victormztz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,111
- 614
Vivyo hivo,wanaume waliooa wana mvuto zaidi kwa wanawake maana wanatambua na kutekeleza majukumu kwa wanawake zao bila kigugumizi.
mke wa mtu ni rahisi kumpata pia ukimwomba ndogo anakupa bila wasi wasi .
Nilishawahi kumgegegeda mmoja ila mwanzo alikuwa amenidanganya kuwa hajaoelewa, nilipogundua kuwa ni mke wa mtu nilishangaa nazidisha hisia kwake. Sasa ndio najiuliza kwanini ukijua ni mke wa mtu unakuwa unampenda zaidi na kumwona wa thamani ?
Ha ha ha ha ha ha ! Mkuu acha masiala yako utakuwa unagongewa kila siku halafu unaishia kuomba tu na kula makombo usiku mpaka unaingia kaburini
hapo mapanga lazima yawake..Hii sumu hata maziwa hayasaidii. Dawa ni moja tu mume mwenzio ajue
raha ya mke wa mtu unamgegeda ukiwa huna mawazo, akiwa mke wako utakuwa na mawazo sana ukiangalia alivyoumbika na utamu wa mke wako utakuwa unaumia roho kwamba kama kuna watu wanakuchukulia basi wanafaidi sana mana watakuwa wanamla tigo.
Naona kama vile wewe unawapenda sana hawa wake za watu kwasasbau unakwepa majukumu yaani unataka kupewa mambo tuu ule rahaa ila hutaki kubanwa wala hutaki shika the dirt that comes with the gold!!
Tafuta wako acha kupenda mteremko ipo siku utakuangusha !!!
wewe umenena mkuu.halafu wanavyojua kuosha mbunye zao wanazikamulia na limao kabla hajaenda kwenye mchepuko, akikuletea hiyo K nakwambia inakuwa tamu balaa, halafu wanakuwa wanajituma kitandani kukata mauno ili kukuoneshea kwamba hakubahatisha kuolewa, hayo maujuzi yake nahisi ndio wanakuwa watamu sana,
Kama wanajiletj wao wenyewe je ?
Basi umeelewa sasa, hata kama wewe umeoa na mkeo akawa anakwibwa nje anatoka kwa BWANA ambae utakua ni wewe hapo.Kuna mchungaji mmoja wa kilokole mtaani kwetu, alimfuma mkewe chumbani kwake anagegedwa na askari polisi, je huyu mwanamke hakutoka kwa Bwana ?
Hii migegedo haifanyiki wazi ni ya kisiri sana. Kuna dogo mtaani kwetu ni rafiki yangu sana huwezi kuamini anamgegeda mama mtu mzima afisa wa serikali na mume wake ni maarufu sana katika siasa. Anachokifanya huyu mama anamtumia dogo pesa akuchukue chumba hotel nzuri ya maana kisha amtaji namba ya chumba ili wakutane chumbani moja kwa moja. Huyu mama anakuja na cruiser yake kabla hajaingia room anaagiza msosi anakula peke yake pale nje then baada ya lisaa limoja anapotea kumbe kafuata dushelele la dogo. Wakimaliza migegedo sugarmummy anatangulia kutoka na baada ya nusu saa dogo anasepa kwenda kupanda daladala, mambo yanaenda kisiri sana
Wanaume wengi cku hizi hawaogopi kufa tena au kuliwa viboga hadharani. Coz ukiwa na tabia ya kuchapa wake za watu, lazma ujiandae wakati wowote either kushkishwa ukuta au kuchinjwa kabisa.Habari wakuu wa jukwaa,
Siku hizi kasi ya kugegeda wake za watu imezidi kushika kasi kuliko hata ya kununua machangudo. Huwa najiuliza hawa wake za watu kitu gani hasa walicho nacho mpaka kinawavutia wanaume wengi kuwatongoza. Wakati wasiolewa na machangaduo wako wengi sana?
Kuna siri gani hapo
Ikitokea wewe umegongewa mke wako na wakati wewe hujawahi kugonga wa mtu utafanyeje ?
Nasikia zina asali ndio sababu zimekuwa tamu mno na kila anayeonjeshwa basi huchonga mzinga.
Kuna kabila flani linaruhusu hii kitu ngoja tutawauliza wadau au tutaanzisha uzi wake
Sasa kama mmiliki wa asali ameshindwa kujengea nyuki wake mzinga unategemea nini. Wawindaji lazima wamsaidie
Huku machinjioni aniliko wanaita open marriage,ruksa kwa mume au mke kutoka nje anapojisikia.
Hii inawafaa wale wasio na wivu, vinginevyo inaweza kuzua tafrani kubwa sana.