Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,080
- 10,436
Hahaha unamkuta kambeba abiria mwanaume ambaye muoga halafu kajishikilia kwa nguvu asianguke :glasses-nerdy:Haya ndio mambo tusiyoyataka kuruhusu wanawake kuwa madereva bodaboda
Hahaha unamkuta kambeba abiria mwanaume ambaye muoga halafu kajishikilia kwa nguvu asianguke :glasses-nerdy:Haya ndio mambo tusiyoyataka kuruhusu wanawake kuwa madereva bodaboda
Kuna kazi ngumu na kazi rahisi, vilevile kuna pesa ngumu na pesa rahisi. uchaguzi ni wetu wenyewe :glasses-nerdy:kazi ni kazi .. muhimu pesa
balaa zaidi ni pale mdada kajaliwa aka ana furushi kama masogangeKhaa!! hiyo bodaboda nitaikodi kila siku tena siku nzima labda aweke masharti jinsi ya kujishikilia:glasses-nerdy:
Habari,
Kutokana na maisha kuwa magumu, dada mmoja mke wa mwanamtaa mwenzangu ameamua kumuomba mumewe nae awe dreva boda boda. Hii imekuja baada ya kuona majukumu ya mumewe yamekuwa mengi na pesa ya kukidhi maisha yao, hasa kuwasomesha wanawe wawili, imekuwa changamoto.
Mdada huyo kaja na proposal ya kukopa pesa vikoba aongezee na ile aliyopata kutoka mauzo ya mahindi anunue pikipiki aingie mtaani kusaka shekeli.
Wazo langu,
Ni wazo zuri lakini kwa mazingira yetu naona kama itakuwa changamoto ktk ndoa yako. Si kila kazi mwanaume afanyayo mwanamke nae inamfaa.
Shukrani.
Kuna kazi ngumu na kazi rahisi, vilevile kuna pesa ngumu na pesa rahisi. uchaguzi ni wetu wenyewe :glasses-nerdy:
Habari,
Kutokana na maisha kuwa magumu, dada mmoja mke wa mwanamtaa mwenzangu ameamua kumuomba mumewe nae awe dreva boda boda. Hii imekuja baada ya kuona majukumu ya mumewe yamekuwa mengi na pesa ya kukidhi maisha yao, hasa kuwasomesha wanawe wawili, imekuwa changamoto.
Mdada huyo kaja na proposal ya kukopa pesa vikoba aongezee na ile aliyopata kutoka mauzo ya mahindi anunue pikipiki aingie mtaani kusaka shekeli.
Wazo langu,
Ni wazo zuri lakini kwa mazingira yetu naona kama itakuwa changamoto ktk ndoa yako. Si kila kazi mwanaume afanyayo mwanamke nae inamfaa.
Shukrani.
Akinipakia namkumbatia namng'ang'ania kama ruba huku navutia picha papuch yake mpaka nifike nisha piga bao
nikijibu kimungu ni sawa tu, wala haina shida, kwa sbb kama anaweza kuendesha kwan anafanya kwa malengo
Its all good....
Safi sana
Watawai kutajilika
HUYU DADA ANAJUA SANA. VIJANA WA KIUME NI BANGI +VIROBA :BAnge:
Kila kitu kinawezekana kama hatashawishika kutumia viroba
Habari,
Kutokana na maisha kuwa magumu, dada mmoja mke wa mwanamtaa mwenzangu ameamua kumuomba mumewe nae awe dreva boda boda. Hii imekuja baada ya kuona majukumu ya mumewe yamekuwa mengi na pesa ya kukidhi maisha yao, hasa kuwasomesha wanawe wawili, imekuwa changamoto.
Mdada huyo kaja na proposal ya kukopa pesa vikoba aongezee na ile aliyopata kutoka mauzo ya mahindi anunue pikipiki aingie mtaani kusaka shekeli.
Wazo langu,
Ni wazo zuri lakini kwa mazingira yetu naona kama itakuwa changamoto ktk ndoa yako. Si kila kazi mwanaume afanyayo mwanamke nae inamfaa.
Shukrani.
Its all good....
Safi sana
Watawai kutajilika
kazi ni kazi .. muhimu pesa
HUYU DADA ANAJUA SANA. VIJANA WA KIUME NI BANGI +VIROBA :BAnge:
Kila kitu kinawezekana kama hatashawishika kutumia viroba
constructive idea...natamani ningekuwa na mke mchapakazi kama huyo.
Khaa!! hiyo bodaboda nitaikodi kila siku tena siku nzima labda aweke masharti jinsi ya kujishikilia:glasses-nerdy:
Akinipakia Namkumbatia namg'ang'ania huku namvutia papuch yake picha mpaka nifike nishapiga bao
Akinipakia namkumbatia namng'ang'ania kama ruba huku navutia picha papuch yake mpaka nifike nisha piga bao
Atakula sana vichwa hasa sisi akina MO11
uyo mke wa mtu atakua anapaki kituo gani? nataka niwe namkodi kila siku anipeleke posta na kunirudisha.
kuandaa chakula atafanya nani hiyo kazi...kumbuka wana watoto...na pia baba anaenda kwenye mishe zake...kwa nini wasinunue hiyo boda boda mama akawa msimamiaji mkubwa!!not for my wife...
Akinipakia namkumbatia namng'ang'ania kama ruba huku navutia picha papuch yake mpaka nifike nisha piga bao