kuongea ili ajishushe kuepusha ugomvi usiokua wa lazima pale home lakini akanijibu kuwa wife ndio anapaswa kujishusha kwa kuwa ni mdogo kwake.
La hasha nikampangie kwake yeye na wanawe niwe namhudumia huko, nikamjibu sina uwezo huo wa kuhudumia familia mbili, ukizingatia kuwa ndugu ni kama wamenitelekezea mm huu mzigo kila mtu anajifanya yupo busy na wengine wakilia ugumu wa maisha.
Wadau mnanishauri nini kuhusu tatizo hili, maana hali sasa ni tete, mke wangu amenipa ultimatum kwamba nimuondoe shemeji or else aondoke yeye, mimi tatizo langu kubwa ni wale watoto, hatima yao, inafikia hatua sasa mke wangu anawazuia watoto wetu wasicheze pamoja na wale wa kaka kutokana na ugomvi na mama yao.
Msaada wa haraka unahitajika
Sent using Jamii Forums mobile app
hata akimla undugu uko pale pale.....hawezi badilisha damu na vimelea vyake......awe mwanaume wa kweli.....kujisogeza kwa shemejio ni tatizo haswaa....Undugu hauishi je akimbandua mke wa kaka yake vipi hqpo undugu utakuwaje! Yeye amwambie shemeji yake ukweli pale sio kwake hivyo afuate masharti ya pale mbona yeye kashindwa kukaa mwenyewe kwake asimvunjie nyumba mwenzie hata mmewe akisikia mke wa mdogo wake kaondoka kisa mkewe wanakulana na mdogo wake nini kitatokea!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeh....anazunguuuka kumfanya mkewe aonekane mbaya kumbe tatizo lake mwenyewe. Na wa jela ana miaka mingine mitano mizima....akirudi wallah atakuta kabadilishwa jina yeye ndiyo kawa shemeji badala ya mume....Mimi muda wote nasoma hii stori nacheka tu kwa jinsi jamaa anavyotuchuuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani umechukua mawazo yangu kabisa, me mwenyewe nimeshangaa, alafu cha ajabu kuna watu humu wanamlaumu huyo mke wa mleta mada eti ana roho mbaya sijui nini, tena ukute akija hapa kuhadithia mambo ambayo huyo bi dada anayafanya tutachoka. Mimi mwenyewe huwezi kuja kuishi kwangu alafu ujifanya wewe ndo mwenye nyumba hadi kwa mume wangu weee thubutuu mbona ningewapisha mtu na shem wake waliwazane vzr pumbavuuuIla nawe kama unamtaka shemejio hiviiii na shemejio anakutaka pia ama mnamahusiano tayari ila huweki wazi.
anavaa nguo za kulalia
anakimbikia kukupakulia chakula wakati mkeo yupo, mnatoana ana out bila mkeo...ha ha ha hata mie ningewaka kunusuru ndoa.
La msingi hapo
mwambie shemejio aache kufanya majukumu ya mke kama mkeo hataki mwache aendeleee kufanya hausgeli kama ulivyozoea zamani
yaaani kupigiwa magoti na kupokelewa begi ndio kunakufanya utake kuendelea kupokea hayo...?? kwani ukikosa utapungukiwa nini??
la pili mwambie tena huyo shemejio ajishushe yupo hapo kusaidiwa jibu alolitoa i la kijinga sana.."eti ajishishe mkeo kwakuwa ni mdogo" anatakiwa ajue nafasi yake..shenzi zake..anataka kuwa mke huyo.
lingine aache utani wa "mume" wakati mumewake yupo ndani kwa muda mrefu.. utani mwingine sio mzuri na wala hauna afya hasa kwa senario yako.
la mwisho....mtafutieni mtaji afanye biashara ajitegemee maisha sio kazi tu.
mnaweza kukaa kama familia mchangieni mtaji aokote ya kodi ya nyumba hata vyumba 2.
Sent using Jamii Forums mobile app
This is right.Ila nawe kama unamtaka shemejio hiviiii na shemejio anakutaka pia ama mnamahusiano tayari ila huweki wazi.
anavaa nguo za kulalia
anakimbikia kukupakulia chakula wakati mkeo yupo, mnatoana ana out bila mkeo...ha ha ha hata mie ningewaka kunusuru ndoa.
