Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,012
- 5,613
Nakuona ka una kamashaka flani hiviii kwa jinsi jamaa alivyokuwa muwazi kwa rafiki yake.... AU WE NDO UMEAGA UNAENDA BAGAMOYO..??
Au wewe ndie rafiki mwenyewe?
Nakuona ka una kamashaka flani hiviii kwa jinsi jamaa alivyokuwa muwazi kwa rafiki yake.... AU WE NDO UMEAGA UNAENDA BAGAMOYO..??
Kwani jina umepewa ili ujitaje mwenyewe?? Si utjwe na watu?? Ndo nakutaja hivyooooMbona unanitaja sana? Kuna ujumbe unataka kufikisha?
Na kweli, ila ni loose ball kwa mumewe, maana hawatakiwagi kulala na pichu hawa... Tena kuna wengine mume akigeuka usingizini tu, yeye anapanua paja hata kama jamaa hakuwa na mpango wa kuchapa mida hiyo..
Mchango wangu ilikuwa ni matusi, bora nimtukane kimoyo moyo!
Hivi wewe unazungumzia MKE wa MTU au mwanamke anayeishi na mwanaume???usijifanye huelewi,jamaa amemgegeda huyo mke wa mtu siku ya kwanza tu,...huko mtaani kwenu huoni wake za watu wanavyofungua mapaja kirahisi tu,..
sasa ndio atangetange na wake za watu, anafikiri ndio kwa stahili hiyo ataoa, mwambie aache kabisa asije akafia gest halafu sijui anaenda kujieleza nini kwa Mungu!!!!!!!!!Kuoa ni maamuzi na pia umri wa kutulia kwa yy bdo haujafikia ndio maana anatangatanga.
sasa ndio atangetange na wake za watu, anafikiri ndio kwa stahili hiyo ataoa, mwambie aache kabisa asije akafia gest halafu sijui anaenda kujieleza nini kwa Mungu!!!!!!!!!