Mke wangu amenitusi kwenye simu

Mke wangu amenitusi kwenye simu

Wakuu habari za kushinda

Naombeni ushauri maana leo nimeshangaa sana mke wangu baada ya kutofautiana kidogo ananiambia niache usenge.

Tulioana tangu 2016 na nilipomwoa alikuwa hana kazi wala kitu. Leo hii ana maisha mazuri sababu nilimpa na mtaji wa biashara.

Tuna mtoto mmoja nahisi nikiongeza wa pili ni makofi.

Naombeni ushauri
acha kulia lia simama kwenye nafasi yako
 
manyoko!!! na ukomee! nyie ndio huwa mnatuonaga wapuuzi kwa yale tunayoyahubiri humu kila siku.

Acha akunyooshe, leo kakutukana kesho atakuchalaza bakora tena makalioni.. pumbafuuu

“Mwanamke hatakiwi kuwa na hela”-Wild Thought(JF Expert Member)

Mwanamke + Hela = Dharau

Eqaution imebalance.
 
Ana haki ya kukwambia uache useng.
ili asikuone hivyo.
Wewe nunua magunia yako ya mkaa matatu.kayaweke chumbani mnapolala.
Alafu mwambieni 'mke wangu nataka niache useng muda si mrefu'
😂😂😂😂😂😂
 
Toka 2016 mtoto mmoja ukiambiwa msenge unakasirika, na mambo ya familia ww unaleta huku huu ndo usenge sasa aliokuwa anamaanisha mkeo
 
Ana haki ya kukwambia uache useng.
ili asikuone hivyo.
Wewe nunua magunia yako ya mkaa matatu.kayaweke chumbani mnapolala.
Alafu mwambieni 'mke wangu nataka niache useng muda si mrefu'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..nacheka ila kuna ktu mnaniacha,
Mmnaona watu wanasema magunia,
Ayo magunia ya nini sasa mpaka mke ashtuke?
 
Chukua simu yake yawezekana kuna picha au video clip zako za ulizokuwa unatoa mchicha mwiba ajaamua tu kukutumia na wewe ujione unavyotetema ameamua kukupa muktasar kabla ya habari yenyewe
 
Humkwich kwich vizuri,hebu piga maashine,mzalishe mfululizo,acha uzungu.miaka yote MNA MTOTO mmoja tu?
Atakutukana Sana ttu,wanawake hawataki uwaendeshe kisharobaro,kilokole au kiustadhat sana,mwanamke inatakiwa umdrive kijela jela,kiasi kwamba ukikohoa tu,anakuja mbio eti baba nanihii unaniita?
Badilika boss,acha uzungu,sisi waafrika
Acha uongo wewe siyo wanawake wote wanataka hivyo usitusemee na wala usilazimishe iwe hivyo hao wanaotaka kufanyiwa hivyo ni wajinga tu wasiojielewa
 
Back
Top Bottom