mke wangu alitaka nichoma kisu

mke wangu alitaka nichoma kisu

Hii STORI inataka ufikiri zaidi ili uwe 'fair' kwenye maamuzi..Ukimsoma mleta uzi utaona anakiri kuwa wamekuwa na Maugomvi yasioisha kwenye ndoa yao kwa muda sasa... Hii inapelekea kujiuliza kuwa pengine kuna MATATIZO tayari ndani ya ndoa yao yanayohitaji 'comprehensive resolution ....na mpaka MKE aseme kuna siku 'ntakuua' on my side i guess inaonekana mume ndiye msababishi mkubwa wa haya mambo..

I second Kaunga kwamba ukiichukulia 'ntakuua' literary utaona mama ni muuaji..lakini ukisoma between lines utaona pia kwamba inawezekana huyu bwana kuna makosa anayoyafanya ambayo kwa mkewe ni 'irrevocable'..pengine ndiyo yanayopelekea huyu mama kujihami hivi..

Rafiki zangu Erickb52 Zinduna Asprin hebu jiulizeni hivi 'in the first place' mkeo/mumeo anaweza kuja kukutembelea guest akiwa na silaha tayari?...ili iweje??..Nadhani huyu jamaa pengine ndiyo amemsababishia huyu dada kuwa hivi alivo..na hiki anachofanya huyu mama, i bet ni kama 'counteractive measures' za kujidefend..It once happened to me..lakini nilijua i was the one who drove my pal to that extent..

Ntabaki kuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa huyu mama amepanga tu kumuua huyu jamaa from nowhere..otherwise, the guy needs to explain a little bit..

Wakati nyie mnajadili sababu, mie nazungumzia kitendo alichofanya huyo mwanamke.
Hapa tunatofautiana mahala padogo sana. Kumbukeni uhai ni kitu muhimu sana na kama ndoa inatishia uhai, basi hiyo ndoa haifai. nasisitiza haifai, iwe ni mume ndio mwenye makosa au mke, bado hai justify watu kutishiana visu. hawa wakiachwa watakuja uana siku moja hawa.

Hili shauri likifikishwa mahakamani, hii ndoa itavunjwa iwavyo vyovyote.
 
Mkuu alishatamka atakuua, amejaribu umemzidi nguvu ila amekujeruhi bado unaomba ushauri? Iko siku azma yake ataitimiza, kwa kifupi hapo hamna ndoa.
 
Wangu pia ashanitoleaga kisu siku moja, alinihisi nakula demu fulani hivi ambaye hata wazo naye sina. Lakini hajaniua bado!!!

Lakini hajakuua bado?! Haaahaaaahaaaaaahaaaaaa! You people are so funny.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kuna vitu hujatueleza hapa....kitendo cha kutaka kukuchoma kisu ni matokeo ya ambayo umemfanyia kipindi cha nyuma...kisu umekileta mwenyewe
 
SIjasema kama kitendo kizuri, ila nilichosema ni kuwa hichi kitendo sio tokeo la kufumba na kufumbua (ni hasira ambayo imetunzwa muda mrefu)...Huyu mdada atakuwa amekwazwa sana na mumewe, na ni jukumu la mume kuona kuwa wana'reconcile' ili kurudisha amani ya nyumba..Kama mume anadhani hawezi kujirekebisha basi anaweza kuamua vinginevyo ikiwemo kuachana..Ninachosistiza ni kuwa hakuna 'muuaji' per se ila wauaji tunawatengeneza sisi wenyewe kwa matendo yetu....

Wakati nyie mnajadili sababu, mie nazungumzia kitendo alichofanya huyo mwanamke.
Hapa tunatofautiana mahala padogo sana. Kumbukeni uhai ni kitu muhimu sana na kama ndoa inatishia uhai, basi hiyo ndoa haifai. nasisitiza haifai, iwe ni mume ndio mwenye makosa au mke, bado hai justify watu kutishiana visu. hawa wakiachwa watakuja uana siku moja hawa.

Hili shauri likifikishwa mahakamani, hii ndoa itavunjwa iwavyo vyovyote.
 
Kuna vitu hujatueleza hapa....kitendo cha kutaka kukuchoma kisu ni matokeo ya ambayo umemfanyia kipindi cha nyuma...kisu umekileta mwenyewe

