mke wangu alitaka nichoma kisu

mke wangu alitaka nichoma kisu

kaunga huyo mke ni mtu wa hasira,inaonyesha hata jambo liwe dogo vipi,atalikuza na ni kweli anaweza akaua kwa hasira zake tu.wapo watu wa aina hiyo.ni sawa na waume wanaopenda kupiga wake zao,kidogo hasira zake anapiga na kukuachia majeraha mwilini.muhimu ajaribu kumuelewesha ajaribu kuji control hasira zake otherwise hiyo ndoa itakuwa ya ugomvi kila siku.imagine mabishano lodge masaa 6.au pengine na huyo bwana na yeye hakubali kushindwa
 
ndoa hizi bana....tabu kweli kweli. lakini wewe sii alishakupa warning mapema kabisa kuwa atakukata na kisu au ulidhani anatania? sasa katimiza ahadi.....alafu mbona hujasema uliponyokaje humo chumbani wakati wife funguo alikuwa kaificha?

Chezeya nguvu ya usumaku ya mgegedo wewe....hilo timbwili lote huwa linatulizwa na ile baraka kuu tuliyoshushiwa sisi wanadamu....mgegedo!
 
Umechangia sana kumfikisha hapo.
Cha kukushauri ni kuwa; whatever you did, undo ili urudishe imani yake kwako. Hiyo unayosema nyumba haikosi migogoro ni justification tu, there is something wrong with ur marriage. Kama huwezi undo, bora mseparate kwa muda!
Kaunga we mumeo akikuudhi utamchoma kisu?
Then ukimuua utafaidika nini?
 
kaunga huyo mke ni mtu wa hasira,inaonyesha hata jambo liwe dogo vipi,atalikuza na ni kweli anaweza akaua kwa hasira zake tu.wapo watu wa aina hiyo.ni sawa na waume wanaopenda kupiga wake zao,kidogo hasira zake anapiga na kukuachia majeraha mwilini.muhimu ajaribu kumuelewesha ajaribu kuji control hasira zake otherwise hiyo ndoa itakuwa ya ugomvi kila siku.imagine mabishano lodge masaa 6.au pengine na huyo bwana na yeye hakubali kushindwa
kisukari huyu mwanamke anatawaliwa na roho ya ukatili na mauti....yan mtu anayependa kutumia kauli ya 'NTAKUUA' huwa lazma aue tu hakunaga option. Kaunga anamtetea ila aangalie asije akamsababishia madhala mzee wa watu
 
Last edited by a moderator:
Kaunga mie huwa naheshimu sana michango yako, lakini kwa hili umepotoka. hata kama mume kammkosea vipi, kutishia kuua au kujaribu kuua ni kosa kisheria. huyu tayari ni mtu hatari na hastahili kuitwa mke. ni muuaji huyu.
Mara ngapi tumesikia wanandoa wanauana na baadae unasikia majirani wakisema kwamba walikuwa wanagombana kila siku na ugomvi wao ulikuwa unahusisha silaha. kwa hiyo watu wakishauana na ndio tunabaki tukisema lau kama tungejua.

Hiyo ndoa haifai, IVUNJWE!!!!!!!!!!!!!!!!
Hehehee Zinduna kweli leo Kaunga nahisi bado ana mining'inio ya XMASS
 
Last edited by a moderator:
Kaunga we mumeo akikuudhi utamchoma kisu?
Then ukimuua utafaidika nini?

Naona mmeshindwa kuipata point yangu. Simtetei huyo mwanamke na ninasita kuhukumu kwa kusikiliza upande mmoja wa story!

Kukujibu swali lako, SIJUI kama naweza muua au la. Why, coz sijui kama anaweza ni-trigger to reach that extent. Mfano; kuna mama alimchoma kisu mumewe baada ya kumfumania akimnyonyesha mboo yake mtoto wao wa miezi 5.

I wish tungepata story ya upande wa pili. Au hata mwanaume angefunguka zaidi; maana haiingii akilini kwa mtu mwenye akili timamu kumshikia mtu kisu from nowhere au kwa ugomvi Mdogo tu! Na ndio maana nimemshauri aievaluate ndoa yake na au kuamua kubadilika (kama ana mchango kwa hayo) au watengane!
 

Lo lo lo lo looooooooooo!
Hao kina NIANGUSAGE hawafai kabisa, kwanza shukuru katishia kukuuwa, la sivyo ungekuta kajinyonga na kukuachia msala na Polisi.
Piga chini huyo fasta.
 
Safari ijayo atakupiga shoka la kichwa. I wonder utalizuiaje hilo shoka wakati linakushukia utosini.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Naona mmeshindwa kuipata point yangu. Simtetei huyo mwanamke na ninasita kuhukumu kwa kusikiliza upande mmoja wa story!

Kukujibu swali lako, SIJUI kama naweza muua au la. Why, coz sijui kama anaweza ni-trigger to reach that extent. Mfano; kuna mama alimchoma kisu mumewe baada ya kumfumania akimnyonyesha mboo yake mtoto wao wa miezi 5.

