asubuhi sana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 1,669
- 1,418
Akinipakia Namkumbatia namg'ang'ania huku namvutia papuch yake picha mpaka nifike nishapiga bao
Katika watu ambao wako nyuma kimaendeleo nawasiwas kama na wew u moja wapo# temu son
Akinipakia Namkumbatia namg'ang'ania huku namvutia papuch yake picha mpaka nifike nishapiga bao
Kamwe siwezi kupanda bodaboda inayoendeshwa na mwanamke kwani kifo ni nje nje, alafu mi kama ni mke wangu ndo katoa propasal ya kuwa dereva bodaboda basi taraka lazima imuhusu sana.
Liberia kuna madereva wa boda lakini changamoto ni nyingi na wanapiga kazi kama picha inavyoonyesha ingawa aliibiwa.
Sasa wamekuja na uamuzi wa kuwa na helmet za kun'gaa ili watambulike. Hii habari ni ya BBC leo View attachment 249426
Utani bwana na wewe hutaki kutabasamu ukiwa jf mkuu?
nabomoaSasa wewe unajenga au unabomoa?
Akinipakia namkumbatia namng'ang'ania kama ruba huku navutia picha papuch yake mpaka nifike nisha piga bao
Mke wng siwezi kumruhusu kuwa dereva wa bodaboda hata siku moja... Kazi nyingine matatizo tu bora hawe muuza vitumbua na maandazi lakini bodaboda noooo
Kila kitu kinawezekana kama hatashawishika kutumia viroba
Hata kama maisha magumu my wife hawi dereva wa bodaboda.
Bora nipambane mimi yeye anipikie nyumbani na kuwatizama wanetu.
Kila kitu kinawezekana kama hatashawishika kutumia viroba
Liberia kuna madereva wa boda lakini changamoto ni nyingi na wanapiga kazi kama picha inavyoonyesha ingawa aliibiwa.
Sasa wamekuja na uamuzi wa kuwa na helmet za kun'gaa ili watambulike. Hii habari ni ya BBC leo View attachment 249426
Akinipakia namkumbatia namng'ang'ania kama ruba huku navutia picha papuch yake mpaka nifike nisha piga bao
Ni wazo zuri ila kiusalama kidogo inakuwa ni shida japo usalama hata kwa man's ni muhimu, ikiwa ataweza kumudu vishawishi na kufanya kazi kwa kutwa basi itasaidia familia
Kunawatu humu ndani hawatumii ubongo kufikiri yaan sijui upeo mdogo
Kamwe siwezi kupanda bodaboda inayoendeshwa na mwanamke kwani kifo ni nje nje, alafu mi kama ni mke wangu ndo katoa propasal ya kuwa dereva bodaboda basi taraka lazima imuhusu sana.
kama ni mkeo utakubali aendeshe boda boda au kwa vile ni wa mwenzio....majukumu ya mke nyumbani atamwachia nani kwa mfano...
Mkuu kutokana na ugumu wa maisha unajikuta unamruhusu
Atamwacha msichana wa kazi,ili yeye apambane kuongeza kipato ndani ya familia kwani 1+1 unapata 2.
Hapana mkuu