Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,110
- 122,503
Mtanii upo? umepotea sana
Nilikuwa na ban Mtani ya siku tano imeisha juzi jumamosi.Jiandae kwa lolote tu kabla ya kuishi na huyo mwanamke.
Nipo aiseee. Salama?
Mtanii upo? umepotea sana
Nilikuwa na ban Mtani ya siku tano imeisha juzi jumamosi.Jiandae kwa lolote tu kabla ya kuishi na huyo mwanamke.
Ahaaa haaaa haaaa, Mzee ndio maana ndoa ilikushinda aseeee ... nikukumbushe tu, ukioa alafu ukaachika hautwi bachela arif, nafikiri lazima kuna jina lenu jingine mtakuwa mmepewa.
Bachelor - A man who is not and has never been married.
Salama kabisa MtaniNilikuwa na ban Mtani ya siku tano imeisha juzi jumamosi.
Nipo aiseee. Salama?
Nilikuwa na ban Mtani ya siku tano imeisha juzi jumamosi.
Nipo aiseee. Salama?
Ushauri safi sana huu. Wote ni walewaleWacha ujinga wewe huyo wee kula papucbi basi usianze mawazo ya kuishi nae yatabaki yale yake ya mke wako uliemuacha. Wee just gegeda her period.
Acha tu Pacha. Ila ilishaisha naganga yajayo sasa. 😀😀😀Nam hata wewe jmn. Wala siamini ati.
Mke wako ulimuacha kutokana na makwazo ya wanawake na huyo mke wa mtu nae tayari anamakwazo na mume wake unafikiri ukimchukua wewe hayo makwazo atayaacha,think twice before you make that silly decision...Habari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.
Acha tu Pacha. Ila ilishaisha naganga yajayo sasa. 😀😀😀
Tuyaache tu Pacha mana naeza pata ban ingine bure. 😀😀😀Kuna watu wa kula ban pacha wng kpnz. Sasa nashanga hata wewe ikawaje ati...?
Pole mwaya...!
Tuyaache tu Pacha mana naeza pata ban ingine bure. 😀😀😀
Ahsante pacha.
nunua mafuta kabisa maanaHabari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.
Miaka thelathini na sita bado hujitambui!
Umri huu unatakiwa kutoa ushauri wa vijana kuachana na mambo hayo na wala si wewe kuomba ushauri wa kipumbavu hivi.

kila mla cha mwenziwe mihuu humwelekea, hakunamkate mgumu mbele ya chai kaka, huyo sio mwanamke kwani mwanamke hasa aliyefundishwa maadili ya ndoa hawezi kueleza changamoto za ndoa yake nje hata siku moja. Na wala usijione kidume kwa kula mke wa mwenzio kumbuka na mkeo naye atakuja liwa hata kama baada ya miaka mia ukijakuoa. Huyo mwanamke ni wakumkwepa kama ukoma
mnipe baraka zenu