Mke wangu amepanda cheo, ananidharau

Mke wangu amepanda cheo, ananidharau

Pole sana ni jambo la kawaida kwa wanawake hasa wa Kiafrica bado wanaulimbukeni wa mali na vyeo .
Ushauri wangu ni huu ,iko hivi kisaikologia mwanamke kaumbwa na ubinafsi ,mwanake yoyote ni mbinafsi ndiyo maana wanawake niwagumu kutoa kitu alichonacho. Kitendo cha yeye kuchukua mkopo bila kukuambia huo ni ubinafsi ipo siku atajenga wewe hujui. Kaanaye mueleze mabadiko yake mueleze kwamba hiyo familia ni yakwake hana haja yakuficha kitu.
 
Jiamini, acha hofu!
Mabadiliko ya tabia baada ya kupanda cheo ni jambo la kawaida!
mtu akiwa mkurugenzi, definitely atakuwa na muda mwingi kazini kuliko nyumbani!
huwezi kumlinganisha mke mwalimu na CEO!
Mwl hata akija na kazi ya kusahihisha nyumbani bado ana siku kadhaa za kuwa huru, CEO anafanya kazi 24/7 lkn pia kumaintain higher position kunahitaji dedication na commitment ya hali ya juu!
hata wewe ungepanda madaliko yangetokea na wala sio ya nia mbaya!
Mikopo bank, yes inapaswa akueleze, lakini kwa kujua tu kuwa amekopa nadhani amekwambia ila wewe ulitaka mpange akope kiasi gani, lini na kwa shughuli gani, which is good, lakini sio lazima!
ushari wangu kwako:
instead of kukaa chini na kumlalamikia mkeo, hebu msaidie afanye vema kazini kwake.
inferiority complex ya wanaume, imeua potential nyingi za wanawake wa kiTanzania na sababu kuu ni ujinga tu!
hofu ya mke kugongwa na wakubwa wenzake (hata wanawake wauza vitumbua uswahili kwetu wanagongwa na wengine sana kuliko hata CEOs), mikopo na upatu hawa wanawake wa uswahilini huku wanaingia na kujiunga vicoba/upate bila hata ya kutuambia waume zao yet hatulalamiki kwa kuwa tunajua ukuaji wao wa uchumi haututishi kwa kuwa bado watakuwa tegemezi kwetu!
  1. Tazama ni package gani unaweza ku-offer ktk ndoa yenu, mwanzo ulitegemea uchumi (mume kichwa kwa kuwa ndio provider) sasa mama amekuwa sawa na kichwa, then angalia angle nyingine ya uchangiaji itayokupa hamasa sawa na ile role uliyokuwa nayo mwanzo!
    • kuwa mzuri kitandani
    • kuwa mwenye busara na wa msaada kwake, mpitie kumchukua kazini na mpeleke kazini (kama una gari) ili kumuongezea muda wa kumalizia viporo vya kazi akiwa anaenda na kutoka job! elezea hiyo dhamira yako na siku Fulani usimpeleke home straight mpeleke kwa dinner hotelini kama sehemu ya kumuondolea stress za kazi, hutoibiwa!
    • chukua role ya kusimamia watoto, home work, kufuatilia ada, maendeleo shuleni-then utampunguia stress za umama na hivyo kuacha huru mikono na akili zake kwa ajili ya performance za kazini
  2. kuwa sehemu ya mafanikio yake, na chekelea kila ustawi wake. acha kujenga wivu kwa position yake ili isiwe sehemu ya mgogoro wenu! kwa wanawake/mtu yeyote anayejali carrier, ukiwa kikwazo hawezi kukusikiliza, anaweza kukudrop lakini sio kazi yake. usipigane vita ambayo huwezi kushinda, join her, kuliko kuwa na wivu wa kijinga, msaidie kufanikisha anayoyafanya, kumbuka kuna vijana/co-workers watakaojitia ukaribu au hata kutaka kumgonga mkeo sio kwa mapenzi bali kutaka favours. fight your battle alone na kimya kimya! ukiwa wa msaada atakurudia wewe Zaidi kuliko kuweka ukaribu na Mbweha wanaomvizia kwa favours.
  3. panga na mkeo, then she will trust you, wanawake ni tegemezi by nature, huwa wanatuamini kupita kiasi! cha msingi ni wewe kujionesha kuwa una-confidence! unajua hata mwanamke msomi anaweza kuolewa na std 7 na bado akaamini kuwa decisions kubwa baba anatakiwa kuonesha zifanyikaje! anaweza kukufuata kwa ushauri wa gari gani ya kununua hata kama akijua kuwa kwenu hata baiskeli hamna na yeye ameishi ktk nyumba yenye gari Zaidi ya 10! ukijipanga bado mke CEO utamuongoza!
    • ukibebwa na wivu na hofu, hata kama wewe ndiye ungekuwa na nafasi nzuri bado mke atatamani awe karibu na houseboy kwa ajili ya ushauri! na dnio anazidi kuwa na mazingira hatarishi ya kupenywa!
umetoa ushauri mzuri ila sasa kuna semu umekose ,hakuna uwezekano wowote wa mwanandoa kukopa bila mweza wake kujua kwamba kinachokopwa ni nini,kinalipwaje na kinatumikaje.
Pili mtoa maada hajasema hajiamini ,ingekuwa hajiamini asingeweza kuishina naye siku zote hizo.
 