I wish tungepata story ya upande wa pili. Au hata mwanaume angefunguka zaidi; maana haiingii akilini kwa mtu mwenye akili timamu kumshikia mtu kisu from nowhere au kwa ugomvi Mdogo tu! Na ndio maana nimemshauri aievaluate ndoa yake na au kuamua kubadilika (kama ana mchango kwa hayo) au watengane!
Kaunga sikatai ukubwa wa kosa ila ninachosema je kuua ndio njia pekee au adhabu pekee?
Hatma ya kuua ni nini?
Hata kama mtu kafanya kosa kubwa namna gani lazma pawepo na maamuzi ambayo hayatakuwa na madhara kwa mtu na Mungu. Kumbuka kuna makosa ya kujutia baadae mfano huyo alomfuma mumewe na mtoto unadhani baada ya kumuua mumewe je huyo mtoto atabaki na nani? Yeye akifungwa jela haoni kama atakuwa kamkosa mtoto na mumewe?
Ila kama angetulia hasira zikaisha wangeyamaliza kwa upendo.
Hasira Hasara.
Na kwa huyu kumbuka alishaahidi kabisa tangu zamani kuwa lazma atamuua tu mumewe je hapo una la kusema?
Ina maana huwa anamngoja afanye kosa tu amuue.
 
Safari ijayo atakupiga shoka la kichwa. I wonder utalizuiaje hilo shoka wakati linakushukia utosini.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tena akiwa usingizini Sumu
 
Last edited by a moderator:
Zinduna kwa record naomba nihighlight yafuatayo:-
1: Ni makosa kutishia au attempt yoyote ya kuua; na
2: Mdada kakosea na anaweza fungwa!
3: Na hakuna justification ya kukatisha maisha ya mtu zaidi ya self defence

Ninachojaribu kusema ni kwamba,
1: Kufikia hatua hiyo maana yake kuna tatizo kubwa sana.
2: Hiyo ni dalili ya tatizo na sio tatizo
3: Mumewe atafute source ya tatizo na aifanyie kazi.
4: Akishindwa aivinje ndoa.
5: Binadamu yeyote akifikishwa kwenye apex ya hasira anaweza fanya lolote including kuua na kwa maoni yangu (if she is not nuts) atakuwa amefikia kiwango hicho.
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi ulivyoandika inaonekana mke ni mwaminifu sana na ana mapenzi ya kweli ila bila shaka umetoka nje ya ndoa sema tu na unaficha.ama la jaribu kutafuta cku ambayo yupo kwenye mood nzuri mkae muyazungumze kwa sababu mke anaonekana ana hasira za karibu na mrahisi kusikiliza maneno ya watu all in all WEWE UMETOKA NJE YA NDOA SEMA TU UNAFICHA.
 
Hii STORI inataka ufikiri zaidi ili uwe 'fair' kwenye maamuzi..Ukimsoma mleta uzi utaona anakiri kuwa wamekuwa na Maugomvi yasioisha kwenye ndoa yao kwa muda sasa... Hii inapelekea kujiuliza kuwa pengine kuna MATATIZO tayari ndani ya ndoa yao yanayohitaji 'comprehensive resolution ....na mpaka MKE aseme kuna siku 'ntakuua' on my side i guess inaonekana mume ndiye msababishi mkubwa wa haya mambo..

I second Kaunga kwamba ukiichukulia 'ntakuua' literary utaona mama ni muuaji..lakini ukisoma between lines utaona pia kwamba inawezekana huyu bwana kuna makosa anayoyafanya ambayo kwa mkewe ni 'irrevocable'..pengine ndiyo yanayopelekea huyu mama kujihami hivi..

Rafiki zangu Erickb52 Zinduna Asprin hebu jiulizeni hivi 'in the first place' mkeo/mumeo anaweza kuja kukutembelea guest akiwa na silaha tayari?...ili iweje??..Nadhani huyu jamaa pengine ndiyo amemsababishia huyu dada kuwa hivi alivo..na hiki anachofanya huyu mama, i bet ni kama 'counteractive measures' za kujidefend..It once happened to me..lakini nilijua i was the one who drove my pal to that extent..

Ntabaki kuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa huyu mama amepanga tu kumuua huyu jamaa from nowhere..otherwise, the guy needs to explain a little bit..
 
Last edited by a moderator:
Hiyo bluu: Ilikuwaje mkalala lodge? Nyumbani kwako kuna nguo za huyo anayekutuhumu au?
Red: Unaishi na mwendawazimu afu unakuja kutuomba ushauri? Subiri akuchinjilie mbali au akuwekee polonium ndio uje utuombe ushauri.

TAFAKARI, CHUKUA HATUA KABLA HAJAKUUA!!!
wiki mbili zilizopita alikuwa amekuja mkoa mwingine kikazi ila mkewe alikuja ghafla ghafla usiku saa tano wakalala mpaka asubuh.nafikiri hiki kipande hukukiona kaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom