Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

kwani mke wa Pinda anagegedwa na nani nje

Hii migegedo haifanyiki wazi ni ya kisiri sana. Kuna dogo mtaani kwetu ni rafiki yangu sana huwezi kuamini anamgegeda mama mtu mzima afisa wa serikali na mume wake ni maarufu sana katika siasa. Anachokifanya huyu mama anamtumia dogo pesa akuchukue chumba hotel nzuri ya maana kisha amtaji namba ya chumba ili wakutane chumbani moja kwa moja. Huyu mama anakuja na cruiser yake kabla hajaingia room anaagiza msosi anakula peke yake pale nje then baada ya lisaa limoja anapotea kumbe kafuata dushelele la dogo. Wakimaliza migegedo sugarmummy anatangulia kutoka na baada ya nusu saa dogo anasepa kwenda kupanda daladala, mambo yanaenda kisiri sana
 
Sasa hao ni masugarmumy na vidume vilivyo vibish na usharobalo wa kutotafta hela.
 
mbona ni simpo sana ile theory ya mwenye nacho anaongezewa na asiye nacho ananyang'anywa ata kile kidogo alicho nacho inahusika.

Hivi hujiulizi kwann kasi ya kuoa wanawake waliotalikiwa inaongezeka zaid kuliko kuoa mabinti vigori?
 
wewe ulishawahi kulala na mke wa mtu?

Sababu nu moja tu wanapatikana kwa urahisi,hawasumbui kukubali,pia hawana garama zozote. ila kama hujawahi usijaribu.

Nilishawahi kumgegegeda mmoja ila mwanzo alikuwa amenidanganya kuwa hajaoelewa, nilipogundua kuwa ni mke wa mtu nilishangaa nazidisha hisia kwake. Sasa ndio najiuliza kwanini ukijua ni mke wa mtu unakuwa unampenda zaidi na kumwona wa thamani ?
 
mbona ni simpo sana ile theory ya mwenye nacho anaongezewa na asiye nacho ananyang'anywa ata kile kidogo alicho nacho inahusika.

Hivi hujiulizi kwann kasi ya kuoa wanawake waliotalikiwa inaongezeka zaid kuliko kuoa mabinti vigori?

Ina maana ni ufahali kumgegeda mke wa mtu ?.
 
Back
Top Bottom