Tunawaambia kila siku. Oeni mke muhitimu wa form four tu inatosha sana
 
Kaa kimia endelea na majukumu yako, vitu alivyokopa kama gari basi jiepushe kulitumia kama unalo la kwako endelea kutumia ukisikia ana jenga kwa siri mwache aendelee kazana kuhudumia familia yako akiwemo na yeye namba moja. Ukiomba mzigo akisema kachoka vumilia siku anapotaka mshughulikie
Kama anatengeneza dharau itayeyuka mara moja akiwa na utaratibu wa kuchelewa kurudi au kuondoka bila kuaga kwa siku kadhaa hama chumba usimsemeshe, usimnunie mwambie aendelee kwa uhuru zaidi.
Mweleze ukweli kuwa familia hiyo ni yenu mliamua kuijenga ubinafsi unatoka wapi? Na ikiwa ameamua kujenga familia nyingine mruhusu kwa amani asijifiche
 
Zama na nyakati zimebadilika......hivyo na vijana wanatakiwa wabadili mitazamo yao katika masuala ya ndoa hasa kwenye nyakati hizi ambazo wanawake na wao ni miongoni mwa wanaotafuta mkate wa kila siku........

Unatakiwa ubadilishe mtazamo kutoka kumchukulia mwanamke kama mama wa nyumbani bali unatakiwa umuone kama mtu anayekusaidia baadhi ya majukumu hapo nyumbani kupitia mshahara wake........

Mtazamo huo utakufanya ujue changamoto na mikiki mikiki anayopitia mkeo akiwa kazini ni kama wewe vile uwapo kazini.....hivyo kupambana na changamoto hizo ili maisha yaendelee kunahitaji jitihada na uvumilivu wa hali ya juu......

Inawezekana mkeo wala hajakudharau bali ni wewe umegoma kubadilisha mtazamo wako juu yake na umeshindwa kuenenda saawa na mabadiliko yake........

Inawezekana umekuwa mkali katika mambo ya kijinga na yeye ameamua kukaa kimya kwa heshima yako kama mume

Inawezekana hata wewe ulikuwa unamnyanyasa na kumsimanga zamani akiwa hana kipato na sasa umeshikwa na wivu kuona kuwa mambo mengi aliyokuwa anakusumbua ana yamaliza mwenyewe kwa mshahara wake......

Suluhu pekee la tatizo lako ni wewe kubadili mtazamo wako juu yake na kuongea naye......huyo ni mkeo ni rafiki yako....mwandani wako....msiri wako na wala sio adui yako......

Vunja ukimya sema naye.....
Isee tuanzishe clinic ya ndoa mkuu tutapiga sana pesa
 
Hiyo ratio yako wewe uliipimia wapi kama siyo hisia zako tu? Acha uvivu wa kufikiria mambo. Usijastify udhaifu wako kwa assumptions!
Acha uvivu nenda kafanye itafiti japo kidogo tu si kubisha haya nakusaidia kidogo kwa Tanganyika Dar es salaam ndio mkoa unaoongoza kwa madai ya talaka nying mahakamani na nying ya madai hayo ni wanawake ndio wanaomba talaka sasa kafatilie mwenyewe nying ya talaka hzo ni za wasomi yani wengi ni wanawake waliokwenda shule pia ni wanawake wanaofanya kazi au wanaoingiza kipato
 
Cha ajabu siku hizi matatizo ya ndoa yanaletwa mtandaoni sio kwa wazee na wachungaji ...no wonder kuna talaka nyingi
 
Jiamini, acha hofu!
Mabadiliko ya tabia baada ya kupanda cheo ni jambo la kawaida!
mtu akiwa mkurugenzi, definitely atakuwa na muda mwingi kazini kuliko nyumbani!
huwezi kumlinganisha mke mwalimu na CEO!
Mwl hata akija na kazi ya kusahihisha nyumbani bado ana siku kadhaa za kuwa huru, CEO anafanya kazi 24/7 lkn pia kumaintain higher position kunahitaji dedication na commitment ya hali ya juu!
hata wewe ungepanda madaliko yangetokea na wala sio ya nia mbaya!
Mikopo bank, yes inapaswa akueleze, lakini kwa kujua tu kuwa amekopa nadhani amekwambia ila wewe ulitaka mpange akope kiasi gani, lini na kwa shughuli gani, which is good, lakini sio lazima!
ushari wangu kwako:
instead of kukaa chini na kumlalamikia mkeo, hebu msaidie afanye vema kazini kwake.
inferiority complex ya wanaume, imeua potential nyingi za wanawake wa kiTanzania na sababu kuu ni ujinga tu!
hofu ya mke kugongwa na wakubwa wenzake (hata wanawake wauza vitumbua uswahili kwetu wanagongwa na wengine sana kuliko hata CEOs), mikopo na upatu hawa wanawake wa uswahilini huku wanaingia na kujiunga vicoba/upate bila hata ya kutuambia waume zao yet hatulalamiki kwa kuwa tunajua ukuaji wao wa uchumi haututishi kwa kuwa bado watakuwa tegemezi kwetu!
  1. Tazama ni package gani unaweza ku-offer ktk ndoa yenu, mwanzo ulitegemea uchumi (mume kichwa kwa kuwa ndio provider) sasa mama amekuwa sawa na kichwa, then angalia angle nyingine ya uchangiaji itayokupa hamasa sawa na ile role uliyokuwa nayo mwanzo!
    • kuwa mzuri kitandani
    • kuwa mwenye busara na wa msaada kwake, mpitie kumchukua kazini na mpeleke kazini (kama una gari) ili kumuongezea muda wa kumalizia viporo vya kazi akiwa anaenda na kutoka job! elezea hiyo dhamira yako na siku Fulani usimpeleke home straight mpeleke kwa dinner hotelini kama sehemu ya kumuondolea stress za kazi, hutoibiwa!
    • chukua role ya kusimamia watoto, home work, kufuatilia ada, maendeleo shuleni-then utampunguia stress za umama na hivyo kuacha huru mikono na akili zake kwa ajili ya performance za kazini
  2. kuwa sehemu ya mafanikio yake, na chekelea kila ustawi wake. acha kujenga wivu kwa position yake ili isiwe sehemu ya mgogoro wenu! kwa wanawake/mtu yeyote anayejali carrier, ukiwa kikwazo hawezi kukusikiliza, anaweza kukudrop lakini sio kazi yake. usipigane vita ambayo huwezi kushinda, join her, kuliko kuwa na wivu wa kijinga, msaidie kufanikisha anayoyafanya, kumbuka kuna vijana/co-workers watakaojitia ukaribu au hata kutaka kumgonga mkeo sio kwa mapenzi bali kutaka favours. fight your battle alone na kimya kimya! ukiwa wa msaada atakurudia wewe Zaidi kuliko kuweka ukaribu na Mbweha wanaomvizia kwa favours.
  3. panga na mkeo, then she will trust you, wanawake ni tegemezi by nature, huwa wanatuamini kupita kiasi! cha msingi ni wewe kujionesha kuwa una-confidence! unajua hata mwanamke msomi anaweza kuolewa na std 7 na bado akaamini kuwa decisions kubwa baba anatakiwa kuonesha zifanyikaje! anaweza kukufuata kwa ushauri wa gari gani ya kununua hata kama akijua kuwa kwenu hata baiskeli hamna na yeye ameishi ktk nyumba yenye gari Zaidi ya 10! ukijipanga bado mke CEO utamuongoza!
    • ukibebwa na wivu na hofu, hata kama wewe ndiye ungekuwa na nafasi nzuri bado mke atatamani awe karibu na houseboy kwa ajili ya ushauri! na dnio anazidi kuwa na mazingira hatarishi ya kupenywa!
Njoo nikubusu kwanza.... Umenena vema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom