Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,832
- 15,032
Teh teh..Sio watu wazuri wale..Wanaweza kukupikia skendo mwenyewe ukauona mtaa mchunguUnapewa maneno mpaka mwenyewe ukirudi nyumbani unaoga jinsi unavyojiona mchafu
Teh teh..Sio watu wazuri wale..Wanaweza kukupikia skendo mwenyewe ukauona mtaa mchunguUnapewa maneno mpaka mwenyewe ukirudi nyumbani unaoga jinsi unavyojiona mchafu
Na wewe hujaelewa tu mpk sasa? Mke alitaka kuliwa kibogaAlitaka umfanyie mchezo gani?
-Ndumilakuwili-
Ohooooo!!![emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Sky Eclat is no.1 in JF no doubt but hatujui huko kwa mtogole hali ikoje.Uko na busara sana,
huyu ndo yule uliekua unamsifia juzi kati hapa jf kwamba white,mzuri,anadekadeka na nini na nini sio?Baada ya kuona mabadiliko ya uchezaji katika siku mbili tatu hizi, niliamua kumtilia shaka juu ya nani aliyemfundisha kwa kweli mpaka sasa hivi mapigo ya moyo nayaona yananidundia mgongoni kutokana na majibu aliyonipa.
Mke wangu ni mstaarabu, kapata malezi ya kiafrika kutoka kwa bibi yake mpendwa ila kwa hicho alichonitendea lazima nimpe likizo fupi isiyo na fedha za matumizi. Hapa lazima niende pia kuliamsha dude kwa dada wa salon aliyemfundisha mke wangu mambo ya ajabu, sikuwaza kabisa kama mke wangu angeniomba nimfanyie mchezo huo.
Hapana haikubaliki lazima nikamtie adabu huyo binti.
Hahahaaa utakua upo bukoba bila shaka maana kule mjini au kijijini ni kilugha tu.me sipatagi umbea naendaga saluni ya wahaya yani wanaongea kihaya na wateja wao ni wahaya.. nakosa umbea
Bila shaka mtandao wahusika hapo[emoji32] [emoji32]mkuuu bwana mambo mengine ni kukaa nae mzungumze achana na kumrudisha kwao.. sababu ukirudisha ataenda fanywa huko tu