Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

Hii migegedo haifanyiki wazi ni ya kisiri sana. Kuna dogo mtaani kwetu ni rafiki yangu sana huwezi kuamini anamgegeda mama mtu mzima afisa wa serikali na mume wake ni maarufu sana katika siasa. Anachokifanya huyu mama anamtumia dogo pesa akuchukue chumba hotel nzuri ya maana kisha amtaji namba ya chumba ili wakutane chumbani moja kwa moja.

Huyu mama anakuja na cruiser yake kabla hajaingia room anaagiza msosi anakula peke yake pale nje then baada ya lisaa limoja anapotea kumbe kafuata dushelele la dogo. Wakimaliza migegedo sugarmummy anatangulia kutoka na baada ya nusu saa dogo anasepa kwenda kupanda daladala, mambo yanaenda kisiri sana

Hii ratiba yote umeijuaje? Isijekuwa unatupa stori zako
 
Hii ratiba yote umeijuaje? Isijekuwa unatupa stori zako

hapana mkuu mie naogopa sana wake za watu mana naweza kuliwa 0713 ila mshkj wangu wa kitaa huwa ananipaga hizo story, jamaa anakwambia ni watu sana kuliko manung'a embe, nikimuuliza kwanini watamu ? Anajibu kuwa anashindwa kueleza utamu wake labda niwaulize wadau
 
Mkuu usisiikilize sana maneno ya kuambiwa, kupata jibu kamili la swali lako anza kugegeda wake za watu utapata jibu haraka sana.

Huwa nawagegeda lakini mpaka wale wakujipendekeza kwangu, ila wakutafuta nawaogopa mana unaweza kumkomalia halafu akamwambia bwana ake naogopa kichapo mie. Hawa niliogegeda nawafeel sana nashindwa namna ya kuachana nao, utamu wake nashindwa kujua unasababishwa na kitu halafu wepesi sana kutoa tigo zao nje kuliko ndani
 
Ndio... sasa wew unazani nani anaoa mke mbaya.....labla uanze wew ili usigongewe

Kwa hiyo solution ni kuoa mwanamke mmbaya sura ?, akigongwa na wabaya sura wenzake si ndio itakuuma zaidi ?
 
Weeeeeee mimi mrembo tena mdhuliiiiiiiiii....ivyo ukinioa utagongewa na vigogo kila siku.... heheheeee tafuta mbayaaa

unagongwa na mtu kama wasiraaaa, kingungwe ngombala mwiruuuu, wariobanaa. Hao wote hawawezi kuniuma walai tena najua watakuwa wanakutekenya tu au kuamsha stimu ili usiku uje kwangu nikupe dozi mpaka asubuhi
 
Kwa hiyo solution ni kuoa mwanamke mmbaya sura ?, akigongwa na wabaya sura wenzake si ndio itakuuma zaidi ?

Wabaya wenzake???? Nani kakuambia kuna mwanaume mbayaa??? Wanaume wote ni wazuri kwa vigezo......na kila mwanaume anataka mrembo ...ushauri wangu ni wa muhimu zingatia kuepusha magonjwa ya moyo
 
Weeeeeee mimi mrembo tena mdhuliiiiiiiiii....ivyo ukinioa utagongewa na vigogo kila siku.... heheheeee tafuta mbayaaa

kuna kigogo zaidi yangu..? mimi ni kigogo ninayejua majukumu yangu katika nyanja zote,,
 
Uzi mwingine kama huu huwa sioni faida zake,kwani dini zote zimekataza hayo mnayoyajadili.Hebu weka Uzi kama vile kuna Mashariki ngapi nakuna Magharibi ngapi duniani ili wataalam na wasomi watujuze tufaidike.
 
unagongwa na mtu kama wasiraaaa, kingungwe ngombala mwiruuuu, wariobanaa. Hao wote hawawezi kuniuma walai tena najua watakuwa wanakutekenya tu au kuamsha stimu ili usiku uje kwangu nikupe dozi mpaka asubuhi

Weeee watamu haoooo
 
kwani kinyume cha wema ninini.? tuanzie apo mana na wewe unaweza ukawa na kipaji cha ujinga vile vile.

kinyume cha wema ni ubaya sio mmbaya
naona unaendeleza kipaji chako cha ujinga
 
Uzi mwingine kama huu huwa sioni faida zake,kwani dini zote zimekataza hayo mnayoyajadili.Hebu weka Uzi kama vile kuna Mashariki ngapi nakuna Magharibi ngapi duniani ili wataalam na wasomi watujuze tufaidike.

Kwa hili jukwaa ni haki yake kabisa mkuu....ila kuna majukwaa mengine wanaojadili ayo mambo unayoyataka jitahidi kuya search
 
Hii sumu hata maziwa hayasaidii. Dawa ni moja tu mume mwenzio ajue
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom