Mke wa mtu aning’ang’ania

Mke wa mtu aning’ang’ania

Hata mkeo na yeye inaonekana alipata njemba akawa anaieleza shida zake anazopata ndoani mwishowe njemba ikamwambia muache mumeo ntakuoa fasta tu.

That's life.
👍
 
Habari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.
nahisi umeshapata jibu la makwazo aliyoyaleta mke wako mpaka mkaachana na wewe uanayaleta kwa mke wa mwingine...and the circle continues
 
Oa huyo. Kwa kuwa wote mnamaumivu mtaishi
Habari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.
 
Kama ambavyo mwenzako anataka kuachwa na wewe mda ukifika utaachwa hivyohivyo itakuwa ni rotation
 
Kama ambavyo mwenzako anataka kuachwa na wewe mda ukifika utaachwa hivyohivyo itakuwa ni rotation
 
kanielewa sana mimi nifanyaje,hamtaki tena mume wake anataka tuishi wote.
ndivyo wanawake walivyo..wanarubuniwa kirahisi na wanatekwa kirahis asinge kupenda kiasi hicho kama wewe usingemetenegenezea mazingira ya wewe kufanya hivyo na kama anaweza kukupenda wewe kuliko mme wake ipo siku atampenda mwingine kama hivo hivo..cha msingi muache alee familia yake maana ana watoto na wanaomhitaji na pia mambo anayokushtakia wewe kuhusu mume wake pengine ni ya uongo au yeye ndio mkorofi tafuta ako uoe usiharibu familia ya mtu
 
Wewe unautani unachukulia hilo jambo kiwepesi unaweza kufa hujui huyo mumewe atalipokeaje hilo jambo na atapanga kukufanyia nini ni hatari mkuu.
Mwache ajifanye chizi eti mke wa mtu anamtambulisha mwanaume mwingine kwao hahahahahahaha chai hii
 
Back
Top Bottom