Mke wangu amenitusi kwenye simu

Mke wangu amenitusi kwenye simu

Umeamua umtukane mwenzio Sasa...sijaamini macho yangu kuona unatukana.
Yaani mwanamke akikutukana jiulize Mara 2,ujitazame upya.. Yaani mwanamke akutukane tu hivihivi!???
manyoko!!! na ukomee! nyie ndio huwa mnatuonaga wapuuzi kwa yale tunayoyahubiri humu kila siku.

Acha akunyooshe, leo kakutukana kesho atakuchalaza bakora tena makalioni.. pumbafuuu

“Mwanamke hatakiwi kuwa na hela”-Wild Thought(JF Expert Member)
haya Saint anne pita huku usimsahau na shangazi yako Marianah
Nilikuwa sijaona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baada ya ok apress */# kwa milio, mwanamke akinitukana na nna ukaribu nae atajuta mwenyewe kuna mmoja nlipiga kofi hana jino hadi sasa na hatonisahau kisa kunitusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu habari za kushinda
Naombeni ushauri maana leo nimeshangaa sana mke wangu baada ya kutofautiana kidogo ananiambia niache usenge.
Tulioana tangu 2016 na nilipomwoa alikuwa hana kazi wala kitu. Leo hii ana maisha mazuri sababu nilimpa na mtaji wa biashara.
Tuna mtoto mmoja nahisi nikiongeza wa pili ni makofi.
Naombeni ushauri
😂😂pole sana mkuu
 
Kwanza Mwanamke atakutusi kama

1. Anafanya kazi ya Kumuingizia kipato anaamini hata bila wewe ataishi au ni mdgangaji maarufu

2. Kama yeye ndo anatoa matumizi kwa kiasi kikubwa nyumbani

3. Kama unamuendekeza kama hapi akikutusi kama yupo around ni Kofii mojaa yani mamaee aisee mpaka anazimia.
Sema bro magunia ya mkaa siku hizi bei fanya mpango wa Petrol..[emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Mkuu jiongeze kabla hajakuchota mtama maana inaonekana yupo makini na anamaanisha alichokisema
 
Humkwich kwich vizuri,hebu piga maashine,mzalishe mfululizo,acha uzungu.miaka yote MNA MTOTO mmoja tu?
Atakutukana Sana ttu,wanawake hawataki uwaendeshe kisharobaro,kilokole au kiustadhat sana,mwanamke inatakiwa umdrive kijela jela,kiasi kwamba ukikohoa tu,anakuja mbio eti baba nanihii unaniita?
Badilika boss,acha uzungu,sisi waafrika
Asipokuelewa ...Tupige magoti tusali.


Mzalishe mtoto wa pili ..namdomo unaisha
 
Umeamua umtukane mwenzio Sasa...sijaamini macho yangu kuona unatukana.
Anastahili kabisa tena zaidi ya hilo, kila siku huwa tunasema humu mwanamke sio wa kusomeshwa au kuwezeshwa kwa namna yoyote ile kiuchumi kwa ustawi wa afya ya mahusiano yenu lakini yeye akatupuuza mabaharia halafu sasa hivi anakuja kulia lia hapa baada ya kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe si undezzz huo! tumsaidieje sasa?

Mwanamke sio wa kushika hela.
Yaani mwanamke akikutukana jiulize Mara 2,ujitazame upya.. Yaani mwanamke akutukane tu hivihivi!???Nilikuwa sijaona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haha[emoji38] haha!! kwa hiyo mwanamke hawezi kukengeuka na akikengeuka basi sababu ni mwanaume sio!?? ahahaha!! kwamba jamaa alivyoanbiwa aache usenge sababu ya mwanamke kutumia lugha chafu kiasi hicho ni yeye mwenyewe🤪🤪!! unafurahisha kweli wewe binti
 
Anastahili kabisa tena zaidi ya hilo, kila siku huwa tunasema humu mwanamke sio wa kusomeshwa au kuwezeshwa kwa namna yoyote ile kiuchumi kwa ustawi wa afya ya mahusiano yenu lakini yeye akatupuuza mabaharia halafu sasa hivi anakuja kulia lia hapa baada ya kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe si undezzz huo! tumsaidieje sasa?

Mwanamke sio wa kushika hela.
haha[emoji38] haha!! kwa hiyo mwanamke hawezi kukengeuka na akikengeuka basi sababu ni mwanaume sio!?? ahahaha!! kwamba jamaa alivyoanbiwa aache usenge sababu ya mwanamke kutumia lugha chafu kiasi hicho ni yeye mwenyewe[emoji2957][emoji2957]!! unafurahisha kweli wewe binti
Simtetei mwanamke,naye pia ana makosa..lugha chafu si nzuri,hata Mimi mwenyewe sipendelei kutamkiwa au kumtamkia mtu,,hasa kumtamkia mwanaume,Tena mumewe.
Lakini jamaa nae Kuna sehemu atakuwa amekwama.
 
Wakuu habari za kushinda

Naombeni ushauri maana leo nimeshangaa sana mke wangu baada ya kutofautiana kidogo ananiambia niache usenge.

Tulioana tangu 2016 na nilipomwoa alikuwa hana kazi wala kitu. Leo hii ana maisha mazuri sababu nilimpa na mtaji wa biashara.

Tuna mtoto mmoja nahisi nikiongeza wa pili ni makofi.

Naombeni ushauri
Utakuta hata ulichombwambia kimestahili hilo jibu.

Mrs: Mr mtoto wa pili tutaongeza lini?
Mr:2020.
Mrs: poa.
Mr:Unataka brazamen au sisterduu?
Mrs:Mcha Mungu!
Mr:Hilo swali rahisi hujaelewa nini hapo? Unataka awe msichana au mvulana?
Mrs: Nilikuelewa nilitaka uulizwe vizuri.

Sasa mtu kama huyu Mr ukimjibu hivyo acha ujimga na nk utakuwa umemkosea?
 
Wakuu habari za kushinda

Naombeni ushauri maana leo nimeshangaa sana mke wangu baada ya kutofautiana kidogo ananiambia niache usenge.

Tulioana tangu 2016 na nilipomwoa alikuwa hana kazi wala kitu. Leo hii ana maisha mazuri sababu nilimpa na mtaji wa biashara.

Tuna mtoto mmoja nahisi nikiongeza wa pili ni makofi.

Naombeni ushauri
Ndoa haina ushauri we pambana tu
 
Analiwa huyo
Wakuu habari za kushinda

Naombeni ushauri maana leo nimeshangaa sana mke wangu baada ya kutofautiana kidogo ananiambia niache usenge.

Tulioana tangu 2016 na nilipomwoa alikuwa hana kazi wala kitu. Leo hii ana maisha mazuri sababu nilimpa na mtaji wa biashara.

Tuna mtoto mmoja nahisi nikiongeza wa pili ni makofi.

Naombeni ushauri
 
Bure kabisa...Ngoja waje wamtie kitandani kwako ndiyo upate akili ya kiume, bwege kabisa...
 
Back
Top Bottom