Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

Kesho watahukumiwa watu wengi kwa mambo haya mke wa mtu acha tu anakuwa mtamu bcoz anajua dhaman ya mwanaume anafull experience ya maujuzi sio watoto waleo hata uch* hajui kuosha ila mm sjawahi😛😛
 
Mke wa mtu mtamu kwa sababu balaa lake linakuja, Paulo kwenye maandiko kasema ninalopenda kutenda sitendi ila natenda nisilopenda kutenda.
 
Msitutishe banaaa!!!!
Sisi twaheshimiwa kwa heshima iliyochanganyika na mamlaka juu yao na papuchi zao, ubazazi wa hao vitombi ni saratani inayoharibu ubongo wao, wakishituka miaka imeenda, kuja kuoa nguvu za kiume zishamuishia anabaki kujitwika mitishamba na mipweza kwa sababu alikwisha tumika kwa uficho,

Nyie endeleeni na majaribio ya ndoa kwenye ndoa za wenzenu.
 
Nilishawahi kumgegegeda mmoja ila mwanzo alikuwa amenidanganya kuwa hajaoelewa, nilipogundua kuwa ni mke wa mtu nilishangaa nazidisha hisia kwake. Sasa ndio najiuliza kwanini ukijua ni mke wa mtu unakuwa unampenda zaidi na kumwona wa thamani ?

Si unavuta hisia kuwa unamkomesha mume wake!
 
Binadamu tunapenda vitu ambavyo unavipata mara chache, ndo maana wengine watakwambia tiGo tamu kuliko K, huyo mke wa mtu akihamia kwako ukawa unaamka nayo na unalala nayo hatokuwa mtamu tena
 
Mna Akili Mbovu, Yaani Wanawake Wamejaa Mitaani Mnang'ang'ania Wake Watu, Mabinti Wanajaa Kwa Waganga Wa Kienyeji Kulalamika Kwa Nini Hawatongozwi, Nyie Mnanyoka Na Wake Za Watu, Dawa Yenu Imeishachemka, Nikukatwa Vitendea Kazi Vyenu, Alafu Muende Mkaishi Wote, Pambafu Zenu.
 
Mna Akili Mbovu, Yaani Wanawake Wamejaa Mitaani Mnang'ang'ania Wake Watu, Mabinti Wanajaa Kwa Waganga Wa Kienyeji Kulalamika Kwa Nini Hawatongozwi, Nyie Mnanyoka Na Wake Za Watu, Dawa Yenu Imeishachemka, Nikukatwa Vitendea Kazi Vyenu, Alafu Muende Mkaishi Wote, Pambafu Zenu.

Sio akili mbovu tu spirit of lust inawasumbua wengi ili kuharibu ndoa za watu
 
Kwa sababu hawana ghalama vitu vingine (matumizi) anapewa na mumewe. wasio taka kuhonga sana ndo wanapenda wake za watu.
Kuna wengine majanga wakipewa za matumizi wanasomesha wadogo zao alafu wewe ukiingia kichwa kichwa unajazia pale alipotoa za mumewe
 
Wasemavyo cha wizi ni kitamu zaidi.

raha ya mke wa mtu unamgegeda ukiwa huna mawazo, akiwa mke wako utakuwa na mawazo sana ukiangalia alivyoumbika na utamu wa mke wako utakuwa unaumia roho kwamba kama kuna watu wanakuchukulia basi wanafaidi sana mana watakuwa wanamla tigo.
 
mke wa mtu ni rahisi kumpata pia ukimwomba ndogo anakupa bila wasi wasi .
 
Hakuna mwanaume anayependa mwanamke mbaya.hivyo wanawake wengi walioolewa wana mvuto na tabia zinazopendeza kwa wanaume walio wengi ndiomana wanatongozwa sana hata kama wameolewa.swala la kuchepuka lenyewe libasababishwa na mambo mengi ndani ndoa.
 
Cha kumfanya niku mkalisha chini na kutoa kwanza pepo chafu la uzinifu kwanza likishamtoka akiona mchepuko anatapka kabisa.

Ha ha ha ha ha ha ! Mkuu acha masiala yako utakuwa unagongewa kila siku halafu unaishia kuomba tu na kula makombo usiku mpaka unaingia kaburini
 
Back
Top Bottom