Mke wa mtu ni sumu

Mke wa mtu ni sumu

utamaduni uliopo mwanaume anaweza kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja na jamii ikamsifia ila mwanamke akiwa na mwanaume zaidi ya mmoja jamii itamuita malaya
Ni kweli kabisa .... but je hilo laondoa ukweli kuwa hata wanawake nao huumia kwa kusalitiwa na wapenzi wao? .... na je wao hawana wivu?
 
Usaliti ni mbaya sana trust me, na usaliti unasababishwa na mambo makuu matatu.

1) Genye mshindo.
Genye hizi usababishwa na fikra za kichwani.

2) Genye bombadia.
Genye hizi huwa zinasababishwa kutazama na kutokubali mambo yakupite na pia kuwa na tamaa kuliko uwezo.

3) Genye mlipuko.
Genye hizi huwa zinaletwa na upweke mara nyingi huwa zinakupereka sehemu sipo bila kujua thamani yako hivyo ukuperekea kupata malazi na mimba zisizo talajiwa
 
Mke wa mtu anakuwa sumu unapofumaniwa ila kama hujafumaniwa we Kula tuu tena anaweza kukuzalia mtoto wengine mpaka Tigo wanakupa Wanawake sio watu wa mchezo mchezo
 
Kumekuwa na kauli itumikayo ktk jamii kwamba "mke wa mtu ni sumu" ikimaanisha kuwa kujihusisha "KIMAPENZI" na mke wa mtu ni HATARI sawa kama mtu "alobwia" sumu ....

SWALI: Kwani "mume wa mtu" si sumu?
Wanaume peke yetu ndo tuna ruhusa ya kuishi na mke zaidi ya mmoja toka dunia imeumbwa,hvyo basi mwanaume wa mtu ni maziwa fresh
 
Mijini hali inazidi kuwa mbaya zaidi, wamama wengi hawana hata chembe ya uoga, anakupa makavu tuu kama vile si mwanandoa, mbaya zaidi wanaambizana~kuna kijana mmoja aliajiriwa kazini kwetu pale, ndani ya muda mfupi kawapitia kina dada/mama karibia wote (sababu ya msingi=ana dushe la kufa mtu) w.t.f.....!?, kapoteza kazi kizembe kbs
 
Kwa sababu mwanaume karuhusiwa kumiliki mwanamke zaidi ya mmoja... ila wasiwe wake za watu...
 
Back
Top Bottom