Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
mwanaume gani muoga hvyooo....?!!Kumbe mnajijua mlivyo?..
hajiamini ht kidogooo
mwanaume gani muoga hvyooo....?!!Kumbe mnajijua mlivyo?..
Jamani acha kumtisha mwenzio asijejinyonga
mwanaume rijali hawezi kubali dharau ht km mkewe ni rais...Jamani acha kumtisha mwenzio asijejinyonga



alie juu nawe mpandie huko huko!!Mke wangu amepanda cheo kazini. Tangu amepata cheo anaonyesha dharau; amebadilika tabia.
Zaidi amekopa benki bila kunitaarifu. Nifanyeje?
Yeah exactlydon't destory someone else, because once someone destoryed you.
Huko benki ameweka rehani nini?
ukiwa mfanyakazi kama ni wa serikal benk rehani ni kazi yako mkuuHuko benki ameweka rehani nini?
english ya shishi bebi utaijua tuu..Kama anakuletea dharau mchokoze aropoke maneno ya kejeli au dharau upate kumfukuza.
Ingekuwa mimi angekuwa out now now me don't like u.fool



Teteteee, watu na PhD zetu buana we much know english but we are not blowing only.english ya shishi bebi utaijua tuu..![]()