Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hapana ndugu![]()
![]()
" cha mtu huliwa na mtu" nimeipenda hiyo .... ngoja nami nijaribu kumla "sakayo"
![]()
![]()
Hapana ndugu![]()
![]()
" cha mtu huliwa na mtu" nimeipenda hiyo .... ngoja nami nijaribu kumla "sakayo"
![]()
![]()
maziwa mgando ama fresh?
Haya mkuuSio utamaduni.Ni nature dada wala usikasirike.
Mme wa mtu ni sumu kali zaidi maana "Mke" wa mtu unaemla hakupi adhabu ila "MME" wake ndio atakufanya ya kukufanya, hapo sumu kali sio mauno ya "Mke" ni atakayokufanyia "Mme" wakeKumekuwa na kauli itumikayo ktk jamii kwamba "mke wa mtu ni sumu" ikimaanisha kuwa kujihusisha "KIMAPENZI" na mke wa mtu ni HATARI sawa kama mtu "alobwia" sumu ....
SWALI: Kwani "mume wa mtu" si sumu?
Acha tu alikuwa anatia huruma.Haikupendeza yeye kumwiba mke wa mwenzie but adhabu hiyo pia haikuwa ya utu .... yaan "dushe" ining'inie mtaa mzima![]()
![]()
kwani una zaidi ya mmoja?mimi sijui hata
na mmojakwani una zaidi ya mmoja?
Hata sijui aliumwa tu akafa.![]()
kilimpata nn tena?
Sijui, maana naweza kuwa nala vya watu lakini sielewi.
Ila kuna kamsemo"cha mtu huliwa na mtu". Najua hata wangu analiwa ila sina uhakika
sasa mbona ulisema hujui?na mmoja
sasa anayestahili laana ni nani hapo, aliyemtembeza mwenzake uchi au aliyekula vya watu?Hata sijui aliumwa tu akafa.
Watu wakawa wanasema laana ya kumtembeza mwenzie uchi
jamaa kama alikuwa anataka ligi halafu sikuwa kwenye moodsasa mbona ulisema hujui?
au mmoja mume na hao wengine vidumu nini mkuu?
duh!!jamaa kama alikuwa anataka ligi halafu sikuwa kwenye mood