Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

Ila kweli hawana garama ndiyo mana wananoga sana. Sio unamgonga demu huku unawaza hasara uliyopata wakati home umeacha watoto wanalia njaa, au ukiwaza mama yako kijiji anateseka huku wewe umegalamia mbunye, hapo lazima ngoma isinyae

hawana gharam kivipi, guest si unalipa, msosi na drinks au vijiout. mizinga mbona wanapiga sana. mara noingezee ada ya mtoto au mdogo wangu, mume wake hajamuachia hela ya kutosha, mara salon etc. labda utapona kulipa kodi ya nyumba
 
Hii migegedo haifanyiki wazi ni ya kisiri sana. Kuna dogo mtaani kwetu ni rafiki yangu sana huwezi kuamini anamgegeda mama mtu mzima afisa wa serikali na mume wake ni maarufu sana katika siasa. Anachokifanya huyu mama anamtumia dogo pesa akuchukue chumba hotel nzuri ya maana kisha amtaji namba ya chumba ili wakutane chumbani moja kwa moja. Huyu mama anakuja na cruiser yake kabla hajaingia room anaagiza msosi anakula peke yake pale nje then baada ya lisaa limoja anapotea kumbe kafuata dushelele la dogo. Wakimaliza migegedo sugarmummy anatangulia kutoka na baada ya nusu saa dogo anasepa kwenda kupanda daladala, mambo yanaenda kisiri sana

Kisiri vp na wewe umejua??
 
hawana gharam kivipi, guest si unalipa, msosi na drinks au vijiout. mizinga mbona wanapiga sana. mara noingezee ada ya mtoto au mdogo wangu, mume wake hajamuachia hela ya kutosha, mara salon etc. labda utapona kulipa kodi ya nyumba

Basi wewe una nuksi kupata wa kupiga mizinga, mie 100% hawanipigi mizinga pia kuna ambao waelewa tunachangia garama za out, mnawekana wazi kila mtu ana familia hapa hivyo nusu kwa nusu
 
Basi wewe una nuksi kupata wa kupiga mizinga, mie 100% hawanipigi mizinga pia kuna ambao waelewa tunachangia garama za out, mnawekana wazi kila mtu ana familia hapa hivyo nusu kwa nusu

Dah mi alikuwa anapiga mizinga na outing juu yako. Wa hiyo staili yako safi sana
 
Dah mi alikuwa anapiga mizinga na outing juu yako. Wa hiyo staili yako safi sana

Sema huwa nabahatika kuwapata wanao jipendekeza wenyewe, hao wanajipangia wenyewe appointment nami nawaletea jeuri ikifika siku ya kukutana namwambia leo niko vibaya sana sina hela tufanye next time, hapo unakuta alishaaga kwa mumewe kuwa anakwenda kusalimia nduguze gongo lamboto, mwenyewe anakwambia basi nitakuja kulipa mimi room, namwambia tusilazimishe mana mie bila kilo ya kitimoto na mzinga wa konyagi siwezi kugegeda kwa ufanisi, utaskia poa bby nitagaramia mie. Huyo kama amekushobokea ila wakushoboka wewe ndiyo inabidi ugharamie
 
Sema huwa nabahatika kuwapata wanao jipendekeza wenyewe, hao wanajipangia wenyewe appointment nami nawaletea jeuri ikifika siku ya kukutana namwambia leo niko vibaya sana sina hela tufanye next time, hapo unakuta alishaaga kwa mumewe kuwa anakwenda kusalimia nduguze gongo lamboto, mwenyewe anakwambia basi nitakuja kulipa mimi room, namwambia tusilazimishe mana mie bila kilo ya kitimoto na mzinga wa konyagi siwezi kugegeda kwa ufanisi, utaskia poa bby nitagaramia mie. Huyo kama amekushobokea ila wakushoboka wewe ndiyo inabidi ugharamie

Inabidi ujichunguze vizuri uzinifu sio sifa unajitaftia Maradhi Bure bila kitimoto na konyagi hudindi hujioni kuwa una tatizo hata Hao wanawake unaokutana nao ni useless dume mpaka linywe konyagi halina nafasi.
 
Ni sababu hawajui thamani zao, thamani ya hiyo mtu aliemwoa.
 
Itakua kutokana na stress wanazopata kwa waume zao, ndio wanaamua kutoa maufundi yote nje ili wawakomoe waume zao, c unajua tena hasira

amkomoe kwa lipi sasa... mihalalishe uasherati...
 
Inabidi ujichunguze vizuri uzinifu sio sifa unajitaftia Maradhi Bure bila kitimoto na konyagi hudindi hujioni kuwa una tatizo hata Hao wanawake unaokutana nao ni useless dume mpaka linywe konyagi halina nafasi.

Siwezi kukupinga maana umeelewa tofauti na nilivyo maanisha mimi, tatizo akili yako ilishajiandaa kupinga hivyo hakuwa na nafasi ya kufikiria tena kabla hujapost.
 
amkomoe kwa lipi sasa... mihalalishe uasherati...

Utakuta mwanaume ana michepuko mia kidogo na kwa mkewe anatoa huduma hiyo kwa mwezi mara moja tena ya kuombwa sana na hata ikifanyika ni chini ya kiwango yaani dk 1 kwisha habari jamaa anamwaga tu
 
Utakuta mwanaume ana michepuko mia kidogo na kwa mkewe anatoa huduma hiyo kwa mwezi mara moja tena ya kuombwa sana na hata ikifanyika ni chini ya kiwango yaani dk 1 kwisha habari jamaa anamwaga tu

keshakuchoka......
 
Utam unatokea wap?Kwan hamna kinyaa unajua kabisa mwezio katoka kudumbukiziwa ingine jana usiku??????uwiii nachukia kushare

ina maana hao mabinti mlio nao mliwakuta bikra? kama sivyo msijekuta mnashare kumi bila kujua.
 
Noo !!!!wengine wamekutwa bikira ....unataka kujustfy mke wa mtu ni sawa tu?????
 
Back
Top Bottom