supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Mwanaume ya yoyote anaetembea na mke wa mtu siku nisimkamate au nisiuziwe hiyo kesi. Mwanaume kamili hagombani na mkewe ila anamtafuta na kuweka mitego anayetafuna wake za watu.
Ukibahatika umeingia kwenye mikono yangu kwa kesi ya kutembea na mke wa mtu basi umekwisha!!
Ukibahatika umeingia kwenye mikono yangu kwa kesi ya kutembea na mke wa mtu basi umekwisha!!
