Kama huu wako kwa kweli. Mwambie, amzalishe kila siku hadi akisimama maji yanamchuruzika kwa kufeli breki. Halafu atafute ndogo ndogo alete homeJf kuna ushauri wa ovyo
Kama huu wako kwa kweli. Mwambie, amzalishe kila siku hadi akisimama maji yanamchuruzika kwa kufeli breki. Halafu atafute ndogo ndogo alete homeJf kuna ushauri wa ovyo
VizuriKama huu wako kwa kweli. Mwambie, amzalishe kila siku hadi akisimama maji yanamchuruzika kwa kufeli breki. Halafu atafute ndogo ndogo alete home
kwa ulivyoandika basi yuko sahihi nami nakazia, acha usenge ukiendelea na usenge nashauri akulambe makofi tu

doh!!!!!
Kwan ni kweli we nimsenge? Kama ni kweli achana na huo usenge ila kama so kweli achana na hilo jambo endelea na maisha na mke wakoWakuu habari za kushinda
Naombeni ushauri maana leo nimeshangaa sana mke wangu baada ya kutofautiana kidogo ananiambia niache usenge.
Tulioana tangu 2016 na nilipomwoa alikuwa hana kazi wala kitu. Leo hii ana maisha mazuri sababu nilimpa na mtaji wa biashara.
Tuna mtoto mmoja nahisi nikiongeza wa pili ni makofi.
Naombeni ushauri
Tema mate chiniHuu ndio usenge wenyewe sasa,.
Samahani, umeoa au kuolewa?Me nacheka tu![]()
Sasa unadhani ni kwa nini mke wake amuite hayo majina...
Watu hawajui kuwa hii ni njia ya kuwafanya wawe na adabu kidogo. Mpe watoto wanne, ili awe anawaza mara mbili kabla ya kufanya upumbavu wake. Hako katoto kamoja anaona anaweza kukamudu kirahisi hata kama mwanamume akisepa. Ajifunze kwa akina mama zetu wa enzi hizo, watoto kuanzia sita na kuendelea na hii iliwafanya waweze kuzeeshana bila kuachana.Mwanamke akianza kukuletea ujinga mzalishe mfululizo.
Atashika adabu tu.
Yaani katoto kikitambaa tu mimba!
Hajakaa sawa mimba nyingine!!
Mkuu, lisemwalo lipo na huenda kuna uwezekano mkubwa sana kwamba huyo Mke wako anahisi unafanya mambo ya kisenge au amejua kuwa watu wanakupumulia ndiyo maana kakushauri uache usenge.Wakuu habari za kushinda
Naombeni ushauri maana leo nimeshangaa sana mke wangu baada ya kutofautiana kidogo ananiambia niache usenge.
Tulioana tangu 2016 na nilipomwoa alikuwa hana kazi wala kitu. Leo hii ana maisha mazuri sababu nilimpa na mtaji wa biashara.
Tuna mtoto mmoja nahisi nikiongeza wa pili ni makofi.
Naombeni ushauri
Nchi iko kwenye raiti traki watoto watasomeshwa na jamuhuri.School fees je
***** unashindwaje kumpiga mateke na mangumi hakikisha unamtengua hata mkono lazima aache kukudharau
Hajatoa kinywani kamwandikia text!!Ulimtoa wali,,sipendi kinywa kinachotamka matusi hasa cha mwanamke, hana adabu kabisa,
Kaniudhi hadi nimeghairi kula
Njia sahihi ni hyo maana sikutaka maneno mengi najijua kuongea siwezi angezid kunikwaza tuKulikuwa hakuna njia nyingine ya kumuonya Hadi umpige?