Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,638
- 220,410
Au mkewe ndiyo kungwi huko saloonNdio hapo wanaume wengine wana vituko sana utadhani huyo mkewe ni mtoto mdogo na unaweza kuta hao wadada wa saluni ni wadogo ila mkewe mtu mzima.
Au mkewe ndiyo kungwi huko saloonNdio hapo wanaume wengine wana vituko sana utadhani huyo mkewe ni mtoto mdogo na unaweza kuta hao wadada wa saluni ni wadogo ila mkewe mtu mzima.
Huenda ikawa pia my dada. Ila duniani kuna mambo jamaani. LolAu mkewe ndiyo kungwi huko saloon
Kwa hiyo na mini mtaani wanajua saizi ya jogoo langu?juzi nilienda saluni kublow nywele zangu loh nikamkuta dada mmoja anasema eti kuna shosti yake kaja kwake nyumba yake imebomolewa sijui wapi .anakunya kinyesi kinanuka mtaa mzima.eti anaomba ushauri maana anajuta kumpokea blah blah kibao.yaani saluni wanawake wanaongea kila kitu.ukitaka kujua listi ya vibamia vya mtaa flani nenda saluni kila mbaba anajulikana na size na round zake .
kama ushamgegeda mdada wa hapo kitaa ujue file lako lipo waziKwa hiyo na mini mtaani wanajua saizi ya jogoo langu?
Uko na busara sana,Labda alijifunza ili akuridhishe wewe, nyinyi ni watu wazima kwani si myaongee na mkeo, inahusu nini wewe kwenda kumuuliza dada wa saloon?
ahahaaa mi naendaga ya mbongo movie flani yaani acha kabisa mabuzi yote na vibamia vyao vimebandikwa paleme sipatagi umbea naendaga saluni ya wahaya yani wanaongea kihaya na wateja wao ni wahaya.. nakosa umbea
ha hahaha me wasingenipenda me siyo muongeaji na nachagua sana cha kusema .. ndiyo maana huku jf naranduka tu mtajijuahahaaa mi naendaga ya mbongo movie flani yaani acha kabisa mabuzi yote na vibamia vyao vimebandikwa pale
Teh teh..Amechelewa..Dada ameshafundishwa tayarimkate nywele
Mwache aende kibao kimgeukieLabda alijifunza ili akuridhishe wewe, nyinyi ni watu wazima kwani si myaongee na mkeo, inahusu nini wewe kwenda kumuuliza dada wa saloon?
mi hata siongeagi wananionaga fala tu mwenzangu .kumbe nina akili zangu timamuha hahaha me wasingenipenda me siyo muongeaji na nachagua sana cha kusema .. ndiyo maana huku jf naranduka tu mtajiju
Unapewa maneno mpaka mwenyewe ukirudi nyumbani unaoga jinsi unavyojiona mchafuMwache aende kibao kimgeukie
juzi nilienda saluni kublow nywele zangu loh nikamkuta dada mmoja anasema eti kuna shosti yake kaja kwake nyumba yake imebomolewa sijui wapi .anakunya kinyesi kinanuka mtaa mzima.eti anaomba ushauri maana anajuta kumpokea blah blah kibao.yaani saluni wanawake wanaongea kila kitu.ukitaka kujua listi ya vibamia vya mtaa flani nenda saluni kila mbaba anajulikana na size na round zake .
Baada ya kuona mabadiliko ya uchezaji katika siku mbili tatu hizi, niliamua kumtilia shaka juu ya nani aliyemfundisha kwa kweli mpaka sasa hivi mapigo ya moyo nayaona yananidundia mgongoni kutokana na majibu aliyonipa.
Mke wangu ni mstaarabu, kapata malezi ya kiafrika kutoka kwa bibi yake mpendwa ila kwa hicho alichonitendea lazima nimpe likizo fupi isiyo na fedha za matumizi. Hapa lazima niende pia kuliamsha dude kwa dada wa saloon aliyemfundisha mke wangu mambo ya ajabu, sikuwaza kabisa kama mke wangu angeniomba nimfanyie mchezo huo.
Hapana haikubaliki lazima nikamtie adabu huyo binti.