Kama vile ambavyo "cku ya kufa kwa nyani miti yote huteleza" .... ndivyo itakuwa "funguo malaya" nayo itashindwa kufungua "kufuri" ... hapo c ndo pa KUOMBOLEZAWaambie kwamba, kufuli inayofunguka kila ufunguo ni ya hovyo lakini funguo inayofungua kila kufuli huitwa master.
Haikupendeza yeye kumwiba mke wa mwenzie but adhabu hiyo pia haikuwa ya utu .... yaan "dushe" ining'inie mtaa mzimaAisee umenikumbusha mbali.
Kuna mwanaume alitembezwa uchi mtaani huku akila kichapo kisa mke wa mtu baada ya kufumwa nae.
Chaajabu mwanamke hakupewa adhabu yeyote.
Yaani yule kaka alitia huruma kwa kutembezwa uchi mtaa mzima na baadhi ya watu walilaani sana kile kitendo.
Toka hapo nikajua kuna wanaume wanaroho za ajabu likija suala la kuibiwa wake zao.
Sijui yule kaka kama atakaa arudie tena maisha yake yote

Aaah watu sijui wanahisi wanawake hatuna mioyo ya damu na nyama?Ni kweli kabisa .... but je hilo laondoa ukweli kuwa hata wanawake nao huumia kwa kusalitiwa na wapenzi wao? .... na je wao hawana wivu?
Omba ickukute afu mfumaniaji mwenyewe "nati" ziwe zishalegea .... aiseeeMume wa mtu sisumu maana hafumaniwi, anakutwa ila hafukuziki na familia inasonga mbele jopo kutakuwa na kutokuaminiwa tena na upendo utapungua kwa couple, ila mke akifumaniwa mara nyingi familia inaparanganyika coz mama anafukuzwa na maisha yanabadilika ktk familia.
Usaliti ni mbaya sana trust me, na usaliti unasababishwa na mambo makuu matatu.
1) Genye mshindo.
Genye hizi usababishwa na fikra za kichwani.
2) Genye bombadia.
Genye hizi huwa zinasababishwa kutazama na kutokubali mambo yakupite na pia kuwa na tamaa kuliko uwezo.
3) Genye mlipuko.
Genye hizi huwa zinaletwa na upweke mara nyingi huwa zinakupereka sehemu sipo bila kujua thamani yako hivyo ukuperekea kupata malazi na mimba zisizo talajiwa
aina za "genye" ....
ndo zmeisha zote mkuu?Mime wa mtu inaweza kuwa simu lakini it is not guaranteed. Hata sheria ya ndoa inatambua kuwa ndoa naweza kuwa ya wake wengi (lakini si waume wengi). Hii inaitwa social constructionism yaani ni jamii iliyojenga utaratibu huo.Kumekuwa na kauli itumikayo ktk jamii kwamba "mke wa mtu ni sumu" ikimaanisha kuwa kujihusisha "KIMAPENZI" na mke wa mtu ni HATARI sawa kama mtu "alobwia" sumu ....
SWALI: Kwani "mume wa mtu" si sumu?
Kwakibali cha kutoka wapi hicho? Au thailand ya msamvu??Mrembo kua mpole,nilikula ban baby,uwe standby maana ili kukupoza trip imebadilika,nakupeleka Thailand,Pattaya dream village ukapoze roho yako baby.

Sijui, maana naweza kuwa nala vya watu lakini sielewi.Bibie ww huli vya watu?
utamaduni uliopo mwanaume anaweza kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja na jamii ikamsifia ila mwanamke akiwa na mwanaume zaidi ya mmoja jamii itamuita malaya