La msingi hapo
mwambie shemejio aache kufanya majukumu ya mke kama mkeo hataki mwache aendeleee kufanya hausgeli kama ulivyozoea zamani
yaaani kupigiwa magoti na kupokelewa begi ndio kunakufanya utake kuendelea kupokea hayo...?? kwani ukikosa utapungukiwa nini??
la pili mwambie tena huyo shemejio ajishushe yupo hapo kusaidiwa jibu alolitoa i la kijinga sana.."eti ajishishe mkeo kwakuwa ni mdogo" anatakiwa ajue nafasi yake..shenzi zake..anataka kuwa mke huyo.
lingine aache utani wa "mume" wakati mumewake yupo ndani kwa muda mrefu.. utani mwingine sio mzuri na wala hauna afya hasa kwa senario yako.
la mwisho....mtafutieni mtaji afanye biashara ajitegemee maisha sio kazi tu.
mnaweza kukaa kama familia mchangieni mtaji aokote ya kodi ya nyumba hata vyumba 2.
Sent using Jamii Forums mobile app
This is right.Ila nawe kama unamtaka shemejio hiviiii na shemejio anakutaka pia ama mnamahusiano tayari ila huweki wazi.
anavaa nguo za kulalia
anakimbikia kukupakulia chakula wakati mkeo yupo, mnatoana ana out bila mkeo...ha ha ha hata mie ningewaka kunusuru ndoa.
La msingi hapo
mwambie shemejio aache kufanya majukumu ya mke kama mkeo hataki mwache aendeleee kufanya hausgeli kama ulivyozoea zamani
yaaani kupigiwa magoti na kupokelewa begi ndio kunakufanya utake kuendelea kupokea hayo...?? kwani ukikosa utapungukiwa nini??
la pili mwambie tena huyo shemejio ajishushe yupo hapo kusaidiwa jibu alolitoa i la kijinga sana.."eti ajishishe mkeo kwakuwa ni mdogo" anatakiwa ajue nafasi yake..shenzi zake..anataka kuwa mke huyo.
lingine aache utani wa "mume" wakati mumewake yupo ndani kwa muda mrefu.. utani mwingine sio mzuri na wala hauna afya hasa kwa senario yako.
la mwisho....mtafutieni mtaji afanye biashara ajitegemee maisha sio kazi tu.
mnaweza kukaa kama familia mchangieni mtaji aokote ya kodi ya nyumba hata vyumba 2.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah katafuta njia ya kumfukuza imeshindikana anaamua kumtafutia visa mkewe.Umeona eeh....anazunguuuka kumfanya mkewe aonekane mbaya kumbe tatizo lake mwenyewe. Na wa jela ana miaka mingine mitano mizima....akirudi wallah atakuta kabadilishwa jina yeye ndiyo kawa shemeji badala ya mume....
Wadau nawasalimu,
Kuna mgogoro wa kifamilia unafukuta nyumbani kwangu,
Ni kwamba kuna kaka yangu ambae alipata matatizo na yupo jela sasa takribani mwaka wa pili akitumikia kifungo cha miaka saba.
Huku nje familia yake ilishindwa kumudu kodi ya nyumba baada ya kodi aliyolipa jamaa kuisha, mkewe alikuja kuniona kwa ajili ya hilo, nami nikaliwasilisha kwa wazee ambapo walishauri niichukue hiyo familia tukae pamoja kwangu kwa kujibanabana hivyo hivyo.
Kwa kuwa kumlipia kodi kwa kweli kwa majukumu niliyonayo nisingeweza, maana ada za shule za watoto wake ni mimi pia ndio nalipa kwa sasa, tuliwatoa shule za gharama na kuwaleta za kawaida.
Wakahamia kwangu yeye na watoto wake, tunaamini kuwa miaka mitano iliyobaki katika kifungo si mingi sana, tukimwacha mwanamke aende njia yake si ajabu jamaa akatoka huku familia imepotea au kuchukuliwa na jitu lingine ukizingatia mwanamke hakua na kazi, ni house wife na wote tunajua jinsi hawa wenzetu walivyo dhaifu, nadhani wengi mmeshasikia simulizi nyingi za watu waliofungwa waliwakuta wake zao wako wapi pindi walipotoka huko.
