Mzee Mugishagwe,
Hashima yako mkuu, naona hapo unachanganya mambo mawili mazito wazungu hawampigii kelele Mugabe kwa sababu ya wananchi kuwa na shida kwani si hata bongo wapo wananchi kwa mamillioni ambao wangependa mkoloni arudi! kwani tofauti yetu na Zimbabwe ni nini?
The issue hapa ni ardhi! Mugabe baada ya miaka mingi katika power alikuja kugundua kuwa asilimia 95% ya wananchi wake hawana ardhi au wanamiliki only 5% ya ardhi ya Zimbabwe nchi yao, wakati wazungu ambao ni asilimia 5% ya zimbabwe wana own 95% tu ardhi ya zimbabwe, kabla hajaanza pokonya pokonya ya ardhi hiyo aliwaomba wazungu yaani the West wamsaidie kulitatua tatizo hilo la Aedhi ya zimbabwe inlcuding The Commonwealth, wota wakaanza kujiuma uma, akamuomba Mbeki na Madiba, waote hawana jawabu, ndipo akaamua kuanza kuchukua ardhi hiyo na sio kwa faida yake bali kuwapa wananchi wa Zimbabwe, sio kama kina fulani hapa bongo ambao wamezichukua na kujenga majumba ya kupanga, sasa wewe mzee Mugishagwe hapa ni kipi usichoelewa? Hamna sababu ya kuwa Intellectual au professor, au genius kuelewa kuwa some where au somehow something had to be done! Na hata hawa wazungu wa Zimbabwe ni wapumbavu wakubwa kwani hata wao walipaswa kuelewa
kuwa it was coming kwa hiyo wangeanza mapema kutafuta njia za ku-reconcile au kutafuta njia za kubalance hii issue!
Mbeki, Madiba, na the whole OAU katika hili wako na Mugabe, kwani aliwauliza wote wamsaidie kumpa maarifa ya kuweza kuchukua hiyo ardhi bila kutumia nguvu none had an answerr for him, Mwalimu alimwambia achukue ardhi hiyo pale tu walipopata uhuru yeye akaamua kuheshimu makubaliona ya Lacanster, ambayo yalitengenezwa na wazungu kwa ujanja wa kujua kuwa ardhi yote ya Zimbabwe imo mikononi mwa wazungu, jamani tuache kusikiliza hawa the West waongo wakubwa na wanafiki wakubwa hawa, ndio wanatupa misaada lakini uhusiano uishie kwenye misaada tu sio mpaka waingilie siasa zetu,
Wewe mkuu Mugishagwe na the West mlitaka mugabe afanye nini?