Mke wa mtu ni sumu

Mke wa mtu ni sumu

Hebu fafanua wamepatwaje na mambo ya mitandao?,au unamaanisha una experience ya mambo yaliowapata?,isije kuwa umekazwa kisawasawa mpaka ukapata ujuzi wa kukazwa ktk mitandao?
Hawa mnaowasubiria ni wa digital mkuu
 
Mwanamke wa aina hiyo huwa ni balaa tupu
Hapo hamna rangi itaacha onekana, kuna video clip ilisambaa mwanamke ananyolewa nywele kwa kisu alafu anaambiwa ajiandae kukalia chupa kisa kachukua mme wa mwenzake.

Ni balaa tupu.
 
Hapo hamna rangi itaacha onekana, kuna video clip ilisambaa mwanamke ananyolewa nywele kwa kisu alafu anaambiwa ajiandae kukalia chupa kisa kachukua mme wa mwenzake.

Ni balaa tupu.
Mume wa mtu sumu kali hapo hakuna cha maziwa bwashee
 
Ntamwambia na kumuomba abadilike na kama kunakitu ambacho anakosa aniambie nimfanyie
Ms Aby kuwa makini dear kuna wengine wanaomba ambavyo haviombeki kwa wote .... anaweza kukutoa kwenye mood mazima
 
Back
Top Bottom