Nyumbani amani imetoweka sasa, kati ya mke wangu na huyo shemeji yangu, huyu shemeji kiukweli ni mchapa kazi na mwenye heshima ya hali ya juu, nikirudi kutoka kazini huja mlangoni kunifungulia geti, baada ya hapo huja kwenye gari hunipa shikamoo huku amepiga magoti na kupokea kwa unyenyekevu mzigo wowote ninaokua nao.
Nikitoka kwenda bar nikirudi saa tano saa sita usiku huja kunifungulia geti anamzuia housegirl asiamke anakuja yeye, kisha hunipakulia chakula na kunikaribisha, ananisubiria anatoa vyombo na kuni wish good night.
Sasa hii treatment ambayo huyu shemeji ananipa imemkasirisha sana mke wangu ambae kwa kweli nimeshasahau mara ya mwisho ni lini alinikirimu hivi, mm uhudumiwa na hg na wengi wao huwa viburi sio kama anavyofanya shemeji,
Sasa umezuka ugomvi mkubwa ndani kati ya mke wangu na shemeji.
Usiku silali naambiwa nichague nimfukuze shemeji au yeye aondoke eti kama nimeona shemeji ni bora, mke wangu sasa haendi kulala mapema anakaa sitting room na shemeji hadi saa sita hadi nifike ili aone kama kuna kitu kinafanyika, ameshatangazia wanaukoo kuwa mimi na shemeji kuna kitu kinaendelea jambo ambalo sio la kweli.
Pia shemeji anapenda kuniita kwa jina la "" mume"" juzi mke wangu alimsikia akiniita hivyo na kumuuliza mume wako na nani ukazuka ugomvi mkubwa sana, wakati mwingine naporudi usiku mwingi shemeji anakua yupo ukumbini na mavazi ya kulalia akitazama series, mke wangu nae anatoka kuja kunisubiria hapo hapo akidhani kuna kitu labda tutafanya hapo na shemeji, hawazungumzishani kitu hadi mimi napofika, yule shemeji anawahi mezani kunipakulia chakula.
Juzi juzi tulikua tunakunywa bia mimi na shemeji yangu mahala fulani, huwa namtoa out mara moja moja ili walau apoteze mawazo ya matatizo yaliyowapata, nikatumia Muda huo kuongea ili ajishushe kuepusha ugomvi usiokua wa lazima pale home lakini akanijibu kuwa wife ndio anapaswa kujishusha kwa kuwa ni mdogo kwake.
La hasha nikampangie kwake yeye na wanawe niwe namhudumia huko, nikamjibu sina uwezo huo wa kuhudumia familia mbili, ukizingatia kuwa ndugu ni kama wamenitelekezea mm huu mzigo kila mtu anajifanya yupo busy na wengine wakilia ugumu wa maisha.
Wadau mnanishauri nini kuhusu tatizo hili, maana hali sasa ni tete, mke wangu amenipa ultimatum kwamba nimuondoe shemeji or else aondoke yeye, mimi tatizo langu kubwa ni wale watoto, hatima yao, inafikia hatua sasa mke wangu anawazuia watoto wetu wasicheze pamoja na wale wa kaka kutokana na ugomvi na mama yao.
Msaada wa haraka unahitajika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndo alipokoseaJamani...hata kama kuishi nyumba za watu mtihani...ndio ukeshe usiku kusubiria kufungua mageti ili hali kuna mke na dada wa kazi juu....Mbona kazi za kuamsha amsha ni nyingi tu za kuonyesha uwepo wako....usafi ndani na nje, kama kuna eneo tifua bustani ali mradi heka heka tu....
Hapo ndo alipokoseaNdiyo mpaka kufungua ma gate usiku saa6 tena nightdress kwa mme wa mwenzio? Kama una mme sizani kama utamponda mwenye mme
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mpaka nimeamua kuacha na sitaki kubishana na watu humu......kuishi nyumba za watu ni kazi sana hasa ukiangalia na situation ya huyo dadaJamaa kasema hata zaman mke wake alikuwa hampi hizo huduma
Zaidi ya dada wa kazi tu
Sasa watu sijui hawaoni huo msitari!
Watu wamekazana tu anaingilia majukum sio yake akat jamaa
Amekiri dada wa kaz ndo alikuwa
Akilfanyia hayo
Ya kumfungulia geti