wewe na huyo unayemuombea ushauri akili zenu sawa na huyo mwanamke mwenzenu. Yaani unaomba ushauri kwa jambo la kijinga namna hii? Kwa hiyo unataka tumshaurije, kwamba aanze kumfanya na mkeo au?
Kuna mijitu mijinga humu jamani hadi kero. Mwambie aanze kumbandua na mkeo manake hata wewe unaonekana huna nguvu ndio sasa umeanza ukuwadi, 'babu ally' wewe.
Unamatatizo wewe. Matatizo yako unayoleta ni ya kiutaira.
Una uhakika gani kama huyo mwanamke ni dokta? Kama ni dokta, basi dokta mcharuko.
Na munauhakika gani kama kaolewa? Danganyaneni tu, wewe mwenyewe ndio mwenye tatizo hilo
like father like son!Yeah that's sure as u said, we are more than fwnds, i call him MY SON.
yawezekana ni wewe mkuu hadi unajua anapete mbili angalia utaliwa 0713, (nadhani sijatukana)Mke wa mtu ambaye amezaa watoto wawili na huyo mume wake na anapete ya ndoa na uchumba.
umeshasema demu ni maharage ya mbeya,lazima atakuwa na msururu wa wanaume, jamaa yako lengo lake ni kuvunja amri ya sita,si ameshapata basi asepe zake!kuendelea kuwa naye ni kujitafutia matatizo tu..... ukimwiiiiiii,tusiamini condom sana jamani,na wala tusijipe moyo kuna ARV's,kumeza dawa maisha yako yote c mchezo! antibiotic za cku tano tu wengi hatumalizi doziHabari za majukumu watu wangu wa nguvu, natumaini mnaendelea vzr na ujenzi wa kujenga Taifa letu la Tanzania, leo nimekuja na huu mkasa ambao umemtokea rafiki yangu wa karibu hivyo nikaona nije nipate busara zenu na kuweza kwenda kumshauri kwa kina zaidi.
Huyu jamaa yangu anafanya kazi katika sekta moja ya serikali hana mke na pia hajabahatika kupata mtoto ila kulingana na umri bado unaruhusu siwezi kumlaumu, huyu jamaa yangu alipewa namba na rafiki yake m1 ambaye yeye ni daktari katika hospitali moja hapa mjini, baada ya kupatiwa namba hiyo nia na madhumu ilikuwa ni kufanya mipango ya kuweza kuvunja amri ya sita na bi mdada ambaye namba yake imetolewa kwa kisingizio kwamba bi mdada huyo ni lose ball au maarufu kama maharage ya Mbeya lakini kabla hajapewa namba hiyo akaambiwa kwamba bi mdada huyo ni mke wa mtu pia ana watoto wa2 na mume wake anafanya kazi bandarini kwaiyo awe makini, basi jamaa akaichukua ile namba na kuanza mazungumzo na Yule bi mdada kwa bahati nzuri au mbaya Yule bi mdada akamuelewa huyu rafiki wangu na kupanga waonane siku ya weekend ambayo ilikuwa Jumamosi kwani huyo bi mdada ni daktari kwaiyo siku hiyo alikuwa anatoka usiku, basi siku ya siku ilivyowadia wakaonana na kukaa mahali wakala wakanywa na mwishowe jamaa aliforce king na kwenda kumgegeda mke wa mtu huyo baada ya hapo asubuhi waliamka na kila m2 akaenda kwake ila siku hiyo huyo bi mdada alimuaga mume wake kwamba atatoka asubuhi.
Maisha yakawa yanaenda na ule mchezo ukawanogea mpk ss jamaa ameshamgegeda zaidi ya mara tano na huyo mwanamke amekolea kwa huyu rafiki yangu huyu mpk inafika kipindi anaona wivu wa ajabu endapo akiwa na jamaa na simu zikiwa zinaingia, mwanamke amemwambia jamaa tatizo la mume wake kubwa ni upungufu wa nguvu za kiume kwani anasaga mirungi sana na kutumia kilevi cha aina ya pombe hivyo yupo katika dozi ya kuacha na alikuwa ana zaidi ya miezi mitatu hawajakutana na mpk ninavyoongea hivi ss huyo mke wa mtu anamsumbua jamaa kwamba anataka wknd hii wakajifiche Bmoyo siku tatu kwani tyr ameshamwmbia mume wake kwamba anasafari ya Bmoyo
Picha halisi ndio hiyo hapo, nahitaji USHAURI pamoja na MAWAZO yenu katika hili kwani hata yy mwenyewe anajishtukia icje ikaja kufanyiwa mchezo mbaya au kutolewa jicho kwani mke wa mtu ni sumu na mm pia nilijaribu kumshauri aachane nae
WOTE MNAKARIBISHWA KUCHANGIA, MATUSI na KEJELI hazitakiwi katika UZI huu..
Kwa kuongezea ni wale wake za w2 ambao hawajui umuhimu na thamani ya ndoa.
..nunga mkono hoja...Mchango wangu ilikuwa ni matusi, bora nimtukane kimoyo moyo!
ahahahahahahaaa...kaka kama umepiga mulemuleeeee..well said nothing to add up.Nakuona ka una kamashaka flani hiviii kwa jinsi jamaa alivyokuwa muwazi kwa rafiki yake.... AU WE NDO UMEAGA UNAENDA BAGAMOYO..??
Mchango wangu ilikuwa ni matusi, bora nimtukane kimoyo moyo!
..kaka mkubwa sasa hapo shaka ya nini..? ungesema uandishi wako unamakosa, ungeeleweka. Nami nina mashaka na uelewa wako wa lugha ya kiswahili fasaha na matumizi yake....Nina mashaka na Uandishi wko..