Mke wangu amepanda cheo, ananidharau

Huu ushauri wa kijinga sana.
Wa kijinga kama mama yako et?
Tulia mama yako afukuzwe si analeta dharau kwa baba yako hadi mzee wa watu anaomba ushauri. Afukuzwe mamako nawe ufuate ***** wewe.
 
Hongera amepanda cheo, kamwe udikubali kudharaulika mnyooshe tu ila usioe mke Wa pili .

Don't make permanent decision for temporary emotions
 
Shkamoo mkuu...ushauri bomba
 
Mke wangu amepanda cheo kazini. Tangu amepata cheo anaonyesha dharau; amebadilika tabia.

Zaidi amekopa benki bila kunitaarifu. Nifanyeje?
Ni kawaida yao mkuu! Pole,vumilia labda atabadilika.Ila akishaanza dharau ujue pia ameshaanza mahusiano nje.Mimi nilivumilia mwishowe ikabidi nibwage manyanga.Baadae alininitafuta nikawa nimeshaji commit mahali pengine nikamwambia it is too late.Anajuta sana.
 
Mwanaume aweza kuwa na elimu nzr kazi nzr muonekano wa maana ila akawa na mwanamke wa kawaida kabisa na mapenzi yakaenda ss geuza kinyume chake uone itakuwaje hv kwann mwanamke akikuzidi hata kakitu kadogo tu inakuwa tafran ndani ya nyumba? inaudhi sana wema mfanyiwe nyie tu vikiliwa vya somo na vya mwali viliwe!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…