Mke wangu amefundishwa tabia mbaya salon

Mke wangu amefundishwa tabia mbaya salon

Baada ya kuona mabadiliko ya uchezaji katika siku mbili tatu hizi, niliamua kumtilia shaka juu ya nani aliyemfundisha kwa kweli mpaka sasa hivi mapigo ya moyo nayaona yananidundia mgongoni kutokana na majibu aliyonipa.

Mke wangu ni mstaarabu, kapata malezi ya kiafrika kutoka kwa bibi yake mpendwa ila kwa hicho alichonitendea lazima nimpe likizo fupi isiyo na fedha za matumizi. Hapa lazima niende pia kuliamsha dude kwa dada wa salon aliyemfundisha mke wangu mambo ya ajabu, sikuwaza kabisa kama mke wangu angeniomba nimfanyie mchezo huo.

Hapana haikubaliki lazima nikamtie adabu huyo binti.
mlete tukusaidie kama we hutaki

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Kwa Hyo Umeona Wa Kumkanya Ni Binti Wa Saloon Na C Mkeo Let Say Akihama Salon Na Kufundishwa Tena Tabia Hyo Utaenda Kwa Kila Anayemfundisha Na Kugombana Nae Hapa Ndo Najua IQ Yako Ni Ngpi
 
Mkeo hata kusoma a hajui mkuu, maana km hajayasikia kayasoma.
 
Ni kheri kuvunja uchumba kuliko ndoa mimi bado bachelor ngoja niendelee kujifunza ya walimwengu.
 
juzi nilienda saluni kublow nywele zangu loh nikamkuta dada mmoja anasema eti kuna shosti yake kaja kwake nyumba yake imebomolewa sijui wapi .anakunya kinyesi kinanuka mtaa mzima.eti anaomba ushauri maana anajuta kumpokea blah blah kibao.yaani saluni wanawake wanaongea kila kitu.ukitaka kujua listi ya vibamia vya mtaa flani nenda saluni kila mbaba anajulikana na size na round zake .
Loh

Aibu nimeona mie

List ya nini tena???
 
Back
Top Bottom