NDO ZAKE HUYU!we pdidy mkeo si alijifungua mwaka jana ..tayari umeshapa mimba nyingine lol mbona fasta fasta namna hii
we pdidy mkeo si alijifungua mwaka jana ..tayari umeshapa mimba nyingine lol mbona fasta fasta namna hii
jamani wanandoa;ma dk tusaidiane kwa hili
tangu mke wangu ashike mimba amekuwa akitema sana mate
tangu na mie nijue hili kila saa natema mate nimepima minyoo mara 30 hakuna;kwenye hasira usipime akikasirika na mie nakuwa hii najaribu kujicontrol lakini nakuta nimejibu ovyo baadae naomba msamaha;naona
zoezi la kulala nalo linaninyemelea naomba mungu nisifike huko
nkasema hii ni nini;mkeo akiwa na mimba na wewe unaruhusiwa kumsaidia
akimwa usipime namie napata maumivu sehemu yoyoyte gafla sijui upendo kupitiliza ama
jamani wanandoa;ma dk tusaidiane kwa hili
tangu mke wangu ashike mimba amekuwa akitema sana mate
tangu na mie nijue hili kila saa natema mate nimepima minyoo mara 30 hakuna;kwenye hasira usipime akikasirika na mie nakuwa hii najaribu kujicontrol lakini nakuta nimejibu ovyo baadae naomba msamaha;naona
zoezi la kulala nalo linaninyemelea naomba mungu nisifike huko
nkasema hii ni nini;mkeo akiwa na mimba na wewe unaruhusiwa kumsaidia
akimwa usipime namie napata maumivu sehemu yoyoyte gafla sijui upendo kupitiliza ama
mpaka hapa kipimo changu cha dna kinaonyesha kuwa wewe ndiye baba mzazi wa kilicho tumboni mwa mkeo.
hujaibiwa hata chembe.
sijui itakuweje siku ambayo mkeo atashikwa na uchungu.
ntake radhi ntoto wa mwanaume mwenzio
jamani wanandoa;ma dk tusaidiane kwa hili
tangu mke wangu ashike mimba amekuwa akitema sana mate
tangu na mie nijue hili kila saa natema mate nimepima minyoo mara 30 hakuna;kwenye hasira usipime akikasirika na mie nakuwa hii najaribu kujicontrol lakini nakuta nimejibu ovyo baadae naomba msamaha;naona
zoezi la kulala nalo linaninyemelea naomba mungu nisifike huko
nkasema hii ni nini;mkeo akiwa na mimba na wewe unaruhusiwa kumsaidia
akimwa usipime namie napata maumivu sehemu yoyoyte gafla sijui upendo kupitiliza ama
we pdidy mkeo si alijifungua mwaka jana ..tayari umeshapa mimba nyingine lol mbona fasta fasta namna hii
kuna mambo ambayo ni ya kiimani zaidi,nijuavyo mm huwa wanasema kama mumeo hatulii hme,na ww mjamzito unahiytaji uwepo wake mara nyingi basi akilala mruke,mkeo akikuruka wakati umelala na anamimba unapata dalili zoteeeeeeeee za mimba,kichefuchefu,hasira,kisilani etc,ukifika wakati wa kujifungua na ww unapata uchungu kama yeye,my uncle ilimtokea hii pole san,jitahidi kutulia,mwambioe akuruke labda itapungua but asijue sababu ya kukuruka atakataa