Mke wa ndoa akichepuka bora umgeuze msukule upate hela

Sipati picha nikijua mke wangu kagongwa nje..aisee hili swala halivumiliki,nitakuwa kama nimemeza tofali

Hivi kuna watu wanajua 100pc kuwa wamegongewa na wakaendelea kuwa na mkewe??
 
Sipati picha nikijua mke wangu kagongwa nje..aisee hili swala hilivumiliki,nitakuwa kama nimemeza tofali

Hivi kuwa watu wanajua 100pc kuwa wamegongewa na wakaendelea kuwa na mkewe??
Wanaume wanaolelewa watakuwa wanavumilia ila sie marijali haivumiliki.
 
Sku hz wake za watu wengi wanagongwa nje,tena wengne mpaka wanatongoza wanaume,mwanamke wa kumfanya msukule ni yule anaegombea mwanaume wa nje wakat ameolewa
 
Kwa Mwanaume Makini na anayemjua Mungu hawezi kuchangia huu uzi( ujinga) ikiwzekana aukosoe au kuipinga ,haijalishi unsalitiwa vip lakini utu ubaki kuwa utu tuu.

Unless kama Mwanaume hacheat basi ni bora ukaachana nae au ukapita hivi ila utu ubaki kuwa utu tuu.

pujo karibu
 
Sipati picha nikijua mke wangu kagongwa nje..aisee hili swala halivumiliki,nitakuwa kama nimemeza tofali

Hivi kuna watu wanajua 100pc kuwa wamegongewa na wakaendelea kuwa na mkewe??
Hilo mbona dogo kuna staff mwenzangu analea mimba sio yake na yy mwnyw anajua kbsa maana mkewe huwa anatoka anaenda kukaa kwa mabwana zake huko anachapwa nao hata mieiz miwil mitatu afu anarudi...jamaa hana jinsi maana kaoa ndoa ya kikristu!! Na yy ni mwimba kwaya mzuri sana pale st.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom