samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,968
Siyo adhabu kaka,ila atakuonyesha jinsi mke wake alivyo mtamu zaidiKwani wajeda ndiyo wataalamu wa kutoa adhabu za mafumanizi ?
Siyo adhabu kaka,ila atakuonyesha jinsi mke wake alivyo mtamu zaidiKwani wajeda ndiyo wataalamu wa kutoa adhabu za mafumanizi ?
Ndugu naona mgumu kuelewa... MKE MWEMA ANATOKA KWA BWANA manake mke wa mtu huyo, anatoka kwa Bwana wake.kwaio hawa wabaya wametoka kwa nani.? mana tunasadiki kua bwana ndie muumbaji wa ulimwengu na viumbe viliivyopo.?
Nilishawahi kumgegegeda mmoja ila mwanzo alikuwa amenidanganya kuwa hajaoelewa, nilipogundua kuwa ni mke wa mtu nilishangaa nazidisha hisia kwake. Sasa ndio najiuliza kwanini ukijua ni mke wa mtu unakuwa unampenda zaidi na kumwona wa thamani ?
kwa sababu unamgegeda bila kuwaza gharama ulizotumia kumpata.
Ina maana ni ufahali kumgegeda mke wa mtu ?.
ujinga ni kipaji aliyesema kuna wabaya nani ?
hebu soma tena uje hapa
Ndugu naona mgumu kuelewa... MKE MWEMA ANATOKA KWA BWANA manake mke wa mtu huyo, anatoka kwa Bwana wake.
did i mentioned it anywhere in my post?
ama ni interpretation yako?
manake sasa apa unachanganya mambo mawili moral implication na reasons
Kwasababu wanaume walio waoa wanajua kuchagua vifaa vya ukweli....
Watu8, Madame B, Miss Chagga, Lala1 na wengineo tunaomba mchango wenu kwa hili mana ninyi ni wanawake kuna siri mtakuwa mnajua kuhusu hili la kupeleka mbunye zenu nje