No matter what! Im not an ANGEL! You cant justify kutoa roho ya mtu kwa domestic scuffles! Tena alishawahi mwambia atamuua before! She is psychopathy! I cant live with such an animal!
Ugonmvi kidogo linakimbilia kisu NOWAY
 
wadau naomba mawazo yenu kwa hili jambo nifanyeje mimi na mke wangu kwenye ndoa yetu tuna miaka sita na tumejaaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume,kama ujuavyo mambo ya ndoa hamuwezi kuishi kama malaika ugomvi hutokea.ila kwa bahati mbaya siku moja kama miaka miwili tumewahi kugombana kidogo ila mke wangu alinitamkia kwamba siku moja ataniua kwa kisu au kwa sumu,wiki mbili zilizopita nilikuwa nimekuja mkoa mwingine kikazi ila alikuja ghafla usiku saa tano akakuta nimelala tukalala mpaka asubuhi,asubuhi akanambia kwamba anataalifa kwamba nina mahusiano na mwanamke mmoja na nimemfungulia duka,nikamkatalia kwamba jambo hili halina ukweli kabisa tulibishana kwa mda wa masaa sita tukiwa chumbani lodge wakati huo alikuwa kafunga mlango wa chumba na funguo kaficha,baada ya mimi kuendelea kukataa ghafla alichomoa kisu alichomeka kwenye suluali na kutaka kunichoma ikabidi tuendelee kupokonyana kile kisu bahati mbaya kikanikata mkononi naomba ushauri madau nifanyeje?

kwanza ndugu yangu pole sana maana ishu inayogusa uhai wa mtu ni sensitive mno kwa sababu hakuna duka la uhai. ninavyoona mkeo ana 'pepo la uuaji'. unaishi na shadow of death na siku yoyote ataweza kutimiza azma yake ya kukutoa uhai! hebu mkiwa katika peace of mind toka nae out. mwende mahali ambapo ni tulivu. onyesha unampenda na she is everything to you! she is your precious treasure with no replacement. mkiwa katika maraha muulize..'darl kwa nini unataka kunichoma kisu...nini kimeingia kichwani mwako'. mjadili kwa kirefu juu ya suala hilo uone kama atajutia na atakuwa tayari kutaka msaada wako ili aondokane na hali hiyo. kama yuko willing kusaidika mpeleke kwa washauri including viongozi wa dini. kama haoneshi nia ya mabadiriko wala kujutia aisee mrudishe kwao akapumzike kwanza otherwise anza kuandaa taratibu za malezi ya mtoto wenu mapema maana mkeo one day atakuua!
 
No matter what! Im not an ANGEL! You cant justify kutoa roho ya mtu kwa domestic scuffles! Tena alishawahi mwambia atamuua before! She is psychopathy! I cant live with such an animal!
Ugonmvi kidogo linakimbilia kisu NOWAY

Kumbuka wamekaa miaka sita na hajawahi kutaka kumchoma kisu...nilichosema ni kwamba kunaonekana story hii imeletwa upande mmoja na ukikurupuka waweza muona mwanamke huyu kuwa ni mkorofi....nachotaka kujua ni yapi huyu jamaa kayafanya mpaka mwanamama huyu atake kumtoa roho.
kumbuka kiwango cha adhabu kipo direct proporsional na kiwango cha kosa...tafakari
 
bila shaka akishakurestisha in peace ndo utajua cha kufanya.CHUKUA HATUA
 
Wakati nyie mnajadili sababu, mie nazungumzia kitendo alichofanya huyo mwanamke.
Hapa tunatofautiana mahala padogo sana. Kumbukeni uhai ni kitu muhimu sana na kama ndoa inatishia uhai, basi hiyo ndoa haifai. nasisitiza haifai, iwe ni mume ndio mwenye makosa au mke, bado hai justify watu kutishiana visu. hawa wakiachwa watakuja uana siku moja hawa.

Hili shauri likifikishwa mahakamani, hii ndoa itavunjwa iwavyo vyovyote.

nakubaliana na wewe zinduna. hata kama huyo mwanaume alifanya kosa kubwa kiasi gani, huyu mama hastahili kufanya hayo mauaji.
 
Kwa tunaongalia Emmanuel TV kesi kama hii mara nyingi unakuta ni mapepo yamemuingia mtu na anaanza kuwa na behaviour za ajabu. Mpeleke kwenye maombi.
 
Hii STORI inataka ufikiri zaidi ili uwe 'fair' kwenye maamuzi..Ukimsoma mleta uzi utaona anakiri kuwa wamekuwa na Maugomvi yasioisha kwenye ndoa yao kwa muda sasa... Hii inapelekea kujiuliza kuwa pengine kuna MATATIZO tayari ndani ya ndoa yao yanayohitaji 'comprehensive resolution ....na mpaka MKE aseme kuna siku 'ntakuua' on my side i guess inaonekana mume ndiye msababishi mkubwa wa haya mambo..

I second Kaunga kwamba ukiichukulia 'ntakuua' literary utaona mama ni muuaji..lakini ukisoma between lines utaona pia kwamba inawezekana huyu bwana kuna makosa anayoyafanya ambayo kwa mkewe ni 'irrevocable'..pengine ndiyo yanayopelekea huyu mama kujihami hivi..

Rafiki zangu Erickb52 Zinduna Asprin hebu jiulizeni hivi 'in the first place' mkeo/mumeo anaweza kuja kukutembelea guest akiwa na silaha tayari?...ili iweje??..Nadhani huyu jamaa pengine ndiyo amemsababishia huyu dada kuwa hivi alivo..na hiki anachofanya huyu mama, i bet ni kama 'counteractive measures' za kujidefend..It once happened to me..lakini nilijua i was the one who drove my pal to that extent..

Ntabaki kuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa huyu mama amepanga tu kumuua huyu jamaa from nowhere..otherwise, the guy needs to explain a little bit..
SnowBall mi sijakataa kama jamaa hana kosa ila ninachosema ni kwamba kwanini achukue maamuzi ya kuua na si mengineyo? Hata kama jamaa kakosea kuuawa sio njia pekee kuna watu wanakamatwa na makosa makubwa ila hawauawi hivyo hiyo adhabu si sahihi kwa jamaa.
Na kwanini huyo mwanamke aende na silaha hadi kule kama hajaenda kwa shari?
Ila kwa hapa naona ni bora tu waachane hadi watakapoona hasira zao zimeisha na wana amani!
Nawashauri wamwombw Mungu awajaze Roho Mtakatifu coz dunia tunapita tu kaka!
 
Last edited by a moderator:
Haaaahaaahaaaaa! Umenifurahisha sana mkuu. You made my day.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Teh ndio hivyo huwezi jua atakulamba shoka sangapi.
 
Zinduna kwa record naomba nihighlight yafuatayo:-
1: Ni makosa kutishia au attempt yoyote ya kuua; na
2: Mdada kakosea na anaweza fungwa!
3: Na hakuna justification ya kukatisha maisha ya mtu zaidi ya self defence

Ninachojaribu kusema ni kwamba,
1: Kufikia hatua hiyo maana yake kuna tatizo kubwa sana.
2: Hiyo ni dalili ya tatizo na sio tatizo
3: Mumewe atafute source ya tatizo na aifanyie kazi.
4: Akishindwa aivinje ndoa.
5: Binadamu yeyote akifikishwa kwenye apex ya hasira anaweza fanya lolote including kuua na kwa maoni yangu (if she is not nuts) atakuwa amefikia kiwango hicho.
Hapo red unamaanisha kufikia hatua ya kuua siyo?

hebu fikiria mtu katoka huko atokako na "kisu" tayari kwa kuua. Na hakuishia hapo, mlango ukafungwa akatoa kisu ili aue. Ungekuwa ugomvi wa papo kwa papo, na mara akaona kisu karibu na kukidaka ili amdhuru mwenzie hapo ningeona logic. lakini huyu kichaa kafunga safari na kisu chake toka huko atokako..... haikuishia hapo, pamoja na mwenzie kujitetea lakini bado akachukua kisu ili aue....

Hapa Kaunga na SnowBall mtanisamehe.... huyu ni kichaa huyu. Hata kama mmewe ana makosa lakini alichotaka kukifanya alishamwambia, akakipanga na akataka kukitekeleza. Kichaa huyu.... Ni wakukimbia kama Ziraili.... safari hii kamkosa kwa kisu, next time polonium itawekwa kwenye koromeo lake.:confused2::confused2::confused2:
 
Last edited by a moderator:
Asprin msome tena taratibu; that his story hatujui ya mkewe. Na kumbuka kila mtu ana kauendawazimu kinachohitajika ni stumuls tu, sasa kiwango au intensity ya stimulus hutofautiana.

Mdada hadi kufikia hatua hiyo ujue kuna maudhi, maumivu yaliyokomaa na kuzaa hasira. Mkaka ingawa hatoi story au ukweli wote anafeel guilty in a way kwani anajua amesababisha mengi. Ukitumia kipimo cha wewe unvyoishi na mkeo na jinsi gani humuoni mkeo akifikia hatua ya kutoa kisu au kukumwagia moto hutaelewa. Tumia kipimo cha story za usaliti wa kupitiliza, utelekezaji wa familia na mengine ndipo unaweza pata picha.


Hata yawe maudhi gani,lakini swala la mpaka kutaka kuchomana visu,haingii akilini.......ok lets say mwanaume ana maishu ya uaminifu,hebu jiweke kwa huyu mwanaume,unadhani atakuwa na amani na huyu mwanamke kwamba analala nae na kukoroma akijua analala na mtu asiyeweza kumdhuru??..........swala hapa ni usalama,ikifika hapa ni hatari kwa wote wawili.......for instance,kilichojionesha hapo mume angeweza pia kumdhuru huyu mwanamke wakati wa kugombea au kujitetea........binadamu anabadilika in split second kuwa mnyama!

Kwa kifupi,ingawa wengi watasema swala la kulinda ndoa wasuluishwe,lakini kwangu mimi hapo ni alama ya hatari.......kumbuka there is a thin line between love and hate,mtu anayekupenda aweza kuwa adui nambari moja in an instant!........wangapi wametoa uhai wa wapenzi wao wako magerezani leo uliwauliza ilikuwaje wanashindwa kukupa maelezo yanayoeleweka?
 
pole sana ni bora mparty way kwa sasa kwanza maana kuendelea kuishi nae pamoja siku zako zinahesabika
 
je tuhuma za mkeo zina ukweli?
kama ni kweli una mwanamke rekebisha mwenendo wako kabla hujamsababishia mwenzio ahamie kwenye jengo la serikali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom