HongeraNdo nshaweza japo itakuwa ngumu kwako kuamin
dawa yake maziwa. matafune kisha kunywa maziwa lita 5. Sumu yote njeKumekuwa na kauli itumikayo ktk jamii kwamba "mke wa mtu ni sumu" ikimaanisha kuwa kujihusisha "KIMAPENZI" na mke wa mtu ni HATARI sawa kama mtu "alobwia" sumu ....
SWALI: Kwani "mume wa mtu" si sumu?
Najua Hilo but kama ipo ndani ya uwezo wako unafanyaMs Aby kuwa makini dear kuna wengine wanaomba ambavyo haviombeki kwa wote .... anaweza kukutoa kwenye mood mazima
Tata number cnaNamba tata![]()
![]()
![]()
Kuweni makiniKumekuwa na kauli itumikayo ktk jamii kwamba "mke wa mtu ni sumu" ikimaanisha kuwa kujihusisha "KIMAPENZI" na mke wa mtu ni HATARI sawa kama mtu "alobwia" sumu ....
SWALI: Kwani "mume wa mtu" si sumu?
HahahaMijini hali inazidi kuwa mbaya zaidi, wamama wengi hawana hata chembe ya uoga, anakupa makavu tuu kama vile si mwanandoa, mbaya zaidi wanaambizana~kuna kijana mmoja aliajiriwa kazini kwetu pale, ndani ya muda mfupi kawapitia kina dada/mama karibia wote (sababu ya msingi=ana dushe la kufa mtu) w.t.f.....!?, kapoteza kazi kizembe kbs
Acha vitisho dogoMwanaume ya yoyote anaetembea na mke wa mtu siku nisimkamate au nisiuziwe hiyo kesi. Mwanaume kamili hagombani na mkewe ila anamtafuta na kuweka mitego anayetafuna wake za watu.
Ukibahatika umeingia kwenye mikono yangu kwa kesi ya kutembea na mke wa mtu basi umekwisha!!